denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Una papara sana, jifunze kutulia usome na kuelewa, bila kusahau edit maandiko yako ili yalete maana uliyokusudia.Si tuliwaambia, Kiko wapi sasa? Machadema huwa hamna akilu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una papara sana, jifunze kutulia usome na kuelewa, bila kusahau edit maandiko yako ili yalete maana uliyokusudia.Si tuliwaambia, Kiko wapi sasa? Machadema huwa hamna akilu
Muhimu wazingatie muda, kutoka sasa mpaka 2024 kwenye uchaguzi wa SM sio mbali.Ninadhani mapokezi yalikuwa freestyle ambapo watu walikuwa huru kusema lolote na kwa vyovyote.
Ninadhani mikutano ya mapokezi haikuwa mikutano ya kazi. Zaidi ya kuwa ilikuwa ya kukutana na wapendwa baada ya muda mrefu.
Hatuna inayofuata ni muhimu sana. Mtu asiseme lolote au vyovyote kama ambavyo angependa bila uratibu.
Kumbuka Lissu akiongea chawa hupoteana.
Wako kwenye rekodi kina johnthebaptist kuwa, "Lissu siyo size yetu."
Kwa Lissu waliomba usaidizi kutoka kwa jamaa wa majalani.
Erythrocyte hatujachelewa bado.
I agree, kanuni hazibadiliki..Principle hazichange.
Kama katiba ya sasa haiwezi kuguarantee uchaguzi huru na haki basi haiwezi hata kama Samia ana tabasamu zuri namna gani
ambayo wewe ndo muandaaji wakeNa mbege vichwani?
I agree, kanuni hazibadiliki..
Na principle ya sasa ni kuwa CCM ndiyo wanaongoza serikali....
Never think that, kuna siku watakupa uchaguzi huru na wa haki Kwa mkupuo mara moja.....!
Swali kubwa ni hili, kwamba, utaendelea kususia uchaguzi mpaka upewe hiki au kile?
Sisemi kuwa watu waache kupigania katiba mpya. Nina maana ya kuwa ni ngumu kupata kila kitu Kwa mara moja...!
Presha ya demand ya katiba kubwa lazima iongezeke marudufu. Lakini pia ni lazima kubadili mbinu na njia za mapambano..
Kuingia bungeni na kuipigania huko ndani ya chombo hiki muhimu Kwa nchi nayo ni njia na tena muhimu sana.....
Kwa hiyo lazima, kuwe na presha kubwa ya kuhakikisha kuwa upuuzi uliofanyika katika changuzi za mwaka 2019 na 2020 haufanyiki tena....
Waendelee kuzungumza. Wakubali kupata kiasi na kupoteza kiasi pia maana hiyo ndiyo kanuni ya kuridhiana..!!
Inawezekana Lissu keshastukia kuwa baadhi ya wenzie ndani ya Chadema wapo after Ubunge tu, kwao katiba mpya ni muhimu kama ubunge wao umeporwa, ila kama ubunge wao wanapewa basi hewala hata katiba hii ya sasa iliendelea kuwepo kwa miaka zaidi ya 100 kwao siyo ishu.
Kama CDM hawakujifunza kutokana na kosa la kumpokea Lowassa na kuonekana hawana msimamo, basi hawatakaa waaminike tena. Iwapo CDM itaamua kushiriki huo uhuni uitwao uchaguzi bila tume huru, basi wajue wataharibu jumla haiba yao. Ni bora kutoshiriki huo uhuni, ili wapiga kura wawe wachache sana, kuliko kushiriki huku sisi wapiga kura wao tukiwa tumelipuuza box la kura.
Sahihi ujuavyo ccm hua inawaamulia ushindi miaka yote kwenye majimbo ,ccm iliyobugi ni yamagufuli TU , Lisu anaakili Sana ,miaka yote chadema haijawahi fikisha majimbo 50 ya uchaguzi yote Kwa kua na tume mbovu na katiba .......Lisu Yuko makini Sana ,walipofikia sio sehemu ya kujikomba Tena Kwa ccmInawezekana Lissu keshastukia kuwa baadhi ya wenzie ndani ya Chadema wapo after Ubunge tu, kwao katiba mpya ni muhimu kama ubunge wao umeporwa, ila kama ubunge wao wanapewa basi hewala hata katiba hii ya sasa iliendelea kuwepo kwa miaka zaidi ya 100 kwao siyo ishu.
