Wasanii wa Bongo Fleva heshimuni dini za watu

Wasanii wa Bongo Fleva heshimuni dini za watu

Hapana, huwezi kupima ukweli wa dini kwa kuingia ibadani na kukashifu waumini Kisha uone kama utapigwa au la?....huo ni ugonjwa wa akili
Mkuu, huwa kuna kitu kinaitwa vigor test. Utakuta gari inaendeshwa kwenye makorongo na matope ya ajabu ili kuona kama ni 4 x 4 imara. Sasa hapo nimekupa vigor test ya dini ya kweli. Iwe ni test ya gari au dini, sio wendawazimu, ni extreme measures katika kupata ukweli wa jambo. Amani ndio kiini cha dini ya kweli. Kama una dini itakayotembeza kipigo, ondoka huko, ni dini ya uongo.
 
Reflection ya ukristo tunaipata kwa pope francis
Wewe ni mpumbavu.

Ukitaka kujua mtu mpumbavu kwanza angalia tuu anavojibu, mtu anaropoka vitu nonsense kama eti nimezaliwa kigoma and blah blah blah.

Kuna islamic scholar anaitwa Dr Zakir ni maarufu na anafanya mikutano mikubwa sana na anaaminiwa na waislamu wengi duniani, alisema mwanaume au mwanamke kupiga nyeto/masturbation sio dhambi na sio kosa kiislamu.
Je, hoja yake haipingani na mafundisho ya kiislamu?
Kama inapingana na uislamu na sio kweli alichosema, kwaio tuseme kwamba uislamu ndo unavofundisha hivo kwamba kupiga nyeto sio dhambi kwasababu Dr Zakir(One of the best Islamic scholars) kasema hivo.

Tumia akili bwana mdogo
 
Waislamu wako extreme sio kama Wakristo. Utaongea neno moja tu la utani kwenye kuruani unasomewa al baridi sijui, Fatah, takbiri sijui, yaani unahukumiwa kifo na linakuwa ni jukumu la mwisilamu yeyote kukuua. Wakristo hawana mambo hayo, ni watu wa amani ndio maana wasanii, hata wa kiislamu, wanakimbilia huko.

Ukitaka kujua dini ya kweli duniani ni ipi, ingia ndani wakati wakifanya ibada halafu piga kelele, nyie wajinga, hamjui mnachoabudu! Wale watakaokushushia kipigo cha mbwa koko sio dini ya kweli, ni wafuasi wa Ibilisi tu hao. Watakaokutoa nje kwa amani bila kukudhuru ndio dini ya kweli!
Sasa hivi kuna KURJUAN!
 
Wewe ni mpumbavu.

Ukitaka kujua mtu mpumbavu kwanza angalia tuu anavojibu, mtu anaropoka vitu nonsense kama eti nimezaliwa kigoma and blah blah blah.

Kuna islamic scholar anaitwa Dr Zakir ni maarufu na anafanya mikutano mikubwa sana na anaaminiwa na waislamu wengi duniani, alisema mwanaume au mwanamke kupiga nyeto/masturbation sio dhambi na sio kosa kiislamu.
Je, hoja yake haipingani na mafundisho ya kiislamu?
Kama inapingana na uislamu na sio kweli alichosema, kwaio tuseme kwamba uislamu ndo unavofundisha hivo kwamba kupiga nyeto sio dhambi kwasababu Dr Zakir(One of the best Islamic scholars) kasema hivo.

Tumia akili bwana mdogo
Best Islamic scholar ni nabii Muhammad S.A.W na siyo Zakir
 
Ukitaka kujua dini ya kweli duniani ni ipi, ingia ndani wakati wakifanya ibada halafu piga kelele, nyie wajinga humu ndani, hamjui mnachoabudu! Wale watakaokushushia kipigo cha mbwa koko sio dini ya kweli, ni wafuasi wa Ibilisi tu hao. Watakaokutoa nje kwa amani bila kukudhuru ndio dini ya kweli!
Ingia Msikitini ukaseme hivyo tena simama mbele kabisa pale uone km wataacha kuswali wakuondoe au watasuburi kwanza wamalizie Swala alafu wakushughulikie, kuna clip moja ilikua inasambaa sana Msikiti umepitiwa na tetemeko la Ardhi wa kwanza kutoka nduki alikua Imamu wa Msikiti wengine wakafuata nyuma
 
