Warembo wangu, upo tayari kufunga ndoa bila sherehe?

Warembo wangu, upo tayari kufunga ndoa bila sherehe?

Kabisa yani. Halafu hamnaga tuachie sisi kila kitu unashangaa hela inakutoka tu mwanzo mwisho.
Hapo huyo anaesema tuachie sisi kila kitu unakuta kwenye bajeti ya 30m kachanga laki mbili 😂
 
Naona mmeanza kutumia madaraka vibaya, kutoa huyo pesa yote burebure ni ufujaji wa pesa za chama. Mjitafakari.
Kwa Mara ya kwanza tumeamua kutoa zawadi kutokana na ushujaa wa mwanamke huyo

Napunguza mpaka shilingi 100 ndugu mjumbe
 
Hao viumbe wanajijua wenyewe hawatabiriki hapa wanasema hawataki sherehe kubwa ila wakienda kwenye harusi ya rafiki yake na yeye atatamani yake iwe kubwa zaidi ya shoga yake
 
Hii inawezekana itabidi wakwe wazoee huu utaratibu mpya yani sherehe aletwe Fajr
 
Hiki ndio nachotamani jamani natamani sana mwanaume tutakayetaka kwenda naye step ya ndoa anielewe kuwa sitaki kabisa sherehe, na ikiwezekana harusi tufunge siku ya week tuende ofisini kwa mchungaji sisi wanandoa na wasimamizi basi, tukitoka hapo tukale lunch then kila mtu arudi kwake.
 
hiki ndio nachotamani jamani natamani sana mwanaume tutakayetaka kwenda naye step ya ndoa anielewe kuwa sitaki kabisa sherehe, na ikiwezekana harusi tufunge siku ya week tuende ofisini kwa mchungaji sisi wanandoa na wasimamizi basi, tukitoka hapo tukale lunch then kila mtu arudi kwake.
Born 86 na bado hujaolewa
 
Mimi mnyaki ambaye sherehe ipo damuni nacomment wapi?[emoji6][emoji6][emoji6]
Kwenye msiba nalia nagalagala afu harusi ndiyo ningefanya kimya kama nimeiba mume au naolewa ndoa ya 3?

Afu shemeji hujaspecify, sherehe unazoongelea ni zile za kutrend au hata zile ambazo labda mnakuwa na sherehe simple tu na ndugu wa pande zote 2 na friends wachache?
 
iMimi mnyaki ambaye sherehe ipo damuni nacomment wapi?[emoji6][emoji6][emoji6]
Kwenye msiba nalia nagalagala afu harusi ndiyo ningefanya kimya kama nimeiba mume au naolewa ndoa ya 3?

Afu shemeji hujaspecify, sherehe unazoongelea ni zile za kutrend au hata zile ambazo labda mnakuwa na sherehe simple tu na ndugu wa pande zote 2 na friends wachache?
Sherehe ambazo zimezoeleka ni zile za kula na kunywa million 40-100 kwa usiku mmoja! Zinazojumuisha maukumbi. Misafara ya gari za gharama, ma MC wa gharama, Photoshoot na video, Mara Mac Juice ndani n.k Anything thats looks overcomplicated.

Sasa je, unaweza kuruhusu kufanya harusi ya kimya kimya. Wewe na jamaa yako na mashahidi. Kama tafrija basi ziwe kama za kiislamu wanafamilia na majiran wale ubwabwa sinia mbili iwe imeisha! Bila mbwembwe zozote?
 
Nini sherehe, hivi hakuna uwezekano wowote hiyo ndoa tuifungie tu kabisa ndani, mfungisha ndoa akimaliza tumfungulie mlango atoke, halafu sisi tuanze zetu maisha mapya ya ndoa?? 😂
Kama bado hujaolewa naomba nilete posa kwenu mamiii...utanifaa sana sana hasa kwa uchumi huu wa kati😁😁😁
 
Back
Top Bottom