Wasabato mnadai wanaoabudu jumapili wamepotea, siku hiyo ni Alama ya Mnyama, Je wanaoabudu ijumaa badala ya jumamosi nao wamepotea?

Wasabato mnadai wanaoabudu jumapili wamepotea, siku hiyo ni Alama ya Mnyama, Je wanaoabudu ijumaa badala ya jumamosi nao wamepotea?

Waabudu jumapili na jumamosi kwa kiasi fulani wapo ndani ya frequency moja. But waabudu jumapili na jumamosi na wale waabudu Ijumaa wapo frequency mbili tofauti. Kundi la Jumapili na Jumamosi wapo ktk imani moja ingawa katika namna tofauti ya kumtafuta muumba wao lakini wale wa Ijumaa Mungu wao ni tofauti na hayo makundi ya jumamosi na jumapili. Usije kuniuliza yupi yupo sahihi maana mimi sijui. Ila kila moja ana muabudu Mungu wak


Wadau hamjamboni nyote?

Niende kwenye hoja

Huwezi ona msabato akimsema muislamu kuwa ati anafanya dhambi kuabudu siku ya ijumaa ila ni kawaida kumsikia akimuhesabia dhambi Mkatoliki kwa kuabudu jumapili badala ya jumamosi

Kwa msabato siku ya jumapili ambayo ndiyo aliyofufuka Bwana yetu Yesu Kristo ni Alama ya Mnyama!


Swali langu kwa Wasabato siku ya Ijumaa ni Alama ya nini hasa kimaandiko?

Kwanini kuabudu jumapili ndiyo dhambi lakini ijumaa sijawahi sikia au kusoma sehemu yeyote kuwa ni dhambi?

Why? Why?

Nasubiri elimu kutoka kwa ww


Huo utaratibu wameweka wenyewe wanadamu, sipo kubishana kwa 7bu ya dini. 😡😡😡
KUTOBADILIKA KWA SHERIA YA MUNGU.

Soma Mathayo 5:17, 18; Zaburi 111:7, 8; Mhubiri 12:13, 14; 1 Yohana 5:3; na Mithali 28:9. Je, vifungu hivi vya Biblia vinafundisha nini kuhusu uhusiano wa Mkristo na sheria?

Waadventista wa Sabato wanafuata nyayo za wanamatengenezo wa Kiprotestanti ambao walitetea utakatifu wa sheria ya Mungu. Zingatia uthibitisho huu mzito wa John Wesley: “Kaida au sheria ya kiibada iliyotolewa na Musa kwa wana wa Israeli, ikijumuisha Sheria zote za makatazo na kaida zilizohusiana na dhabihu za zamani na huduma ya hekalu, Bwana wetu kwa hakika alikuja; kuharibu, kufuta na kukomesha kabisa... . Lakini sheria ya maadili iliyomo katika Amri Kumi na kutekelezwa na manabii, hakuiondoa. Halikuwa kusudi la kuja kwake kubatilisha sehemu yoyote ya hii. Hii ni sheria ambayo kamwe haiwezi kuvunjwa, ambayo 'inasimama imara kama shahidi mwaminifu mbinguni. ' ... Kila sehemu ya sheria hii lazima iendelee kutumika, juu ya wanadamu wote na katika enzi zote; pasipo kutegemea wakati au mahali au hali nyingine zozote zinazoweza kubadilika, bali juu ya asili ya Mungu na asili ya mwanadamu na uhusiano wao usiobadilika kati yao wenyewe.— “Upon Our Lord's Sermon on the Mount,” Discourse V, John Wesley's Sermons: An Anthology (Nashville, TN: Abington Press, 1991), uk. 208, 209.

Linganisha Kutoka 34:5-7 na Warumi 7:11, 12; Zaburi 19:7-11; Zaburi 89:14; na Zaburi 119:142, 172. Vifungu hivi vinatuambia nini kuhusu uhusiano kati ya sheria ya Mungu na tabia ya Mungu?

