Wasaka ubunge ndani ya CHADEMA waanza kumzidi nguvu Tundu Lissu

Wasaka ubunge ndani ya CHADEMA waanza kumzidi nguvu Tundu Lissu

Ninadhani pana ombwe la kukosekana chief strategist wa chama. Chief strategist si kiungozi huyo ni mpanga mikakati kama ilivyokuwa kocha wa mpira.

Kiongozi wa chama hawezi kuwa mpanga mikakati. Kiongozi huweka malengo ya chama.

Magumu yetu Viongozi wa Upinzani mkwepe lawama vipi?

Tufike mahala tumfunge paka kengele.
Acha unafiki wewe jamaa!! Wapanga mikakati wote wa chama mliwafukuza kwa kuwaita wasaliti, Zitto, Kitila, Kafulila, Mdee na wenzake, Slaa, Baregu, Safari, Kubenea, Komu nk nk! Mkabaki na hawa wapayukaji majukwaani akina Henje na Lema nanyi mkiwaita MAKAMANDA, Siasa haihitaji ukamanda, inahitaji akili MINGI! Kifupi kwa sasa chama chenu kwa sasa wamejaa wapayukaji tu wasiojua modern politics zinaendaje, NDIYO MAANA IKASHANGAZA KURUHUSIWA KWA MIKUTANO YA HADHARA LEO HATA WEEK MBILI HAZIJAPITA WAKAANZA, HATA BILA KUJIPANGA KWA HOJA.
 
Sijasema bunge kutoa pressure. Nimemaanisha kama kutakuwa na wabunge wa upinzani bungeni na kutoa pressure ndani ya bunge na uku nje kukiwa na pressure inaweza ikasaidia sana upatikanaji wa hiyo katiba kwa haraka

Katibu wa bunge na spika ndio wanaamua hoja gani ijadiliwe bungeni. Kama wanazuia hoja hiyo hiyo pressure inatokea wapi ndani ya bunge?
 
Acha unafiki wewe jamaa!! Wapanga mikakati wote wa chama mliwafukuza kwa kuwaita wasaliti, Zitto, Kitila, Kafulila, Mdee na wenzake, Slaa, Baregu, Safari, Kubenea, Komu nk nk! Mkabaki na hawa wapayukaji majukwaani akina Henje na Lema nanyi mkiwaita MAKAMANDA, Siasa haihitaji ukamanda, inahitaji akili MINGI! Kifupi kwa sasa chama chenu kwa sasa wamejaa wapayukaji tu wasiojua modern politics zinaendaje, NDIYO MAANA IKASHANGAZA KURUHUSIWA KWA MIKUTANO YA HADHARA LEO HATA WEEK MBILI HAZIJAPITA WAKAANZA, HATA BILA KUJIPANGA KWA HOJA.
Je hao wapanga mikakati wa CDM waliofukuzwa huko CDM wamefanikiwa kuipata hiyo katiba mpya? Au wanaweza kudai tu katiba mpya wakiwa CDM?
 
Huwezi kupata Katiba Mpya kabla ya 2025 labda iwe Katiba ya Viraka
Na huu ndiyo ukweli! Nakumbuka Slaa aliahidi katiba mpya itapatikana ndani ya siku 100 ile 2010 akigombea urais, na wanaCHADEMA wakamuamini, hizi siasa shida sana! Katiba mpya ndani ya siku 100!!!!!
 
Je hao wapanga mikakati wa CDM waliofukuzwa huko CDM wamefanikiwa kuipata hiyo katiba mpya? Au wanaweza kudai tu katiba mpya wakiwa CDM?
Hivi Henje na Lema kwa hulka zao hata hii katiba iliyopo wanaijua?
 
It's not necessarily kuwa, msimamo wa jana uwe ni wa milele..

People change, environment changes too..

Lakini lililo muhimu ni hili:

Kwamba, Kuna mazungumzo (maarufu kama maridhiano) ya kurekebisha mambo na makosa mbalimbali yaliyosababisha ugumu na machungu ya maisha kijamii na kisiasa tangu mwaka 2016 na kilele chake kuwa mwaka 2020 Kwa kilichoitwa "UCHAFUZI MKUU" chini ya yule mtu mbaya John P. Magufuli yamefanyika na bado wanaendelea kuzungumza..

Na kwenye maridhiano huwa kuna KUPATA na KUPOTEZA (lose & get). Kwa hiyo, si ajabu kabisa kama kuna kubadilikq Kwa msimamo..

And honestly, kwa muda uliobaki mpaka kufika 2025 si rahisi sana Kuanza na kuumaliza mchakato wa kupata katiba mpya na Kisha iwe tayari kutumika Kwa uchaguzi mwaka 2025..

Ila kunaweza kufanyika mambo fulani fulani yatakayohakikisha ingalau uchaguzi mkuu wa 2025 unakuwa at least free and fair..
Wewe umeongea Mkuu, katiba mpya haiwezekani kupatikana before 2025! Nini cha kufanya sasa? Kumsusia Samia uchaguzi wa 2024 na 2025?? Ni uamuzi mbaya kwa maslahi ya Taifa, kwa sasa ni kupambana sheria za hovyo za uchaguzi zibadilishwe, huku taratibu za katiba zikiendelea (Which Samia ashasema anataka kulikwamua).
 
