Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Shughuli ipo damuni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji126][emoji126][emoji126]Mnyaki kama mnyaki[emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shughuli ipo damuni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji126][emoji126][emoji126]Mnyaki kama mnyaki[emoji2]
Hahahah kwahio kashereh kawe level ya ekaristi za kitaa zile.Kasherehe kadogo tu , unaita ndugu, marafik na majiran kiasi tu mnapiga zenu ubwabwa mambo yameisha. Lkn ile kutoka kanisani turudi home moja kwa moja mwee hiyo hapana.
Yes😀Hahahah kwahio kashereh kawe level ya ekaristi za kitaa zile.
[emoji16][emoji16]Yan fresh kabisa hatutak shobo na umbea wa hapa na pale as long as tumekubaliana wenyewe haina haja ya sherehe..mkileta mambo ya sherehe kwa mim natoroka na michango..
Uko very wise .. imagine hamko vizuri ndoa ina-wacost gharama kibao after marriage mnaanza kulipa madeni ... WTF [emoji29]Kama hali ya uchumi hairuhusu Kwanini niendelee kushupaza shingo yangu ngumu kwa kung’ang’ania sherehe.kwanza ni gharama sana.hiyo pesa si bora tuifanyie uwekezaji ambapo itaongeza kipato.
Wanandoa wengi sana huishi maisha ya stress baada ya kufanya harusi.
Ingewezekana kufunga ndoa na kuendelea kupiga kazi ingekuwa mzuka sana.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Niko Tayari bila kupepesa macho.achague yeye sasa..tukitoka kufunga ndoa twende kazini au twenzetu home tukapige game
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Hakuna tena heshima ya ndoa. Siku hizi watu wanaanza kubanduana na kuishi kama wapo kwenye ndoa, wanafanya ya kwenye ndoa kabla ya ndoa.
Ndoa yenye heshima ni ile tu ambayo ambayo wahusika wanakuwa hawajabanduana, hao pekee ndio wana stahili hata sherehe , ila hao wengine wapige kimya kimya tu
Well saidUkweli ni kwamba kama uwezo upo Ndoa na Sherehe inapendeza sana maana ni tukio muhimu sana katika maisha ya mwanadamu lakini kama uwezo hauruhusu hamna haja ya sherehe, ndoa ni muhimu lakini sherehe siyo muhimu.
Aisee [emoji39][emoji39][emoji39][emoji8]Uhusiano upo mkubwa tu....
[emoji16][emoji16][emoji16]Enzi zile kulikuwa na kesi nyingi za maharusi kusepa na pesa za mchango, nina uhakika sabab ilikuwa ni hiyohiyo, et mtu unashuhudia kabisa ndgu wakichangishana mamilioni na mamilioni, kwa ajili ya kutumika usiku mmoja tu, then after wanawaacha mnarud kwenye vivyumba vyenu, umepandishwa gari ya gharama, hujawahi ipanda na hujui kama utakujapanda tena mpk kufa kwako.. Yaani ni ufeki feki tuu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hivi Kuna mtu huwa anapenda kucheka Kama Mimi humu !?Kiukweli hapa nimetoka kapa ila imenibidi nicheke tu kama sehemu ya ratiba yangu humu jf[emoji23]
Ndio Mimi nashangaa Hapa [emoji16][emoji16] mpaka najiuliza Hawa Wanawake wa jf wanapatikana dunia ipi !? Yaani Kama hiki nachokisoma Hapa kwenye hii wall kina ukweli Basi naishukuru dunia kuona Kuna sehemu kubwa ya wanawake wameanza kubadilika.... [emoji16][emoji16][emoji16]Leo humu kila mwanamke hapendi sherehe. Tehe teh.
Acha kabisa [emoji16][emoji16][emoji3] [emoji3] [emoji3]
Jf ni ulimwengu mwingine kabisa.
So complexity [emoji16]Hao viumbe wanajijua wenyewe hawatabiriki hapa wanasema hawataki sherehe kubwa ila wakienda kwenye harusi ya rafiki yake na yeye atatamani yake iwe kubwa zaidi ya shoga yake
HIYO ITAKUWA NI NDOA TAKATIFU HASANini sherehe, hivi hakuna uwezekano wowote hiyo ndoa tuifungie tu kabisa ndani, mfungisha ndoa akimaliza tumfungulie mlango atoke, halafu sisi tuanze zetu maisha mapya ya ndoa?? 😂
Hahha, kumbe unajua jibu eeeh?Ndio Mimi nashangaa Hapa [emoji16][emoji16] mpaka najiuliza Hawa Wanawake wa jf wanapatikana dunia ipi !? Yaani Kama hiki nachokisoma Hapa kwenye hii wall kina ukweli Basi naishukuru dunia kuona Kuna sehemu kubwa ya wanawake wameanza kubadilika.... [emoji16][emoji16][emoji16]
Ijapokuwa inaniwia vigumu kuweza kuamini maana watanzania now days huwa tunaishi Mara 2 Kuna Maisha special kwaajili ya dunia halisi na mengine special kwaajili ya dunia ya mitandaoni
[emoji16][emoji16][emoji16] kwa ground Mambo Ni different kabisa au sio !?Hahha, kumbe unajua jibu eeeh?
Wengi hapa waongo waongo tuu yani ili waonekane ma-wife material.