Kwa kuwa sheria ya Mungu ni nakala ya tabia Yake, msingi wa kiti Chake cha enzi na msingi wa maadili kwa wanadamu, Shetani anaichukia. “Hakuna mtu ambaye angeshindwa kuona kuwa ikiwa hema ya duniani ilikuwa mfano au nakala ya hekalu la mbinguni, sheria iliyohifadhiwa katika sanduku la agano la hema ya duniani ilikuwa ni nakala ya sheria iliyoko katika sanduku la agano la mbinguni; na kuwa kukubali kwa imani ukweli kuhusu hema ya mbinguni kulijumuisha kutambua madai ya sheria ya Mungu na madai ya Sabato ya amri ya nne. Hapa ndipo kulikuwa na siri ya upinzani mkali na wa makusudi dhidi ya ufafanuzi wenye mwafaka wa Maandiko yaliyofunua huduma ya Kristo katika hekalu la mbinguni.” — Ellen G. White, Pambano Kuu, uk.360.

Je, ni sababu zipi ambazo watu hutoa mara nyingi kama hoja kwamba hatulazimiki tena kuzishika Amri Kumi? Unafikiri ni nini hasa kiko nyuma yake?
🙏🙏🙏🙏
 
Wadau hamjamboni nyote?

Niende kwenye hoja

Huwezi ona msabato akimsema muislamu kuwa ati anafanya dhambi kuabudu siku ya ijumaa ila ni kawaida kumsikia akimuhesabia dhambi Mkatoliki kwa kuabudu jumapili badala ya jumamosi

Kwa msabato siku ya jumapili ambayo ndiyo aliyofufuka Bwana yetu Yesu Kristo ni Alama ya Mnyama!


Swali langu kwa Wasabato siku ya Ijumaa ni Alama ya nini hasa kimaandiko?

Kwanini kuabudu jumapili ndiyo dhambi lakini ijumaa sijawahi sikia au kusoma sehemu yeyote kuwa ni dhambi?

Why? Why?

Nasubiri elimu kutoka kwa wajuzi
KUTOBADILIKA KWA SHERIA YA MUNGU.

Soma Mathayo 5:17, 18; Zaburi 111:7, 8; Mhubiri 12:13, 14; 1 Yohana 5:3; na Mithali 28:9. Je, vifungu hivi vya Biblia vinafundisha nini kuhusu uhusiano wa Mkristo na sheria?

Waadventista wa Sabato wanafuata nyayo za wanamatengenezo wa Kiprotestanti ambao walitetea utakatifu wa sheria ya Mungu. Zingatia uthibitisho huu mzito wa John Wesley: “Kaida au sheria ya kiibada iliyotolewa na Musa kwa wana wa Israeli, ikijumuisha Sheria zote za makatazo na kaida zilizohusiana na dhabihu za zamani na huduma ya hekalu, Bwana wetu kwa hakika alikuja; kuharibu, kufuta na kukomesha kabisa... . Lakini sheria ya maadili iliyomo katika Amri Kumi na kutekelezwa na manabii, hakuiondoa. Halikuwa kusudi la kuja kwake kubatilisha sehemu yoyote ya hii. Hii ni sheria ambayo kamwe haiwezi kuvunjwa, ambayo 'inasimama imara kama shahidi mwaminifu mbinguni. ' ... Kila sehemu ya sheria hii lazima iendelee kutumika, juu ya wanadamu wote na katika enzi zote; pasipo kutegemea wakati au mahali au hali nyingine zozote zinazoweza kubadilika, bali juu ya asili ya Mungu na asili ya mwanadamu na uhusiano wao usiobadilika kati yao wenyewe.— “Upon Our Lord's Sermon on the Mount,” Discourse V, John Wesley's Sermons: An Anthology (Nashville, TN: Abington Press, 1991), uk. 208, 209.

Linganisha Kutoka 34:5-7 na Warumi 7:11, 12; Zaburi 19:7-11; Zaburi 89:14; na Zaburi 119:142, 172. Vifungu hivi vinatuambia nini kuhusu uhusiano kati ya sheria ya Mungu na tabia ya Mungu?

