Warembo wangu, upo tayari kufunga ndoa bila sherehe?

Warembo wangu, upo tayari kufunga ndoa bila sherehe?

Wote tunafahamu kuwa suala la ndoa ni jambo la heshima na baraka katika misingi ya kijamii na kiimani.

Swala la kufanya ndoa kama sherehe kubwa liko katika maamuzi na mapenzi ya wanandoa wenyewe japo linaweza chagizwa na wazazi ama walezi pia.

Leo nataka nipate tathmini kutoka kwa wachumba esp. wadada je, wewe upo tayari kufunga ndoa bila kuinvolve sherehe?
Sherehe sio lazma
 
Tina ww ushamaliza hicho kipengele? Kama bado, je upo tayari kumshauri Baba Chanja mlimalize hili kimya kimya maana kwa sehemu kubwa influence ya mwanamke 'inaathiri' maamuzi ya wanaume wengi.

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Bado natafuta wala sitahitaji sherehe nikimpata mwenzangu nitamjulisha sababu za kutotaka sherehe.
 
Bado natafuta wala sitahitaji sherehe nikimpata mwenzangu nitamjulisha sababu za kutotaka sherehe.
Ni mapema kuziweka hadharani kwa sasa eeh? One might get moved na mtazamo wako, hakuna mipaka ya vile vituvutiavyo kupelekea mwanzo wa mahusiano, fikra, maumbile, imani, wasifu n.k
 
Ni mapema kuziweka hadharani kwa sasa eeh? One might get moved na mtazamo wako, hakuna mipaka ya vile vituvutiavyo kupelekea mwanzo wa mahusiano, fikra, maumbile, imani, wasifu n.k
Eh ila kama atafosi basi..but sipendelei kusumbua watu michango yaan mbaka mtu anakonda kisa harusi
Upuuz tu
 
Nini sherehe, hivi hakuna uwezekano wowote hiyo ndoa tuifungie tu kabisa ndani, mfungisha ndoa akimaliza tumfungulie mlango atoke, halafu sisi tuanze zetu maisha mapya ya ndoa?? 😂
Hii nzuri baada ya hapo unaalika marafiki wachache mnafurahi zenu
 
Kama hali ya uchumi hairuhusu Kwanini niendelee kushupaza shingo yangu ngumu kwa kung’ang’ania sherehe.kwanza ni gharama sana.hiyo pesa si bora tuifanyie uwekezaji ambapo itaongeza kipato.

Wanandoa wengi sana huishi maisha ya stress baada ya kufanya harusi.

Ingewezekana kufunga ndoa na kuendelea kupiga kazi ingekuwa mzuka sana.
Woyooooooooooooh
 
Binafsi sipendi sherehe ya aina yoyote ile, hata kuhudhuria tu ni ile tu kwakuwa ni mambo ya kijamii inabidi tu ujumuike na watu. Na nikihudhuria basi nakuheshimu sana, lasivyo ningekuwa sihudhurii kabisa.
Kumbe tupo wengi.
 
Simple like that
 

Attachments

  • IMG_1739.PNG
    IMG_1739.PNG
    151.9 KB · Views: 1
Hapana dearie,hakuna hyo,
Ujue nlivyosema vile I meant wanaopretend kutotaka sherehe ni kuhakikishia wanaume wanaomskia/kumsoma kua hana makuu ivii au hategemei mambo makubwa,(given most men hawana intrest na sherehe).
Nope nilikuelewa dear. Nimeshangaa tu hiyo conclusion yao kwamba mtu sipopenda sherehe basi automatically anakuwa wife material. Lulu hajafanya sherehe ila kafanya kufuru kwenye mavazi yake, so na yeye ni wife material kisa hakufanya sherehe? Kwa kweli kama mtu anapenda sherehe na uwezo anao, afanye tu sherehe kwa raha zake.
 
My next marriage sitaki sherehe kubwa aisee. It will be just lunch kwetu afu wandugu mtuache tupumzike tujamiiane jamani.

My first wedding was rather big and took several days since it was across 2 countries.

Nilichoka Sana my own stylist akaniambia it's taking a toll on my skin and my hair. Na kweli after the final occasion I shaved my head bald!
 
My next marriage sitaki sherehe kubwa aisee. It will be just lunch kwetu afu wandugu mtuache tupumzike tujamiiane jamani.

My first wedding was rather big and took several days since it was across 2 countries.

Nilichoka Sana my own stylist akaniambia it's taking a toll on my skin and my hair. Na kweli after the final occasion I shaved my head bald!
Wawapishe mkamilishe utakatifu wa muungano mpya [emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom