Wasabato mnadai wanaoabudu jumapili wamepotea, siku hiyo ni Alama ya Mnyama, Je wanaoabudu ijumaa badala ya jumamosi nao wamepotea?

Wasabato mnadai wanaoabudu jumapili wamepotea, siku hiyo ni Alama ya Mnyama, Je wanaoabudu ijumaa badala ya jumamosi nao wamepotea?

Wadau hamjamboni nyote?

Niende kwenye hoja

Huwezi ona msabato akimsema muislamu kuwa ati anafanya dhambi kuabudu siku ya ijumaa ila ni kawaida kumsikia akimuhesabia dhambi Mkatoliki kwa kuabudu jumapili badala ya jumamosi

Kwa msabato siku ya jumapili ambayo ndiyo aliyofufuka Bwana yetu Yesu Kristo ni Alama ya Mnyama!


Swali langu kwa Wasabato siku ya Ijumaa ni Alama ya nini hasa kimaandiko?

Kwanini kuabudu jumapili ndiyo dhambi lakini ijumaa sijawahi sikia au kusoma sehemu yeyote kuwa ni dhambi?

Why? Why?

Nasubiri elimu kutoka kwa wajuzi
Ni kweli hawawasemi waislam Kwa sababu sio wanafunzi wa yesu....wakristo wote ni (disciples) ,, Jesus followers
 
Wadau hamjamboni nyote?

Niende kwenye hoja

Huwezi ona msabato akimsema muislamu kuwa ati anafanya dhambi kuabudu siku ya ijumaa ila ni kawaida kumsikia akimuhesabia dhambi Mkatoliki kwa kuabudu jumapili badala ya jumamosi

Kwa msabato siku ya jumapili ambayo ndiyo aliyofufuka Bwana yetu Yesu Kristo ni Alama ya Mnyama!


Swali langu kwa Wasabato siku ya Ijumaa ni Alama ya nini hasa kimaandiko?

Kwanini kuabudu jumapili ndiyo dhambi lakini ijumaa sijawahi sikia au kusoma sehemu yeyote kuwa ni dhambi?

Why? Why?

Nasubiri elimu kutoka kwa wajuzi
Adui wa Wasabato ni kanisa katoliki wala siyo waislamu, huwezi kuwasikia hata siku moja wasabato wakiwaponda waislamu, wao na kanisa katoliki tu, usabato haukamiliki bila kanisa katoliki.
 
"Sijui nianze wapi Maana kifuani nimebeba mengi na sitatenda haki nisiposema hiki napenda kile sipendi, kile sitaki mambo ya kishenzi"
Dini ni tatizo
Ini ni shidpa
Dini ni njiapanda
Dini ni kichaka.
Ukienda mbio kwa kulariri utajikuta nje ya mchezo huku ukikomaa na mtu tatu ndani ya track moja.
Wasabato siyo Wakristo.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Niende kwenye hoja

Huwezi ona msabato akimsema muislamu kuwa ati anafanya dhambi kuabudu siku ya ijumaa ila ni kawaida kumsikia akimuhesabia dhambi Mkatoliki kwa kuabudu jumapili badala ya jumamosi

Kwa msabato siku ya jumapili ambayo ndiyo aliyofufuka Bwana yetu Yesu Kristo ni Alama ya Mnyama!


Swali langu kwa Wasabato siku ya Ijumaa ni Alama ya nini hasa kimaandiko?

Kwanini kuabudu jumapili ndiyo dhambi lakini ijumaa sijawahi sikia au kusoma sehemu yeyote kuwa ni dhambi?

Why? Why?

Nasubiri elimu kutoka kwa wajuzi
Waabudu jumapili na jumamosi kwa kiasi fulani wapo ndani ya frequency moja. But waabudu jumapili na jumamosi na wale waabudu Ijumaa wapo frequency mbili tofauti. Kundi la Jumapili na Jumamosi wapo ktk imani moja ingawa katika namna tofauti ya kumtafuta muumba wao lakini wale wa Ijumaa Mungu wao ni tofauti na hayo makundi ya jumamosi na jumapili. Usije kuniuliza yupi yupo sahihi maana mimi sijui. Ila kila moja ana muabudu Mungu wake tofauti.
 