Kwa kuwa sheria ya Mungu ni nakala ya tabia Yake, msingi wa kiti Chake cha enzi na msingi wa maadili kwa wanadamu, Shetani anaichukia. “Hakuna mtu ambaye angeshindwa kuona kuwa ikiwa hema ya duniani ilikuwa mfano au nakala ya hekalu la mbinguni, sheria iliyohifadhiwa katika sanduku la agano la hema ya duniani ilikuwa ni nakala ya sheria iliyoko katika sanduku la agano la mbinguni; na kuwa kukubali kwa imani ukweli kuhusu hema ya mbinguni kulijumuisha kutambua madai ya sheria ya Mungu na madai ya Sabato ya amri ya nne. Hapa ndipo kulikuwa na siri ya upinzani mkali na wa makusudi dhidi ya ufafanuzi wenye mwafaka wa Maandiko yaliyofunua huduma ya Kristo katika hekalu la mbinguni.” — Ellen G. White, Pambano Kuu, uk.360.

Je, ni sababu zipi ambazo watu hutoa mara nyingi kama hoja kwamba hatulazimiki tena kuzishika Amri Kumi? Unafikiri ni nini hasa kiko nyuma yake?
🙏🙏🙏🙏
 
Adui wa Wasabato ni kanisa katoliki wala siyo waislamu, huwezi kuwasikia hata siku moja wasabato wakiwaponda waislamu, wao na kanisa katoliki tu, usabato haukamiliki bila kanisa katoliki.
Husipotoshe
KUTOBADILIKA KWA SHERIA YA MUNGU.

Soma Mathayo 5:17, 18; Zaburi 111:7, 8; Mhubiri 12:13, 14; 1 Yohana 5:3; na Mithali 28:9. Je, vifungu hivi vya Biblia vinafundisha nini kuhusu uhusiano wa Mkristo na sheria?

Waadventista wa Sabato wanafuata nyayo za wanamatengenezo wa Kiprotestanti ambao walitetea utakatifu wa sheria ya Mungu. Zingatia uthibitisho huu mzito wa John Wesley: “Kaida au sheria ya kiibada iliyotolewa na Musa kwa wana wa Israeli, ikijumuisha Sheria zote za makatazo na kaida zilizohusiana na dhabihu za zamani na huduma ya hekalu, Bwana wetu kwa hakika alikuja; kuharibu, kufuta na kukomesha kabisa... . Lakini sheria ya maadili iliyomo katika Amri Kumi na kutekelezwa na manabii, hakuiondoa. Halikuwa kusudi la kuja kwake kubatilisha sehemu yoyote ya hii. Hii ni sheria ambayo kamwe haiwezi kuvunjwa, ambayo 'inasimama imara kama shahidi mwaminifu mbinguni. ' ... Kila sehemu ya sheria hii lazima iendelee kutumika, juu ya wanadamu wote na katika enzi zote; pasipo kutegemea wakati au mahali au hali nyingine zozote zinazoweza kubadilika, bali juu ya asili ya Mungu na asili ya mwanadamu na uhusiano wao usiobadilika kati yao wenyewe.— “Upon Our Lord's Sermon on the Mount,” Discourse V, John Wesley's Sermons: An Anthology (Nashville, TN: Abington Press, 1991), uk. 208, 209.

Linganisha Kutoka 34:5-7 na Warumi 7:11, 12; Zaburi 19:7-11; Zaburi 89:14; na Zaburi 119:142, 172. Vifungu hivi vinatuambia nini kuhusu uhusiano kati ya sheria ya Mungu na tabia ya Mungu?

Kwa kuwa sheria ya Mungu ni nakala ya tabia Yake, msingi wa kiti Chake cha enzi na msingi wa maadili kwa wanadamu, Shetani anaichukia. “Hakuna mtu ambaye angeshindwa kuona kuwa ikiwa hema ya duniani ilikuwa mfano au nakala ya hekalu la mbinguni, sheria iliyohifadhiwa katika sanduku la agano la hema ya duniani ilikuwa ni nakala ya sheria iliyoko katika sanduku la agano la mbinguni; na kuwa kukubali kwa imani ukweli kuhusu hema ya mbinguni kulijumuisha kutambua madai ya sheria ya Mungu na madai ya Sabato ya amri ya nne. Hapa ndipo kulikuwa na siri ya upinzani mkali na wa makusudi dhidi ya ufafanuzi wenye mwafaka wa Maandiko yaliyofunua huduma ya Kristo katika hekalu la mbinguni.” — Ellen G. White, Pambano Kuu, uk.360.

