Na hizo nyuzi zote wewe ndiyo muandishi wake ukitumia ID tofauti. Nenda uwaone msaidiane kama unaona kuna shida ktk hicho kikundi kuliko kuleta huku ambapo wala huwezi kuwasaidia zaidi ya kuwachafua kwa tuhuma zisizo na uthibitisho
Ndiyo huyohuyo leo katumia ID nyingine sijui ana tatizo gani na hicho kikundi maana huyo alishaleta uzi kama huu
Kama una mwanamke wako anayeimba kwaya andika maumivu
Kama una mke au mpenzi anaimba kwanya hizi za kanisani basi andikia maumivu, wale walimu wa zile kwaya bwana wanakula sana wanawake wetu Kuna kwaya moja ya kanisa la sabato huwa wanafanya mazoezi kule Tegeta Yanayofanyika nje ya kwaya ni hatari, so kama una mwanamke anajihusisha sana na mambo...www.jamiiforums.com
Hata mimi nilikuwa na search LAITBERAZ kama mleta uzi aluvyoandika sikuona kituHajui hata kuandika kazi umbea tu..wanaitwa Light bearers!wanaimba vzr sana sana
Huu ni uzi wa 5 ambao unahusisha na hiyo kwaya so lazima kutakuwa na kitu sio jambo la kupuuza
Ulijuaje kama ziko nyuzi tano, ni wewe!
Mkuu mbona sioni hili jina la kwaya u tube??
Nilitaka nione uzuri wa hii kwaya kwanza manake ni muumini mzuri wa nyimbo za kisabato.
Pole kaandika kiswahili: wanaitwa Light Bearers. Uimbaji wao ni mzuri kwa kweliMkuu mbona sioni hili jina la kwaya u tube??
Nilitaka nione uzuri wa hii kwaya kwanza manake ni muumini mzuri wa nyimbo za kisabato.
Mahakama nchini Argentina imewahukumu mapadri wawili wa Kanisa Katoliki kifungo cha zaidi ya miaka 40 jela kila mmoja kwa kosa la kuwanyanyasa kingono watoto viziwi katika shule ya kanisa. BBC imeripoti #MwananchiUpdates Mwananchi Newspapers on TwitterVizuri kwa kufichua maovu, hasa hasa ya kanisa zima la Wasabato, kanisa hilo ni la kukimbiwa, hiyo kwaya naifananisha na Golden Gate ya Uganda, waimbaji wake walikuwa wanatombana sana hadi wote wakafa kwa Ukimwi wa enzi hizo
aisee kama ni kweli Mungu awahurumie ni kwaya ambayo naipenda sanaINATWA THE LIGHTBEARERS
atakuwa ni mmoja wa wahanga niniMleta uzi umejawa na chuki za waziwazi ,na ndio kitu kinachokusumbua
Mkuu hautaki watu wamwimbie Mungu?? Una ushahidi Wa hayo Malalamiko yako?
na kuna moja inaitwa maisha yake yesu wanaimba vizuriiHapo sawa, asante mama
Nilitaka nishangae kwa nini hilo jina sio familiar
Anyway "Sifa kwa Bwana na "pokea sifa"ni vibao vinavyonibariki.
waziri barnabas namjua awezi kufanya hayo mambo buanaBila shaka utakuwa ulihitaji kujiunga na hicho kikundi ikashindikana sasa kwa hasira umekuja kuwachafua huku. Pole sana ila jitahidi kuyafanyia kazi yale mapungufu waliyokuambia ili ikitokea nafasi ukajaribu tena
Hiki sio kisumua kweli hiki THE LIGHTBEARERS hahaha Wasukuma si watukwaya hii ya Laitberaz,