Sasa ina maana gani kushiriki uchaguzi ambao unajua watakuibia tu na katiba hii mbovu inawapa leeway?.I agree, kanuni hazibadiliki..
Na principle ya sasa ni kuwa CCM ndiyo wanaongoza serikali....
Never think that, kuna siku watakupa uchaguzi huru na wa haki Kwa mkupuo mara moja.....!
Swali kubwa ni hili, kwamba, utaendelea kususia uchaguzi mpaka upewe hiki au kile?
Sisemi kuwa watu waache kupigania katiba mpya. Nina maana ya kuwa ni ngumu kupata kila kitu Kwa mara moja...!
Presha ya demand ya katiba kubwa lazima iongezeke marudufu. Lakini pia ni lazima kubadili mbinu na njia za mapambano..
Kuingia bungeni na kuipigania huko ndani ya chombo hiki muhimu Kwa nchi nayo ni njia na tena muhimu sana.....
Kwa hiyo lazima, kuwe na presha kubwa ya kuhakikisha kuwa upuuzi uliofanyika katika changuzi za mwaka 2019 na 2020 haufanyiki tena....
Waendelee kuzungumza. Wakubali kupata kiasi na kupoteza kiasi pia maana hiyo ndiyo kanuni ya kuridhiana..!!
Sahihi ujuavyo ccm hua inawaamulia ushindi miaka yote kwenye majimbo ,ccm iliyobugi ni yamagufuli TU , Lisu anaakili Sana ,miaka yote chadema haijawahi fikisha majimbo 50 ya uchaguzi yote Kwa kua na tume mbovu na katiba .......Lisu Yuko makini Sana ,walipofikia sio sehemu ya kujikomba Tena Kwa ccm
I agree, kanuni hazibadiliki..
Na principle ya sasa ni kuwa CCM ndiyo wanaongoza serikali....
Never think that, kuna siku watakupa uchaguzi huru na wa haki Kwa mkupuo mara moja.....!
Swali kubwa ni hili, kwamba, utaendelea kususia uchaguzi mpaka upewe hiki au kile?
Sisemi kuwa watu waache kupigania katiba mpya. Nina maana ya kuwa ni ngumu kupata kila kitu Kwa mara moja...!
Presha ya demand ya katiba kubwa lazima iongezeke marudufu. Lakini pia ni lazima kubadili mbinu na njia za mapambano..
Kuingia bungeni na kuipigania huko ndani ya chombo hiki muhimu Kwa nchi nayo ni njia na tena muhimu sana.....
Kwa hiyo lazima, kuwe na presha kubwa ya kuhakikisha kuwa upuuzi uliofanyika katika changuzi za mwaka 2019 na 2020 haufanyiki tena....
Waendelee kuzungumza. Wakubali kupata kiasi na kupoteza kiasi pia maana hiyo ndiyo kanuni ya kuridhiana..!!
Ni dhahiri ndani ya CHADEMA watu wanachekeana usoni ila mioyoni mwao watu wanapiga mahesabu ya 2025.
Baada ya uchaguzi wa 2020, Kamati kuu ya chama hicho ilitoa msimamo kuwa hakuna kushiriki uchaguzi wowote ujao bila uwepo wa Katiba mpya yenye Tume huru ya Uchaguzi.
Mwanzoni kabisa, msimamo huu ulitetewa kwa nguvu zote na makada na viongozi wa juu wa chama hiki. Lakini kadri siku zinavyosogea, Sura halisi ya viongozi hawa imeanza kuonekana. Wameanza kama kawaida yao kubadili msimamo huo taratiiib kwa kutuma meseji kuwa watashiriki ktk uchaguzi huo bila hata ya uwepo wa Katiba Mpya.