Je, ni sababu zipi ambazo watu hutoa mara nyingi kama hoja kwamba hatulazimiki tena kuzishika Amri Kumi? Unafikiri ni nini hasa kiko nyuma yake?
🙏🙏🙏🙏
 
Mungu hata hana habari na Sabato, Sijui Katoriki, ma Ulokole, Wala hana shida na kusali Jumapili ama Jumamosi...!

Hasumbuki na Ubatizo wa Maji mengi Wala Maji madogo...!

Yeye anaangalia Moyo wako....!
Full stop.
 
Wasabato siyo Wakristo.
Haha haha HACHA uongo
KUTOBADILIKA KWA SHERIA YA MUNGU.

Soma Mathayo 5:17, 18; Zaburi 111:7, 8; Mhubiri 12:13, 14; 1 Yohana 5:3; na Mithali 28:9. Je, vifungu hivi vya Biblia vinafundisha nini kuhusu uhusiano wa Mkristo na sheria?

Waadventista wa Sabato wanafuata nyayo za wanamatengenezo wa Kiprotestanti ambao walitetea utakatifu wa sheria ya Mungu. Zingatia uthibitisho huu mzito wa John Wesley: “Kaida au sheria ya kiibada iliyotolewa na Musa kwa wana wa Israeli, ikijumuisha Sheria zote za makatazo na kaida zilizohusiana na dhabihu za zamani na huduma ya hekalu, Bwana wetu kwa hakika alikuja; kuharibu, kufuta na kukomesha kabisa... . Lakini sheria ya maadili iliyomo katika Amri Kumi na kutekelezwa na manabii, hakuiondoa. Halikuwa kusudi la kuja kwake kubatilisha sehemu yoyote ya hii. Hii ni sheria ambayo kamwe haiwezi kuvunjwa, ambayo 'inasimama imara kama shahidi mwaminifu mbinguni. ' ... Kila sehemu ya sheria hii lazima iendelee kutumika, juu ya wanadamu wote na katika enzi zote; pasipo kutegemea wakati au mahali au hali nyingine zozote zinazoweza kubadilika, bali juu ya asili ya Mungu na asili ya mwanadamu na uhusiano wao usiobadilika kati yao wenyewe.— “Upon Our Lord's Sermon on the Mount,” Discourse V, John Wesley's Sermons: An Anthology (Nashville, TN: Abington Press, 1991), uk. 208, 209.

Linganisha Kutoka 34:5-7 na Warumi 7:11, 12; Zaburi 19:7-11; Zaburi 89:14; na Zaburi 119:142, 172. Vifungu hivi vinatuambia nini kuhusu uhusiano kati ya sheria ya Mungu na tabia ya Mungu?

Kwa kuwa sheria ya Mungu ni nakala ya tabia Yake, msingi wa kiti Chake cha enzi na msingi wa maadili kwa wanadamu, Shetani anaichukia. “Hakuna mtu ambaye angeshindwa kuona kuwa ikiwa hema ya duniani ilikuwa mfano au nakala ya hekalu la mbinguni, sheria iliyohifadhiwa katika sanduku la agano la hema ya duniani ilikuwa ni nakala ya sheria iliyoko katika sanduku la agano la mbinguni; na kuwa kukubali kwa imani ukweli kuhusu hema ya mbinguni kulijumuisha kutambua madai ya sheria ya Mungu na madai ya Sabato ya amri ya nne. Hapa ndipo kulikuwa na siri ya upinzani mkali na wa makusudi dhidi ya ufafanuzi wenye mwafaka wa Maandiko yaliyofunua huduma ya Kristo katika hekalu la mbinguni.” — Ellen G. White, Pambano Kuu, uk.360.

Je, ni sababu zipi ambazo watu hutoa mara nyingi kama hoja kwamba hatulazimiki tena kuzishika Amri Kumi? Unafikiri ni nini hasa kiko nyuma yake?
🙏🙏🙏🙏
 
Mungu hata hana habari na Sabato, Sijui Katoriki, ma Ulokole, Wala hana shida na kusali Jumapili ama Jumamosi...!

