Wasaidizi wa kazi kutembea na Baba wenye nyumba kuna madhara. Dada wa Arusha apokonyea Mwili wa marehemu

Wasaidizi wa kazi kutembea na Baba wenye nyumba kuna madhara. Dada wa Arusha apokonyea Mwili wa marehemu

Matajiri wote wa madini ni watu ambao hawajaenda shule. Ni kama wale kina Bilionea laizer mmasai.

Huwezi kwenda shule ukawa tajiri. Maana shule inakufunga kiakili uwe muoga ku take risk

Ni sawa na Wakinga huwa wanaishia la saba tu. Kisha wanaanza kuutafuta utajiri.
Na utajiri wao hauvuki miaka 30 kwa sababu ya hiyohiyo shule unayoipuuzia. Mtu mwenye elimu, hekima na busara akiwa na utajiri wa milioni 200 miaka 60 baadae huo utajiri utakuta umekuwa reflected kwa kizazi chake.

Mtu anayepuuzia elimu, limbukeni anazalisha kila mwanamke, anazaa na house maid mara ana list ya waganga wa jadi wampe utajiri eti ni "ku-take risk" akifa tu na utajiri wake hata uwe billions unamfuata.

Mtazunguka kote ila mkijashtuka elimu na maarifa havikimbiwi.
 
ume ambiwa alikua Mkristo na sio mvaa kobazi wala masai iyo sheria ulio taja ume ipata wapi na haiingii hapo
Chukua cash at bank gawa kwa idadi ya watoto kila mtoto apate zake. Sheria ya mirathi kama baba hakuacha wosia wa maandishi mtoto wa kiume mkubwa wa mke wa ndoa ndo msimamizi wa mirathi kama mke wa ndoa hana mtoto wa kiume wataangalia ni mke gani mwenye mtoto wa kiume mkubwa.
 
ume ambiwa alikua Mkristo na sio mvaa kobazi wala masai iyo sheria ulio taja ume ipata wapi na haiingii hapo
Chukua cash at bank gawa kwa idadi ya watoto kila mtoto apate zake. Sheria ya mirathi kama baba hakuacha wosia wa maandishi mtoto wa kiume mkubwa wa mke wa ndoa ndo msimamizi wa mirathi kama mke wa ndoa hana mtoto wa kiume wataangalia ni mke gani mwenye mtoto wa kiume mkubwa.
 
ume ambiwa alikua Mkristo na sio mvaa kobazi wala masai iyo sheria ulio taja ume ipata wapi na haiingii hapo
Chukua cash at bank gawa kwa idadi ya watoto kila mtoto apate zake. Sheria ya mirathi kama baba hakuacha wosia wa maandishi mtoto wa kiume mkubwa wa mke wa ndoa ndo msimamizi wa mirathi kama mke wa ndoa hana mtoto wa kiume wataangalia ni mke gani mwenye mtoto wa kiume mkubwa.
 
ume ambiwa alikua Mkristo na sio mvaa kobazi wala masai iyo sheria ulio taja ume ipata wapi na haiingii hapo
Chukua cash at bank gawa kwa idadi ya watoto kila mtoto apate zake. Sheria ya mirathi kama baba hakuacha wosia wa maandishi mtoto wa kiume mkubwa wa mke wa ndoa ndo msimamizi wa mirathi kama mke wa ndoa hana mtoto wa kiume wataangalia ni mke gani mwenye mtoto wa kiume mkubwa.
 
Kaandika kiushabiki mwili umetoka dar na mkewe na msiba uko kwa mke moshono....yeye mkewe ndio anadai cheni,pete magari yaletwe kwake ndio azike,mara akabadili gia angani apewe doc za mali....marehemu alikimbia kwake mwaka mzima kwa vile mke malaya na watoto wawili mabodaboda wamemzalisha....ukiowa changu tegemea matatizo kwenye maisha yako....istoshe mke hana document yeyote hapo anapiga kelele tu
Wewe ndio unajua ukweli huyu mleta mada anaonekana ndugu wa mke mkubwa na hataki kusema ukweli kwamba mke mkubwa amezaa nje ya ndoa na disii mpaka anakufa ni mke mdogo alikua anamuuguza kuanzia kesemsii mpaka muhimbili huyo mke mkubwa baada ya kusikia mume amekufa ndio kaja haraka kuanzia kudai Mali wanaume tunawakati mgumu sana na wanawake wa aina hii
 
Eti mume ana uliza huyu mtt wa nani wakati hakuwa nyumban mwaka mzima 😆😆😆😆
Nilikua sijui aisee kumbe disii alijichanganya kwenda kuoa Malaya wa pale songambele bar aiseee pole sana disii uliteseka sana kutafuta ela Leo mwili wako unapigwa danadana
 
Huo ujinga wa mume au mke kuwa na mamlaka kuwazidi wazazi au ndugu wa muhusika sitaki kusikia.

Kila mmoja akifariki akazikwe kwao isipokuwa tu alitoa taarifa azikwe wapi akiwa hai. Huwezi kuwa na mamlaka ya maiti ya mtoto wangu kwa ujinga unaitwa ndoa

Ukishamzika huyo mme/mke huko unakotaka tayari umekatisha mahusiano kati Yako na familia ya marehemu. Mfano marehemu kwao Tanga wewe unaamua azikwe Dar, hao watoto wako unazani huko Tanga wataenda kufata nini wakati Aliyekuwa anawaunganisha hayupo duniani na mwili wake mnao hapo dar?

Marehemu azikwe kwao Tanga ili wewe na watoto wake mkienda kutembelea kaburi mnatapa wasaa wa kujuana na ndugu wengine wa marehemu au kujuliana hali na undugu unakuwa active.
 
Sheria ndivyo inavyotaka, kama hakuna wosia , ni lazima kuwa na muhtasari wa wana ndugu ambacho kimetaua msimamizi wa mirathi. Mbali na hapo utagonga mwamba.
Yes, kuna member hapo anasema eti kikao cha wana ndugu cha nini? Kazi kwelikweli.
Hayo ni mazoea tu. Ukoo maana yake hata hujui, ukoo una watu wangapi? Mmoja, mia, ishirini? Unajuaje hawa watu ni wa ukoo mmoja?
Ukoo wa upande wa baba au mama?
Ni mazoea ya kipuuzi sana yanayoathiri maisha ya watanzania.
Ni sawa na kesema Nina hati ya arshi ya Serikali ya mtaa. It's nonsense
 
Back
Top Bottom