Elsa Marie
JF-Expert Member
- Jul 7, 2017
- 2,284
- 5,596
Una hasira sana ndugu.Pesa za viingilio zao hukulipa wewe unakuuma nini!? Unapangia matukiz watu??
Ukipeleka ushamba mbeya utabondwa kule hawakai mapunga shaur zenu
Sasa wakifuata nini tamashani,maana kurusha nawe sidhani kama tamasha liliendelea
Daaaaah Linex maye alikuja kigoma wahuni wakamkataa wakawa wanarusha mawe kwenye stageVideo inaonesha Zuchu akirushiwa chupa na wakurungwa. Hawataki aendelee naye aamua kuzila kurusha mic na kuondoka.
Wanaonekana wamechafukwa sana. Mbaya zaidi kuna mwimbaji ambaye alikuja lalamika kuwa jamaa wa huko ni wajeuri hawataki kuimbishwa. Wanasikika wakisema wanamtaka mke wa P.Diddy. Hawa ni wendawazimu yaani mke wa P.Diddy aje kuperform Tanzania? tena Mbeya? hawapo serious. kesho na keshokutwa watakuja kudai apelekwe Mke wa Dr. Dre au wa Jay Z au hata mke wa Justin Timberlake.
View attachment 3110354
Bado ni watu wa maana, maana wamelipa kwenda kuchezea hela zao wenyeweUna hasira sana ndugu.
Mimi nimemjibu aliyesema kwamba mbeya hawataki mambo ya kishoga.
Lakini cha ajabu wamelipia wakaenda.
Ilikuwa busara wao kugoma kabisa kwenda kwenye tamasha, wangeonekana watu wa maana zaidi.
Sawa. Lakini unajibu kwa hasira sana tatizo nini ndugu?Bado ni watu wa maana, maana wamelipa kwenda kuchezea hela zao wenyewe
Sasa wanaume wazima uwaimbishe
Ai mama sijiiii siji
SI wenyewe wakipanda kwenye stage wanawaita mashabiki wahuniii.Video inaonesha Zuchu akirushiwa chupa na wakurungwa. Hawataki aendelee naye aamua kuzila kurusha mic na kuondoka.
Wanaonekana wamechafukwa sana. Mbaya zaidi kuna mwimbaji ambaye alikuja lalamika kuwa jamaa wa huko ni wajeuri hawataki kuimbishwa. Wanasikika wakisema wanamtaka mke wa P.Diddy. Hawa ni wendawazimu yaani mke wa P.Diddy aje kuperform Tanzania? tena Mbeya? hawapo serious. kesho na keshokutwa watakuja kudai apelekwe Mke wa Dr. Dre au wa Jay Z au hata mke wa Justin Timberlake.
View attachment 3110354
Ushamba tu kwa watu mbeyaNadhani kuna baadhi ya wanamuziki, siyo wa kupelekwa Mbeya wakaimbe.
Ova
Wewe ina maana humjui mke wa pdiddy wanae mtaka!!? 😂😂🤣🤣🤣Video inaonesha Zuchu akirushiwa chupa na wakurungwa. Hawataki aendelee naye aamua kuzila kurusha mic na kuondoka.
Wanaonekana wamechafukwa sana. Mbaya zaidi kuna mwimbaji ambaye alikuja lalamika kuwa jamaa wa huko ni wajeuri hawataki kuimbishwa. Wanasikika wakisema wanamtaka mke wa P.Diddy. Hawa ni wendawazimu yaani mke wa P.Diddy aje kuperform Tanzania? tena Mbeya? hawapo serious. kesho na keshokutwa watakuja kudai apelekwe Mke wa Dr. Dre au wa Jay Z au hata mke wa Justin Timberlake.
View attachment 3110354