Hasumbuki na Ubatizo wa Maji mengi Wala Maji madogo...!

Yeye anaangalia Moyo wako....!
Full stop.
Jidandanye utaenda mbingu ya maboksi
Mungu ni Mungu wa taratibu
KUTOBADILIKA KWA SHERIA YA MUNGU.

Soma Mathayo 5:17, 18; Zaburi 111:7, 8; Mhubiri 12:13, 14; 1 Yohana 5:3; na Mithali 28:9. Je, vifungu hivi vya Biblia vinafundisha nini kuhusu uhusiano wa Mkristo na sheria?

Waadventista wa Sabato wanafuata nyayo za wanamatengenezo wa Kiprotestanti ambao walitetea utakatifu wa sheria ya Mungu. Zingatia uthibitisho huu mzito wa John Wesley: “Kaida au sheria ya kiibada iliyotolewa na Musa kwa wana wa Israeli, ikijumuisha Sheria zote za makatazo na kaida zilizohusiana na dhabihu za zamani na huduma ya hekalu, Bwana wetu kwa hakika alikuja; kuharibu, kufuta na kukomesha kabisa... . Lakini sheria ya maadili iliyomo katika Amri Kumi na kutekelezwa na manabii, hakuiondoa. Halikuwa kusudi la kuja kwake kubatilisha sehemu yoyote ya hii. Hii ni sheria ambayo kamwe haiwezi kuvunjwa, ambayo 'inasimama imara kama shahidi mwaminifu mbinguni. ' ... Kila sehemu ya sheria hii lazima iendelee kutumika, juu ya wanadamu wote na katika enzi zote; pasipo kutegemea wakati au mahali au hali nyingine zozote zinazoweza kubadilika, bali juu ya asili ya Mungu na asili ya mwanadamu na uhusiano wao usiobadilika kati yao wenyewe.— “Upon Our Lord's Sermon on the Mount,” Discourse V, John Wesley's Sermons: An Anthology (Nashville, TN: Abington Press, 1991), uk. 208, 209.

Linganisha Kutoka 34:5-7 na Warumi 7:11, 12; Zaburi 19:7-11; Zaburi 89:14; na Zaburi 119:142, 172. Vifungu hivi vinatuambia nini kuhusu uhusiano kati ya sheria ya Mungu na tabia ya Mungu?

Kwa kuwa sheria ya Mungu ni nakala ya tabia Yake, msingi wa kiti Chake cha enzi na msingi wa maadili kwa wanadamu, Shetani anaichukia. “Hakuna mtu ambaye angeshindwa kuona kuwa ikiwa hema ya duniani ilikuwa mfano au nakala ya hekalu la mbinguni, sheria iliyohifadhiwa katika sanduku la agano la hema ya duniani ilikuwa ni nakala ya sheria iliyoko katika sanduku la agano la mbinguni; na kuwa kukubali kwa imani ukweli kuhusu hema ya mbinguni kulijumuisha kutambua madai ya sheria ya Mungu na madai ya Sabato ya amri ya nne. Hapa ndipo kulikuwa na siri ya upinzani mkali na wa makusudi dhidi ya ufafanuzi wenye mwafaka wa Maandiko yaliyofunua huduma ya Kristo katika hekalu la mbinguni.” — Ellen G. White, Pambano Kuu, uk.360.

Je, ni sababu zipi ambazo watu hutoa mara nyingi kama hoja kwamba hatulazimiki tena kuzishika Amri Kumi? Unafikiri ni nini hasa kiko nyuma yake?
🙏🙏🙏🙏
 
Listen:
1: Muslim is man made religion in any case no any evidence that it was an order from God

With Reference from
Qur'an 62;9
Sunan Ibn Majah 1082
Tafhim al-Qur'an. The Qur'an verse commentary for 62:9-10
Prove that The Friday whoship is from God and not Zurarah???
Umeandika ujinga gan?
 