Hili limedhihirika katika ziara ambazo viongozi hawa wakubwa wa CHADEMA wataka ubunge wanazofanya mikoani. Sasa hivi hawaongei tena suala la kupatikana kwa Katiba Mpya kwanza ili kushiriki uchaguzi, Sasa hivi wanaongea namna watakavyorudi Bungeni mwaka 2025!
Hapo awali katika kutetea uamuzi wa kamati kuu wa kutoshiriki uchaguzi mkuu bila Katiba Mpya, walisema kuwa practically katika nchi hii haiwezekani kufanya uchaguzi huru na haki bila katiba mpya iliyobora kuliko ya sasa. Lakini cha ajabu ni kwamba CHADEMA sasa inadhani raia wamesahau "elimu" hii waliyoitoa, wanadhani raia mwaka 2025 wanaweza kuwachagua achilia mbali kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi ambao wameshaambiwa na haohao CHADEMA kuwa hauwezi kuwa huru na haki.
Kiongozi mkubwa wa CHADEMA aliyeshiriki kutoa elimu ya ubovu wa katiba ya sasa na kutofaa kwake katikauchaguzi ni Tundu Lissu, alifanya kazi hiyo kwa moyo mmoja na kwa weledi kabisa, Lakini inavyoonekana ni kwamba kuna kundi la viongozi wenzie ndani ya CHADEMA wanaona kuwa mwaka 2025 wana nafasi ya kurudi bungeni, na hawa ndo wanachombezachombeza kama siyo kushinikiza chama kiingie katika uchaguzi ili wapate ubunge tena ili wakalambe asali kama wenzao wa CCM.
CHADEMA inajulikana vyema kwenye kubadili gia angani, pale inapokana misimamo thabiti yenye maana na kukumbatia vitu vya kupita vyenye manufaa ya muda mfupi kwa nchi na chama chao. Walifanya hivyo pale walipoikana ajenda yao ya Ufisadi pale walipomkabidhi kijiti mtu waliyemuita fisadi kwa miaka zaidi ya Nane kuwa mgombea urais wa chama chao. Wao walikuwa wanawaza kutwaa madaraka tu kwa udi na uvumba bila kujali wanayetaka kumuweka madarani ni nani hata kama Chadema wanajua wazi kuwa ni fisadi na pia waliutangazia umma wao wenyewe hilo suala.
Leo wanatambua kabisa kuwa bila uwepo wa katiba mpya uchaguzi ujao bado utakuwa feki lakini wao kwa sababu wanadhani kuwa wana chance ya kurudi bungeni kula baada ya JPM kufariki, hata hizo conditions za kutoshiriki uchaguzi mpaka ipatikane katiba mpya yenye tume huru ya uchaguzi hawana mpango nazo tena.
Leo CHADEMA inasound kama chama cha ACT, viongozi wake wanasema kuwa ili washiriki uchaguzi "Mchakato" wa katiba uanze lakini Tuanze na Tume huru ya uchaguzi kwanza. Ningependa kuwauliza viongozi wa CHADEMA hasa Tundu Lissu, ni nani alimwambia kuwa "Mchakato wa katiba" ndo katiba mpya yenyewe?.
Pili nani kawawmbia CHADEMA kuwa uwepo wa mchakato wa katiba bila katiba mpya ndo guarantee ya Uchaguzi Huru na haki mwaka 2025?
Mimi ningewaona CHADEMA wako serious na wana nia njema kabisa ya kusimamia kile walichokitangaza kwa umma baada ya uchaguzi wa hovyo wa 2020 kwa kusema kuwa ni heri katiba ya sasa ibadilishwe, Uchaguzi wa 2025 usogezwe mbele, ili tutafute katiba mpya kwanza halafu sote tuje tushiriki uchaguzi chini ya Katiba Mpya iliyobora.
Lakini hizi habari za kuuambia umma kuwa bila katiba mpya uchaguzi hauwezi kuwa huru na haki halafu baadae baada ya Rais Samia kuanza kuwapetipeti wanakuja kutwambia jinsi Samia alivyo raisi mzuri na hivyo basi kubadili gia angani na kusema uchaguzi unawezekana chini ya katiba hii mbovu ni kuwacheza shere wananchi, kudharau wanachama wake na kutokujua unapigania nini.