Lazima utambue kua mungu wa Catholic na mungu wa Islam hawa nimungu ni miungu tofauti wasio husiana kwachochote kile.
Hivyo ibaki kusema kwamba kila mtu abaki katika njia yake anayo iona nisahihi.
Bali mpumbavu niyule atakae ibeza na kuikashfu dini ya mtu nawakati wote wapo kwenye mgongo mmoja.
👉👉IMANI BILA UHAKIKA.👈👈
 
Hoja Mkuu wanaoabudu ijumaa badala ya jumamosi wanafanya dhambi au la? Agizo la kuabudu siku ya sabato ni la Mungu?
 
Lazima utambue kua mungu wa Catholic na mungu wa Islam hawa nimungu ni miungu tofauti wasio husiana kwachochote kile.
Hivyo ibaki kusema kwamba kila mtu abaki katika njia yake anayo iona nisahihi.
Bali mpumbavu niyule atakae ibeza na kuikashfu dini ya mtu nawakati wote wapo kwenye mgongo mmoja.
👉👉IMANI BILA UHAKIKA.👈👈
Una ushahidi kuthibitisha kuwa Mungu wa Catholic siyo Mungu wa Waislamu?
 
Waabudu jumapili na jumamosi kwa kiasi fulani wapo ndani ya frequency moja. But waabudu jumapili na jumamosi na wale waabudu Ijumaa wapo frequency mbili tofauti. Kundi la Jumapili na Jumamosi wapo ktk imani moja ingawa katika namna tofauti ya kumtafuta muumba wao lakini wale wa Ijumaa Mungu wao ni tofauti na hayo makundi ya jumamosi na jumapili. Usije kuniuliza yupi yupo sahihi maana mimi sijui. Ila kila moja ana muabudu Mungu wake tofauti.
Zinaa inakuaje dhambi Kwa wote hao wasio na frequency moja!?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Niende kwenye hoja

Huwezi ona msabato akimsema muislamu kuwa ati anafanya dhambi kuabudu siku ya ijumaa ila ni kawaida kumsikia akimuhesabia dhambi Mkatoliki kwa kuabudu jumapili badala ya jumamosi

Kwa msabato siku ya jumapili ambayo ndiyo aliyofufuka Bwana yetu Yesu Kristo ni Alama ya Mnyama!


Swali langu kwa Wasabato siku ya Ijumaa ni Alama ya nini hasa kimaandiko?

Kwanini kuabudu jumapili ndiyo dhambi lakini ijumaa sijawahi sikia au kusoma sehemu yeyote kuwa ni dhambi?

Why? Why?

Nasubiri elimu kutoka kwa wajuzi
Mungu ndo aliagiza wanadamu wamfanyie ibada
Na aliwapa taratibu za ibada
 
Soma vizuri biblia
Ni siku upi ya ibada?
KWA nini watu wanaabudu jumapili na ijumaa
Jibu lako, msabato anaamini katika agano la kale zaidi na ame base katika torati ya nabii mussa, kwahiyo mfumo ambao umebadilishwa na nabii Al Masih issa ibn Maryam ambao madhehebu mengine wanatumia kama Lutheran, angelican, roman catholic, morovian, pentecostal, na kadhalika...

1. Kusali jumapili, jumapili ni siku ya kwanza katika juma kulingana na kalenda ya ulimwengu.

2. Wasabato hasa wanawake hawatoboi sikio, pua, mikufu, shanga za kiuno, au vikuku, Wala nywele zao hawaweki dawa Wala kusuka Rasta hii ilikuwa agano la kale lakini agano jipya ameruhusiwa mwanamke kujipamba hasa mbele ya mumewe.

3. Wasabato wengi wanapatikana kaskazini wapare waarusha na kadhalika hii pia inategemeana na ukabila hasa tabia ya uchoyo

ANGALIZO.
usiamini katika dini kwa sababu ni utumwa hasa katika ubongo wa mwafrika.
 
Yani mkisemwa nyie hadi mgeukie waislamu, acheni shobo
Listen:
1: Muslim is man made religion in any case no any evidence that it was an order from God

With Reference from
Qur'an 62;9
Sunan Ibn Majah 1082
Tafhim al-Qur'an. The Qur'an verse commentary for 62:9-10
Prove that The Friday whoship is from God and not Zurarah???
 