Hoja Mkuu wanaoabudu ijumaa badala ya jumamosi wanafanya dhambi au la? Agizo la kuabudu siku ya sabato ni la Mungu?
Sabato ni agizo la Mungu
KUTOBADILIKA KWA SHERIA YA MUNGU.

Soma Mathayo 5:17, 18; Zaburi 111:7, 8; Mhubiri 12:13, 14; 1 Yohana 5:3; na Mithali 28:9. Je, vifungu hivi vya Biblia vinafundisha nini kuhusu uhusiano wa Mkristo na sheria?

Waadventista wa Sabato wanafuata nyayo za wanamatengenezo wa Kiprotestanti ambao walitetea utakatifu wa sheria ya Mungu. Zingatia uthibitisho huu mzito wa John Wesley: “Kaida au sheria ya kiibada iliyotolewa na Musa kwa wana wa Israeli, ikijumuisha Sheria zote za makatazo na kaida zilizohusiana na dhabihu za zamani na huduma ya hekalu, Bwana wetu kwa hakika alikuja; kuharibu, kufuta na kukomesha kabisa... . Lakini sheria ya maadili iliyomo katika Amri Kumi na kutekelezwa na manabii, hakuiondoa. Halikuwa kusudi la kuja kwake kubatilisha sehemu yoyote ya hii. Hii ni sheria ambayo kamwe haiwezi kuvunjwa, ambayo 'inasimama imara kama shahidi mwaminifu mbinguni. ' ... Kila sehemu ya sheria hii lazima iendelee kutumika, juu ya wanadamu wote na katika enzi zote; pasipo kutegemea wakati au mahali au hali nyingine zozote zinazoweza kubadilika, bali juu ya asili ya Mungu na asili ya mwanadamu na uhusiano wao usiobadilika kati yao wenyewe.— “Upon Our Lord's Sermon on the Mount,” Discourse V, John Wesley's Sermons: An Anthology (Nashville, TN: Abington Press, 1991), uk. 208, 209.

Linganisha Kutoka 34:5-7 na Warumi 7:11, 12; Zaburi 19:7-11; Zaburi 89:14; na Zaburi 119:142, 172. Vifungu hivi vinatuambia nini kuhusu uhusiano kati ya sheria ya Mungu na tabia ya Mungu?

Kwa kuwa sheria ya Mungu ni nakala ya tabia Yake, msingi wa kiti Chake cha enzi na msingi wa maadili kwa wanadamu, Shetani anaichukia. “Hakuna mtu ambaye angeshindwa kuona kuwa ikiwa hema ya duniani ilikuwa mfano au nakala ya hekalu la mbinguni, sheria iliyohifadhiwa katika sanduku la agano la hema ya duniani ilikuwa ni nakala ya sheria iliyoko katika sanduku la agano la mbinguni; na kuwa kukubali kwa imani ukweli kuhusu hema ya mbinguni kulijumuisha kutambua madai ya sheria ya Mungu na madai ya Sabato ya amri ya nne. Hapa ndipo kulikuwa na siri ya upinzani mkali na wa makusudi dhidi ya ufafanuzi wenye mwafaka wa Maandiko yaliyofunua huduma ya Kristo katika hekalu la mbinguni.” — Ellen G. White, Pambano Kuu, uk.360.

Je, ni sababu zipi ambazo watu hutoa mara nyingi kama hoja kwamba hatulazimiki tena kuzishika Amri Kumi? Unafikiri ni nini hasa kiko nyuma yake?
🙏🙏🙏🙏
 
Sasa inakuaje Jumapili inakuwa alama ya Mnyama na siyo Ijumaa? Yaani anayesali Jumapili anakosea Kwa kutokusali jumamosi Sasa kwanini anayesali ijumaa badala ya jumamosi awe sahihi?
ALAMA YA MNYAMA.

Soma Ufunuo 12:12, 17 na Ufunuo 13:7. Je, maandiko haya yanafichuaje ghadhabu ya Shetani? Kwa nini ibilisi amekasirishwa sana na watu wa Mungu wa wakati wa mwisho?