CHADEMA imekuwa ikisema kuwa hata kama una tume huru ya uchaguzi lakini as long as hakuna mahakama huru, Jeshi la Polisi huru huwezi kupata uchaguzi huru na haki chini ya katiba hii. Nashangaa sasa wazee wa kubadili gia angani wameshasahau nondo walizokuwa wakishusha kuelimisha watu juu ya hili.
Watanzania makini tunasema, bila Katiba Mpya Uchaguzi wowote ujao ni feki.
Lisu aliahidi kurudi baada ya wiki 2.
Tusubiri.
Hapo mnamkomoa Nani?
Mlitakiwa kuwaza hivyo kama chadema ingekuwa ni chama chenye nguvu na ushawishi mkubwa
Unaongea hivyo wakati hata kuita maandamano hamuwezi?
Nyie kama mkisusa vyama vingine vitapeleka wabunge na mambo yataenda
Nyie endeleeni kuwaza katiba mpya
Muhimu Sana kuwa na misimamo thabit Kwan kitendo Cha kutoshiriki uchaguzi wa 2025 kwa Katiba hii, hicho ndicho kitaleta Katiba Bora nchi hii. Mtu anayetaka kwenda bungeni kwa Katiba hii anataka kwenda kwa maslahi yake na sio ya Taifa.Hapo mnamkomoa Nani?
Mlitakiwa kuwaza hivyo kama chadema ingekuwa ni chama chenye nguvu na ushawishi mkubwa
Unaongea hivyo wakati hata kuita maandamano hamuwezi?
Nyie kama mkisusa vyama vingine vitapeleka wabunge na mambo yataenda
Nyie endeleeni kuwaza katiba mpya
Hapo mnamkomoa Nani?
Mlitakiwa kuwaza hivyo kama chadema ingekuwa ni chama chenye nguvu na ushawishi mkubwa
Unaongea hivyo wakati hata kuita maandamano hamuwezi?
Nyie kama mkisusa vyama vingine vitapeleka wabunge na mambo yataenda
Nyie endeleeni kuwaza katiba mpya
Ni bora hivyo vyama vingine vishiriki na hayo mambo yaende, kuliko kushiriki upuuzi ambao unajua kabisa matokeo yanachezewa. Sio lazima kupata madaraka kwa njia ya kushiriki chaguzi za kishenzi, kwani hata waliopo madarakani hawapati hayo madaraka kwa njia ya kura.
Muhimu Sana kuwa na misimamo thabit Kwan kitendo Cha kutoshiriki uchaguzi wa 2025 kwa Katiba hii, hicho ndicho kitaleta Katiba Bora nchi hii. Mtu anayetaka kwenda bungeni kwa Katiba hii anataka kwenda kwa maslahi yake na sio ya Taifa.
Tunao candidates wa kutosha hatuwezi kuchukua makapi toka CCM,kosa kurudia kosaCHADEMA kutoshiriki kwao chaguzi ni kukiua chama.
They should stick to what they did best. Wapate strong candidate kutoka CCM kama walivyompata Lowasa, awasaidie kupata wabunge kadhaa, wapate ruzuku, waendelee kula bata.
Habari za kuwazia uraisi, ni ngumu sana tena sana kuitoa CCM madarakani. Si kwa katiba ya zamani wala kwa katiba mpya.
Hata ukichukua katiba ya Marekani, Ufaransa au Uingereza ukaileta hapa, si rahisi wakashinda. CCM wana watu. Namba zinawabeba sana mijini na vijijini.
Katiba mpya waitumie tu kama ajenda ya kuendeshea mikutano ya hadhara lakini haitowasaidia kwa lolote.
Muhimu Sana kuwa na misimamo thabit Kwan kitendo Cha kutoshiriki uchaguzi wa 2025 kwa Katiba hii, hicho ndicho kitaleta Katiba Bora nchi hii. Mtu anayetaka kwenda bungeni kwa Katiba hii anataka kwenda kwa maslahi yake na sio ya Taifa.