Wasaidizi wa kazi kutembea na Baba wenye nyumba kuna madhara. Dada wa Arusha apokonyea Mwili wa marehemu


Mwanzo wa chuki, mauaji, Kesi, mapambano na Maisha ya tabu, Namshukuru Mungu Mali haijawahi niendesha
 
Nadhani mwanaume alikuwa mbabe ndio maana kazaa na house girl watoto wa 2 bila mke kufanya chochote. Mali hizi zinafanya wanawake tukae na wanaume tu hata kama wanatunyanyasa.
 


sababu za mume kuzaa nje wakati mwingine husababishwa na kiburi, dharau na kutowajibika kwa mke.
 
View attachment 3114007
Ukiona tabia za mwenzi wako zimekushinda kabisa kumvumilia na kumchukulia; m-divorce then katafute mwenzi mwingine. Hakuna justification ya kuchepuka
Kuna wanaume wanavumilia mpaka wanakopa. Kama ni kazi tungesema amefanya mpaka overtime bila malipo. Mwanaume ananyimwa huduma zote mpaka za unyumba. Akitafuta faraja analaumiwa,, ndiyo maana wangine hukatisha uhai au kuondoka na vyeti na briefcase tu.
 
Nadhani mwanaume alikuwa mbabe ndio maana kazaa na house girl watoto wa 2 bila mke kufanya chochote. Mali hizi zinafanya wanawake tukae na wanaume tu hata kama wanatunyanyasa.
Unategemea mke angefanya nini kama hakuwa na uwezo wa kumuacha? Amezaa watoto wawili nje na akawaleta kwa mkewe, na anawalea hadi sasa. Bado akaenda tena kuanzisha familia na house girl....
Kuna wanawake wanajali sana kuitwa mke kuliko kitu chochote hapa duniani. Na sio kwamba wote hawana hela; ni Ile tu title "Mrs"; washaamua kufia ndoa.
 
Ewaa hapo mwisho; ukimshindwa mtu, unatambaa zako mbele. Kaanzishe maisha mengine ya amani. Kuchepuka sio suluhu.
 
Nitajie kifungu kinachompa mtoto wa kiume mamlaka ya kusimamia mali za baba yake.
 
sababu za mume kuzaa nje wakati mwingine husababishwa na kiburi, dharau na kutowajibika kwa mke.
Sasa ukizaa nje ndiyo kiburi cha mke kinaisha au ndiyo kinachachamaa? Wanawake wengi wameshahalisha cheating; so wanaishi nayo kwa amani tu. Zaa uchoke
Cheating is a choice; some people choose not to cheat no matter how bad it is. And others choose to cheat, no matter how good it is.
 
Ooh hapo achukue tu vinavyomuhusu.
 
Asante kwa kutuhabarisha vyema. Maana wengine washaanza kumuona mama wa watu ni ana roho mbaya kumbe ana haki.
 
huyo mwenye cheti atawashinda wote mahakamani. aende tu kisheria. bimdogo naye kama hakufunga ndoa ya bomani au kama ndoa ya mke mkubwa ilikuwa ya kikristo, imekiula kwake. hana chake, ila watoto wanaweza kupata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…