Wasaidizi wa kazi kutembea na Baba wenye nyumba kuna madhara. Dada wa Arusha apokonyea Mwili wa marehemu

Eti mume ana uliza huyu mtt wa nani wakati hakuwa nyumban mwaka mzima 😆😆😆😆
 

Mfano hai ni Davis Mosha mali zake zote zinamilikiwa na kampuni.

Ama kina Mo dewji na bakhressa mali zao zinamilikiwa na Kampuni.
 
Hizi ndoa zina majanga. Ku.a watu wana miaka zaidi ya saba wanalala vyumba tofauti, na kila mmoja ana mpenzi wake nje.

Huu ni unafiki mkubwa sana mbele za Mungu.
Haya mambo bila kupata ukweli kutoka pande mbili unaweza kutoa lawama bure.
Sahihi
 

Yes. Kama hataki

Muhtasari wa nini?
Kama hakuna wosia ambao umemtaja msimamizi wa mirathi, ni lazima kikao cha ukoo kikae kuteua msimamizi wa mirathi. Bila hivyo hawatakubali kufungua mirathi
 
Huko alipo bilionea anachomeka sana sababu alikuwa mzinifu aliyevuka mipaka
 
Kama hakuna wosia ambao umemtaja msimamizi wa mirathi, ni lazima kikao cha ukoo kikae kuteua msimamizi wa mirathi. Bila hivyo hawatakubali kufungua mirathi
Kikao cha ukoo ni madudu tu yaliyotungwa na watu.
Ukoo maana yake nini?
Kuna mfumo wa ukaribu wa marehemu ambao umeainishwa kwenye Sheria ya mirathi. Ukoo hauna maana yeyote hayo ni mambo ya kimila na kijima.
 
Kikao cha ukoo ni madudu tu yaliyotungwa na watu.
Ukoo maana yake nini?
Kuna mfumo wa ukaribu wa marehemu ambao umeainishwa kwenye Sheria ya mirathi. Ukoo hauna maana yeyote hayo ni mambo ya kimila na kijima.
Hilo ni takwa la kisheria. Ndio mchakato tulioambiwa kuufata kufungua mirathi ya kaka dada yangu kwa maelekezo ya mahakama na mwanasheria. Ndio wakapokea
 
Ushuhuda mzito sana
 
Mfano hai ni Davis Mosha mali zake zote zinamilikiwa na kampuni.

Ama kina Mo dewji na bakhressa mali zao zinamilikiwa na Kampuni.
Sawa kabisa. Ndio maana wanaendelea kulinda mali za familia na wanakuwa matajiri wakubwa. Sie sisi kina yakhe tunawaza kugawana mali na kuzipatakanya mwishowe tunaishia kuwa masikini baada ya waliozitafuta kufa.
 
We hujakaaa na msichana wakazi ama hujaoa

Mkuu ndoaa zina shidaa sanaa na watu wanaozifanya zimudu n hgal na mafada poa

Mjakazi. Hana shida kabjsa kabjsaa na hakika wanae watapata mgaoo halali kabisa wavabayao

Kwa hapo

Mama anapata asilimja 50 ya malizote

50 inaenda kwa watoto wote wanagawana pasu hakuna wakambo wala wamboka wala Wanda

Nimeifwatilia nimekpenda sana huu maza amekomaaa

Nduguwamekuwa washenzj na wahuni hasa wakiona marehemu ana mali akiwa anaumwa unakuta hata kumuuguza awapo subiri afee weee

Sisi tuiinuaibjisha babayetu mdogo mbwayule mzee kaka miezi3 hospt

Ajaonekana gafla kalianzisha yeye ndio msimamizi tulimwondoa bila aibu watoto wana 40 plus unasimamia mkojo aibusana
 
Huyu mke WA pili angecheza km Pele baada ya kujengewa nyuma angeiuza hiyo nyumba akasepa mbele na kwenda kununua nyumba kwingine... Haya maisha sio mbaya ukajitoa akili mara Moja Moja.
 
Kosa la marehemu… Nani alimwambia aoe barmaid?
Hizo nyingine ni story tu baada ya taarifa ya habari, hakuna cha kumvua uhalali mke wa ndoa kwenye sakata la mgawanyo wa mali.
 
Wazee wazima tulishaelewa kuwa hilo ni kosa la kiuandishi ambalo ni dogo sana. Na mtu akisoma baniko lote, kosa hilo uondoka!
Sasa wazee wazima nyie mmeona huu uzi una tija gani.

Zaidi ya tantalila zisizo na maana yeyote.

Binti wa kazi apokonyee au asipokonyee, so what?
 
hakuna sheria ya hivyo
 
Tajiri wa madini hajaenda shule. Hivyo wanawake zake ndio hao ambao hawajaenda shule kama yeye.

Hata huyo mke wake kiakili ni kama house girl tu. Tofauti yeye aliolewa kanisani
Ikiwa na pesa akili inakuwa zaidi ya fukara aliyeenda shule.
 
Ndoa za jadi zina karatasi ?

Au serikali haitambui ndoa za jadi ?

Na za common law. Ushahidi wake ni karatasi ? Au nazo hazitambuliki na serikali?
Tunazungumzia hii kesi ndugu mdau, mke wa karatasi yupo hii nyingine haitambuliki, ni suria tu kama wengine wanavyokuwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…