Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanza tuondoe kwenye ujinga wa watu wa Mbeya.
 
Lucas Mwashambwa naomba maelezo yenye ukamilifu, Zuchu mwana wa Hadija Kopa jirani yangu pale Mwananyamala alikumbwa na mkasa gani hapo Mbeya

Je, ni mambo ya Siasa au mambo ya ushindani wa Biashara za burudani za akina Babu Tale?

Nimekaa pale 🐼
 
Sasa wakifuata nini tamashani,maana kurusha nawe sidhani kama tamasha liliendelea
Kasema, wao walikuja kumtazama mke wa P Diddy. Sasa mke wa P Diddy na tamasha na Wasafi wapi na wapi? Mbeya nao bwana.

Kwa mtazamo wangu, I think Mbeya wanatakiwa kwenda kina Ney wa Mitego, Roma na Rostam group; hao ndio wataelewana nao
 
wanaume kumrushia chupa mwanamke ni jambo la hovyo sana, Zuchu ni mwanamke zile reaction ni kawaida
 
NASEMA HIVI.... SAMIA MUST GO AND TANGANYIKA MUST BE FREE .....HIYO VITA ILIYO MKUTA ZUCHU NI MWANZO WA VITA YA WATANGANYIKA DHIDI YA WAHUNI WAZANZIBAR NA RAIA FEKI WANSOTUTAWALA WATANGANYIKA KIFISADI KWA SASA TENA KINYUME NA HAKI ....MJALAANA SAMIA MUST GO.

Kwa sasa wazanzibar wametangaza uadui na watanganyika wazi wazi ...vita ndiyo kwanza imeanza.
 
Anapeleka ujinga wa mitano Tena Kwa watu wa mbeya,watu wamelipia burudani kusahau issue za kutekwa na manyanyaso ya Ccm yeye anawakumbusha Tena alipata anachostahili
 
Kaz yao kuinqd ccmu bas acha wakipate
 
Sasa wakifuata nini tamashani,maana kurusha nawe sidhani kama tamasha liliendelea
Wasanii wanafiki sana , kuimbia ushoga ndo wanajuwa , kukemea utekwaj na mauaji ya mashabiki zao ahh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…