Acha unafiki wewe jamaa!! Wapanga mikakati wote wa chama mliwafukuza kwa kuwaita wasaliti, Zitto, Kitila, Kafulila, Mdee na wenzake, Slaa, Baregu, Safari, Kubenea, Komu nk nk! Mkabaki na hawa wapayukaji majukwaani akina Henje na Lema nanyi mkiwaita MAKAMANDA, Siasa haihitaji ukamanda, inahitaji akili MINGI! Kifupi kwa sasa chama chenu kwa sasa wamejaa wapayukaji tu wasiojua modern politics zinaendaje, NDIYO MAANA IKASHANGAZA KURUHUSIWA KWA MIKUTANO YA HADHARA LEO HATA WEEK MBILI HAZIJAPITA WAKAANZA, HATA BILA KUJIPANGA KWA HOJA.

Sasa wewe kereng'ende ya chadema yanakuwasha washa vipi? 🤣🤣
 
Na wewe ya akina Samia yanakuwashaje? Maana kila siku kulalamika huku Samia, Samia, just F-off

Wapi ulipoona namlalamikia Samia? Akili yako inakuongoza kwa usahihi? Ushauri wa bure kabla hujachelewa mno:

IMG-20230301-WA0005~2.jpg
 
Wapi ulipoona namlalamikia Samia? Akili yako inakuongoza kwa usahihi? Ushauri wa bure kabla hujachelewa mno:

View attachment 2537377
You people are jokers!! Leo hii mnamkaribisha Balozi Slaa kwenye majukwaa yenu kutetea katiba mpya na mnashangilia, miaka 6 iliyopita alikuwa wapi? Jokers
 
2025 Mungu akijaalia tutafanya uchaguzi kabla ya Katiba mpya ila yatafanyika marekebisho kadhaa kwny Katiba ya sasa
Wapi Chadema imesema itashiriki uchaguzi mkuu kabla ya katiba mpya? Una clip au press release Mbowe akisema hivyo?

Kama ni hivyo Kulikua na haja gani ya kususia task force ya Rais maana ndio ilitaka tume huru kabla ya uchaguzi!! Then katiba ifuate baadae.
 
Kabla ya kuyapasisha mawazo ya wengine kuwa ujinga, ni heri ukajiangalia mwenyewe kwanza kwani huenda ukawa mjinga kuliko wao.

Zingatia ni ujinga uliopitiliza kuanza kuita wengine wajinga hali hayupo aliyeanza kukuita hivyo.

Hivi uchaguzi bila katiba mpya tutakaokuja kudai tuliibiwa ni wa nini? Kwanini uchaguzi huo kama ikibidi usicheleweshwe ukaisubiri katiba mpya?

Tukiamua ipatikane katiba mpya sasa mbona inapatikana tu?

Si kuwa tamaa na ubinafsi umeshaanza kutuingia. Tofauti yetu leo na wale wadada 19 itakuwa nini kumbe? Si nao walikwenda bungeni kupigania katiba mpya kutokea ndani? Au?

Bure kabisa.
Kaa kwa kutulia wewe jamaa, atachoamua Mbowe nyinyi visisimizi hamuwezi kupinga! Akiamua kushiriki uchaguzi 24 and 25 bila katiba mpya mtapiga makofi na kukenua! Akiamua kumpigia kampeni Samia 2025 bado mtaendelea kumsifia na kumpigia magoti, shortly Mbowe ni kila kitu ndani ya chama chenu, Alpha and Omega
 
Kaa kwa kutulia wewe jamaa, atachoamua Mbowe nyinyi visisimizi hamuwezi kupinga! Akiamua kushiriki uchaguzi 24 and 25 bila katiba mpya mtapiga makofi na kukenua! Akiamua kumpigia kampeni Samia 2025 bado mtaendelea kumsifia na kumpigia magoti, shortly Mbowe ni kila kitu ndani ya chama chenu, Alpha and Omega

"Chawa ni wadudu wanaopatikana kwenye uchafu. Ni wenye harufu kali. Chawa ni machukizo CHADEMA." --- TAL.
 
Iwapo Chadema itashiriki uchaguzi wa 2025 bila katiba mpya basi survival yake itategemea na huruma ya CCM baada ya hapo. Iwapo CCM watawachezea rafu tena ktk uchaguzi huo, Chadema hawatopata wananchi wa kuwafuta machozi, tena wananchi watawadharau, na utakuwa mwanzo wa mserereko wa chama hicho kukosa imani ktk chochote watakachokuwa wanasema kuwa wanakipigania.
 
Iwapo Chadema itashiriki uchaguzi wa 2025 bila katiba mpya basi survival yake itategemea na huruma ya CCM baada ya hapo. Iwapo CCM watawachezea rafu tena ktk uchaguzi huo, Chadema hawatopata wananchi wa kuwafuta machozi, tena wananchi watawadharau, na utakuwa mwanzo wa mserereko wa chama hicho kukosa imani ktk chochote watakachokuwa wanasema kuwa wanakipigania.
Kilio cha 2020 sio hoja ya kuibiwa kura maana hicho ni kilio cha Siku zote tangu 1995

kelele zilikuwa kubwa kwa kuwa Viongozi wakuu wa Upinzani kina Zitto na Mbowe, sijui lema wote walilambwa mkono, ingetokea wao wangepataubunge usingesikia kelele kwa ukubwa huu
 
Kilio cha 2020 sio hoja ya kuibiwa kura maana hicho ni kilio cha Siku zote tangu 1995

kelele zilikuwa kubwa kwa kuwa Viongozi wakuu wa Upinzani kina Zitto na Mbowe, sijui lema wote walilambwa mkono, ingetokea wao wangepataubunge usingesikia kelele kwa ukubwa huu
Kweli aisee, na CCM watakuwa wamejifunza. Wakitaka kuwaibia wapinzani watahakikisha wanaibia wengine halafu vinara wachache wanapewa
 
Back
Top Bottom