FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Wewe sijuwi nikuite Poyoyo u ni Mjinga gtu.Asalam.
Nimefuatilia hotuba ya Rais wetu Mpendwa. Nikaona maudhui Mengi ni ya Mkutano Mwingine, sio huu. Hotuba imejaa masuala ya North-South badala ya BRICS. Iko hivi,
Kwenye Diplomasia na Uhusiano wa Kimataifa kuna miungano mingi ya namna nyingi (Intergrations). North_South ni mojawapo ya mahusiano ya muda mrefu sana toka nyakati za uhuru miaka ya 1960 ambapo dunia ilikuwa na pande mbili, North (kaskazini ) ikizikusanya Nchi zilizoendelea na zikiwa na mitaji, viwanda, technology etc. Kusini zikiwa nchi masikini. Pili tukawa na nchi za mashariki ( za kijamaa ) na za Magharibi ( za kibepali) na tukawa na na NAM ( Nchi zisizofungamana na upande wowote). Miaka ya 80 na 90 mashariki ikaharibika na kwa sehemu kubwa tukabaki na magharibi ilhali nchi za kijamaa zikihangaika wapi zishike. Pakazaliwa Nchi zilizoendelea, zilizoendelea na Masikini.
Lkn miaka 10 iliyopita ikaziliwa huu Muungano wa BRICs (Brazil, Russia, India, China) zikilenga kutengeneza muungano wa kipekee, na ukawa na mambo yake. Kwenye BRICS hakuna Marekani na Uingereza, ufaransa, Italy ambazo ni vinara wa North.
Sasa Rais anapohutubia masuala ya NORTH SOUTH kwenye MKUTANO wa BRICs ni kukosea. Lkn dah. Muwe makini.
Hivi unaelewa aloichokiongea mama Samia? Nahisi hata hujasikiliza alichokiongea.
Kumbuka duniani kuna Northern Alliance (NATO), halafu Nyerere akajidai kuanzisha ki South South Commission kutaka kushinda na NATO kijinga. Hata sielewei kimefia wapi.
Mama Sasa anasema hii Brics ndiyo daraja la North na South, lmebeba wote wa North na wa South kina na wengine wote wa in between.
Mama katowa hotuba nzuri sana na kapowa kama kawaida yake, bila makeke wala kujimwambafai.
Mama Samia atayafanya mema mengi sana Tanzania na Afrika na atakuwa ni mfano wa kuigwa kote duniani. Mtanambia.