Agizo la kuabudu siku ya sabato ambayo ni Jumamosi ilitolewa kwa watu gani hasa? Waislamu hawahusiki?
Ngoja nikufumbue macho hapa,,,,Iko ivi yesu hakuanzisha kanisa ila aliendelea kusari siku ya jumamosi kama ilivyokuwa desturi ya wayahudi, lakini alikuja na mfumo wa kufundisha injili tofauti na wayahudi.
-Ikumbukwe kuwa wayahudi hawakutaka watu wengine kujifunza dini Yao .
-mafundisho ya YESU yaliwavutia watu wengi duniani na kumuamini , wale waliomwamini hawakuwa na jina Wala kanisa, bali waliendelea na Ibada ya wayahudi yakutunza sabato.
-Hili jina wakristo lilianzishwa baada ya YESU kufa kama utani, wafuasi wa yesu.
-Ikumbukwe kuwa Yesu alipokufa aliacha madhehebu zaidi ya mawili katika uyahudi nayo ni mafarisayo,masadukayo.......
-Hivyo basi waislamu hawamtambui yesu , wanasema Yesu ni nabii isaya
Wao wanamjua mtume muhamadi.
-Jina la wasabato limepatikana 1840s kama wafuasi wa Imani ya YESU
-Hata uyahudi hivi leo Bado yapo madhehebu mengi tu........
 
Wadau hamjamboni nyote?

Niende kwenye hoja

Huwezi ona msabato akimsema muislamu kuwa ati anafanya dhambi kuabudu siku ya ijumaa ila ni kawaida kumsikia akimuhesabia dhambi Mkatoliki kwa kuabudu jumapili badala ya jumamosi

Kwa msabato siku ya jumapili ambayo ndiyo aliyofufuka Bwana yetu Yesu Kristo ni Alama ya Mnyama!


Swali langu kwa Wasabato siku ya Ijumaa ni Alama ya nini hasa kimaandiko?

Kwanini kuabudu jumapili ndiyo dhambi lakini ijumaa sijawahi sikia au kusoma sehemu yeyote kuwa ni dhambi?

Why? Why?

Nasubiri elimu kutoka kwa wajuzi
Listen:
1: Muslim is man made religion in any case no any evidence that it was an order from God

With Reference from
Qur'an 62;9
Sunan Ibn Majah 1082
Tafhim al-Qur'an. The Qur'an verse commentary for 62:9-10
Prove that The Friday whoship is from God and not Zurarah???
 
Wadau hamjamboni nyote?

Niende kwenye hoja

Huwezi ona msabato akimsema muislamu kuwa ati anafanya dhambi kuabudu siku ya ijumaa ila ni kawaida kumsikia akimuhesabia dhambi Mkatoliki kwa kuabudu jumapili badala ya jumamosi

Kwa msabato siku ya jumapili ambayo ndiyo aliyofufuka Bwana yetu Yesu Kristo ni Alama ya Mnyama!


Swali langu kwa Wasabato siku ya Ijumaa ni Alama ya nini hasa kimaandiko?

Kwanini kuabudu jumapili ndiyo dhambi lakini ijumaa sijawahi sikia au kusoma sehemu yeyote kuwa ni dhambi?

Why? Why?

Nasubiri elimu kutoka kwa wajuzi
Jumamosi ni siku ya kwanza ya wiki

neno mosi ni kwanza au ya kwanza
Mfano mei mosi ni siku ya kwanza ya mwezi wa tano
 
Agizo la kuabudu siku ya sabato ambayo ni Jumamosi ilitolewa kwa watu gani hasa? Waislamu hawahusiki?
Listen:
1: Muslim is man made religion in any case no any evidence that it was an order from God

With Reference from
Qur'an 62;9
Sunan Ibn Majah 1082
Tafhim al-Qur'an. The Qur'an verse commentary for 62:9-10
Prove that The Friday whoship is from God and not Zurarah???
 
Jumamosi ni siku ya kwanza ya wiki

neno mosi ni kwanza au ya kwanza
Mfano mei mosi ni siku ya kwanza ya mwezi wa tano
Haya ni majina kutoka Kwa waarabu kipindi Cha ukoloni ,ili watupoteze kuwa ijumaa ndo sabato.......angalia hata dictionary inasema Sunday first day of the week
 
C
Sasa inakuaje Jumapili inakuwa alama ya Mnyama na siyo Ijumaa? Yaani anayesali Jumapili anakosea Kwa kutokusali jumamosi Sasa kwanini anayesali ijumaa badala ya jumamosi awe sahihi?
Chochote utakachofanya ambacho MUNGU hajakiagiza ni alama ya mnyama, hata ijumaa.......
 
Back
Top Bottom