Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Nimekuja na mada kama ifuatavyo
Mabaraza ya Makadinali wa Kanisa Katoliki kwenye Mtaguso wa Roma (382) na Trento (1546)
walisimamia mchakato wa kuchambua, kupangilia pamoja na kuidhinisha vitabu 73 - 46 katika Agano la Kale na 27 katika Agano Jipya - ambayo ilijumuisha. kanuni ya Biblia ya Kikristo.
Kimsingi kazi ya kuamua Vitabu gani viwemo kwenye Biblia ilifanywa na Kanisa Katoliki pekee.
Mchakato huo ulifanyika miaka zaidi ya 1,600 kabla ya dhehebu la Wasabato Duniani halijaanzishwa
HOJA YANGU kwanini Wasabato wanaiamini na kuitumia Biblia iliyoandikwa na Kanisa Katoliki huku wakifundisha kuwa Kanisa hilo kuwa la mpinga Kristo?
Yaani Papa ni alama ya mnyama aliyenenwa kwenye kitabu cha Ufunuo lakini Kanisa analoongoza likaandaa Biblia iliyo sahihi? Je upi ni uhalali wa Biblia husika huku Kanisa husika likikosa uhalali?
Naombeni enyi wenye elimu ya theolojia na wenye hekima mtupe majibu.
Nimekuja na mada kama ifuatavyo
Mabaraza ya Makadinali wa Kanisa Katoliki kwenye Mtaguso wa Roma (382) na Trento (1546)
walisimamia mchakato wa kuchambua, kupangilia pamoja na kuidhinisha vitabu 73 - 46 katika Agano la Kale na 27 katika Agano Jipya - ambayo ilijumuisha. kanuni ya Biblia ya Kikristo.
Kimsingi kazi ya kuamua Vitabu gani viwemo kwenye Biblia ilifanywa na Kanisa Katoliki pekee.
Mchakato huo ulifanyika miaka zaidi ya 1,600 kabla ya dhehebu la Wasabato Duniani halijaanzishwa
HOJA YANGU kwanini Wasabato wanaiamini na kuitumia Biblia iliyoandikwa na Kanisa Katoliki huku wakifundisha kuwa Kanisa hilo kuwa la mpinga Kristo?
Yaani Papa ni alama ya mnyama aliyenenwa kwenye kitabu cha Ufunuo lakini Kanisa analoongoza likaandaa Biblia iliyo sahihi? Je upi ni uhalali wa Biblia husika huku Kanisa husika likikosa uhalali?
Naombeni enyi wenye elimu ya theolojia na wenye hekima mtupe majibu.