Ufunuo 12 inaeleza kwa muhtasari pambano la ulimwengu mzima kati ya Kristo na Shetani katika vizazi vyote. Linafikia upeo kwa shambulio la mwisho la Shetani kwa watu wa Mungu, Ufunuo 13 inajulisha juu ya washirika wawili wa joka, mnyama kutoka baharini na mnyama kutoka nchi kavu. Mamlaka hizo mbili zinaungana naye katika kupigana na watu wa Mungu.

Soma ufunuo 13:4, 8, 12, 15 na Ufunuo 14:7, 9-11. (Angalia pia Ufu. 15:4, Ufu. 16:2, Ufu. 19:20, Ufu. 20:4, Ufu. 22:9.) Ni mada gani kuu inayopatikana katika vifungu hivi vyote?

Zingatia tofauti. Ama watu wanamwabudu Muumba au wanaabudu kitu kingine. Muumba anastahili kuabudiwa (Ufu.5:9) Pambano kati ya Kristo na Shetani lilianzia mbinguni juu ya ibada "Nitapaa kupita vimo vya mawingu, nitafanana na Yeye Aliye Juu" (Isa. 14:14). Shetani alitaka ibada ambayo ni ya Muumba pekee, Kulingana na Ufunuo 13, anafaulu kupitia utendaji wa mnyama wa nchi kavu (Ufu. 13:4).

Ulinganisho na Danieli 7 unaonesha kwamba hayawani-mwitu (mnyama) wa nchi kavu ni sawa na ile pembe ndogo “Naye ataazimu kubadili majira na sheria” naye atatawala kwa “siku” za kiunabii 1,260, yaani, kwa miaka 1,260 (Dan. 7:25; linganisha. Ufu. 13:5; tazama Somo la 6). Sehemu pekee ya sheria ya Mungu ya Amri Kumi inayohusika na wakati ni amri ya nne. Kanisa hili limejaribu kubadilisha siku ya ibada kutoka Jumamosi, siku ya saba hadi

Jumapili, siku ya kwanza ya juma

Kwa mamlaka ya kidunia kuazimu kubadilisha siku ya ibada, Sabato ya siku ya saba, ambayo Mungu mwenyewe alitoa kama ishara ya mamlaka Yake (Kut. 31:13; Eze. 20:12, 20), ni jaribio la kutwaa kwa nguvu mamlaka ya Mungu katika ngazi ya msingi kabisa iwezekanayo. Juu ya jambo hili, basi, ndipo lilipo lengo la pambano la mwisho juu ya ibada ya kweli na ya uongo.

Kwa sababu hii, Ufunuo inawatambulisha watu walio waaminifu kwa Mungu kuwa ni wale “wazishikao amri za Mungu (Ufu. 12:17, Ufu. 14:12). Hii inajumuisha Sabato ya siku ya saba, siyo Jumapili. Wale wanaokataa mwito wa mwisho wa wale malaika watatu wa kumwabudu Mungu katika siku Yake takatifu (Isa. 58:13) na wanaoabudu mnyama katika sabato yake bandia, Jumapili watapokea chapa ya mnyama (angalia Somo la 11).
🙏🙏🙏🙏
 
ALAMA YA MNYAMA.

Soma Ufunuo 12:12, 17 na Ufunuo 13:7. Je, maandiko haya yanafichuaje ghadhabu ya Shetani? Kwa nini ibilisi amekasirishwa sana na watu wa Mungu wa wakati wa mwisho?

Ufunuo 12 inaeleza kwa muhtasari pambano la ulimwengu mzima kati ya Kristo na Shetani katika vizazi vyote. Linafikia upeo kwa shambulio la mwisho la Shetani kwa watu wa Mungu, Ufunuo 13 inajulisha juu ya washirika wawili wa joka, mnyama kutoka baharini na mnyama kutoka nchi kavu. Mamlaka hizo mbili zinaungana naye katika kupigana na watu wa Mungu.

Soma ufunuo 13:4, 8, 12, 15 na Ufunuo 14:7, 9-11. (Angalia pia Ufu. 15:4, Ufu. 16:2, Ufu. 19:20, Ufu. 20:4, Ufu. 22:9.) Ni mada gani kuu inayopatikana katika vifungu hivi vyote?

