Jibu lako, msabato anaamini katika agano la kale zaidi na ame base katika torati ya nabii mussa, kwahiyo mfumo ambao umebadilishwa na nabii Al Masih issa ibn Maryam ambao madhehebu mengine wanatumia kama Lutheran, angelican, roman catholic, morovian, pentecostal, na kadhalika...
1. Kusali jumapili, jumapili ni siku ya kwanza katika juma kulingana na kalenda ya ulimwengu.
2. Wasabato hasa wanawake hawatoboi sikio, pua, mikufu, shanga za kiuno, au vikuku, Wala nywele zao hawaweki dawa Wala kusuka Rasta hii ilikuwa agano la kale lakini agano jipya ameruhusiwa mwanamke kujipamba hasa mbele ya mumewe.
3. Wasabato wengi wanapatikana kaskazini wapare waarusha na kadhalika hii pia inategemeana na ukabila hasa tabia ya uchoyo
ANGALIZO.
usiamini katika dini kwa sababu ni utumwa hasa katika ubongo wa mwafrika.