Wasaka ubunge ndani ya CHADEMA waanza kumzidi nguvu Tundu Lissu

2025 Mungu akijaalia tutafanya uchaguzi kabla ya Katiba mpya ila yatafanyika marekebisho kadhaa kwny Katiba ya sasa
Marekebisho hayo yatagusa kipengele Cha matokeo ya Urais kupingwa mahakamani na kurudiwa uchaguzi ikiwa zitabainika kasoro kama ilivyokuwa KATIBA ya Kenya?
 
Heche na Lema wanaijuia hii iliyopo? Au wanapanda tu majukwaani kutukana viongozi na Rais?

Viongozi wapi wanaotukanwa, hawa hawa wanaoingia madarakani kwa kutukana uchaguzi? Unaweza ukaweka hapa hayo matusi wanayotukanwa hayo majizi ya kura?
 
2025 Mungu akijaalia tutafanya uchaguzi kabla ya Katiba mpya ila yatafanyika marekebisho kadhaa kwny Katiba ya sasa

Kwa namna chaguzi zetu zilivyopuuzwa, sioni watu wengi wakijitokeza kupiga kura kwa katiba hii.
 

Sifa hizo Mbowe alikuwa nazo kabla ya 2015, sio sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…