Zingatia tofauti. Ama watu wanamwabudu Muumba au wanaabudu kitu kingine. Muumba anastahili kuabudiwa (Ufu.5:9) Pambano kati ya Kristo na Shetani lilianzia mbinguni juu ya ibada "Nitapaa kupita vimo vya mawingu, nitafanana na Yeye Aliye Juu" (Isa. 14:14). Shetani alitaka ibada ambayo ni ya Muumba pekee, Kulingana na Ufunuo 13, anafaulu kupitia utendaji wa mnyama wa nchi kavu (Ufu. 13:4).

Ulinganisho na Danieli 7 unaonesha kwamba hayawani-mwitu (mnyama) wa nchi kavu ni sawa na ile pembe ndogo “Naye ataazimu kubadili majira na sheria” naye atatawala kwa “siku” za kiunabii 1,260, yaani, kwa miaka 1,260 (Dan. 7:25; linganisha. Ufu. 13:5; tazama Somo la 6). Sehemu pekee ya sheria ya Mungu ya Amri Kumi inayohusika na wakati ni amri ya nne. Kanisa hili limejaribu kubadilisha siku ya ibada kutoka Jumamosi, siku ya saba hadi

Jumapili, siku ya kwanza ya juma

Kwa mamlaka ya kidunia kuazimu kubadilisha siku ya ibada, Sabato ya siku ya saba, ambayo Mungu mwenyewe alitoa kama ishara ya mamlaka Yake (Kut. 31:13; Eze. 20:12, 20), ni jaribio la kutwaa kwa nguvu mamlaka ya Mungu katika ngazi ya msingi kabisa iwezekanayo. Juu ya jambo hili, basi, ndipo lilipo lengo la pambano la mwisho juu ya ibada ya kweli na ya uongo.

Kwa sababu hii, Ufunuo inawatambulisha watu walio waaminifu kwa Mungu kuwa ni wale “wazishikao amri za Mungu (Ufu. 12:17, Ufu. 14:12). Hii inajumuisha Sabato ya siku ya saba, siyo Jumapili. Wale wanaokataa mwito wa mwisho wa wale malaika watatu wa kumwabudu Mungu katika siku Yake takatifu (Isa. 58:13) na wanaoabudu mnyama katika sabato yake bandia, Jumapili watapokea chapa ya mnyama (angalia Somo la 11).
🙏🙏🙏🙏
Hii kalenda tunayotumia iliandikwa na nani?
 
Mungu hata hana habari na Sabato, Sijui Katoriki, ma Ulokole, Wala hana shida na kusali Jumapili ama Jumamosi...!

Hasumbuki na Ubatizo wa Maji mengi Wala Maji madogo...!

Yeye anaangalia Moyo wako....!
Full stop.
Rekebisha Mkuu ni Katoliki siyo katoriki
 
Dini ni za kiabrahamu ni utumwa wa kitamaduni na kijamii kwa mwafrika.
 
Kujua kuwa hii kalenda iliandikwa na fulani bin fulani haikusaidii
Yani kalenda aandike Gregory halafu siku ya saba aijuwe msabato andaeni kalenda yenu acheni kujizima data.

Waislamu wana kalenda yao hawatumii kalenda ya Gregory kwenye mambo wana miezi yao na mwaka wao.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Niende kwenye hoja

Huwezi ona msabato akimsema muislamu kuwa ati anafanya dhambi kuabudu siku ya ijumaa ila ni kawaida kumsikia akimuhesabia dhambi Mkatoliki kwa kuabudu jumapili badala ya jumamosi

Kwa msabato siku ya jumapili ambayo ndiyo aliyofufuka Bwana yetu Yesu Kristo ni Alama ya Mnyama!


Swali langu kwa Wasabato siku ya Ijumaa ni Alama ya nini hasa kimaandiko?

Kwanini kuabudu jumapili ndiyo dhambi lakini ijumaa sijawahi sikia au kusoma sehemu yeyote kuwa ni dhambi?

Why? Why?

Nasubiri elimu kutoka kwa wajuzi
Chai
 
Mijadala ya imani haijawahi kupata mshindi kila mtu aamini anachoamini
 
Back
Top Bottom