Ingia Msikitini ukaseme hivyo tena simama mbele kabisa pale uone km wataacha kuswali wakuondoe au watasuburi kwanza wamalizie Swala alafu wakushughulikie, kuna clip moja ilikua inasambaa sana Msikiti umepitiwa na tetemeko la Ardhi wa kwanza kutoka nduki alikua Imamu wa Msikiti wengine wakafuata nyuma
Yaani na wewe ukisema hivyo msikitini utangoja tu unasubiri ili uone watakufanya nini wakimaliza swala?

Ukweli ni kwamba hawatangoja wamalize swala, iwe ya Idi Eli futari au Idi Eli futuru, hilo halitakumbukwa! Na kama ukitoka na sikio moja, jicho moja, mkono mmoja, meno yote nk, basi wewe una bahati sana, umesevu, walisahau kichwa na miguu ukaweza kukimbia, japo meno, jicho, sikio umeviacha! Yatakakotoka majambia na bakora humo ndani kila mtu atashangaa vilikuwa vimehifadhiwa wapi!
 
Pesa ni swala mtambuka sana. Kuna eneo nimekuta Kuna malumbano Kati ya mchungaji wa KKKT na waumini wa eneo flan kwamba Kuna watu hawawatambui(recognize) kwa ngazi ya Jumuiya na ni waumini kanisani ukiulozauliza hao watu ni watu flan hivi wenye kibunda
mkuu hili neno "mtambuka" maana yake ni nini? au naomba neno lake la kiingereza
 
Yaani na wewe ukisema hivyo msikitini utangoja tu unasubiri ili uone watakufanya nini wakimaliza swala?

Ukweli ni kwamba hawatangoja wamalize swala, iwe ya Idi Eli futari au Idi Eli futuru, hilo halitakumbukwa! Na kama ukitoka na sikio moja, jicho moja, mkono mmoja, meno yote nk, basi wewe una bahati sana, umesevu, walisahau miguu ukaweza kukimbia, japo meno, jicho, sikio umeviacha! Yatakakotoka majambia na bakora humo ndani kila mtu atashangaa vilikuwa vimehifadhiwa wapi!
hii mara ya mwisho imetokea mkoa gani mkuu
 
hii mara ya mwisho imetokea mkoa gani mkuu
Hakuna mwenye ujasiri au ukichaa wa kiasi hicho akaweza kujaribu! Yaani hata kichaa ana akili ya kutambua asithubutu kwenda kufanya hivyo! Ulishasikia kichaa kaingia msikitini?

Angalia hii clip. Huyu kijana kosa lake likikuwa kula tu kidogo wakati wa Ramadhani. Sasa fikiria ukaseme nyie wajinga msikitini. Na huyo kijana ni muislamu mwenzao!

 
Hakuna mwenye ujasiri au ukichaa wa kiasi hicho akaweza kujaribu! Yaani hata kichaa ana akili ya kutambua asithubutu kwenda kufanya hivyo! Ulishasikia kichaa kaingia msikitini?

Angalia hii clip. Huyu kijana kosa lake likikuwa kula tu kidogo wakati wa Ramadhani. Sasa fikiria ukaseme nyie wajinga msikitini. Na huyo kijana ni muislamu mwenzao!

View attachment 3071209

Kwanza hiyo video haikuwa kwa unalolisema. Sijui kwanini umeenda kuokota vitu huko kwa Islamophobes wenzio na bila ya kuvichuja umevileta humu. Hili ni tukio halihusiani na kula mchana wa Ramadhan. Hata ukisoma comments hapo kwenye hiyo page kuna watu wamekosoa madai ya huyo alieandika hapo. Na ukiangalia utaona hapo ni usiku na sidhani kama wewe ni mjinga wa kiasi cha kutojua kuwa Waislam hawana funga usiku. Funga ni mchana. Hivyo hiyo video haihusiani na ulichokisema. Itakuwa kuna sababu zengine.

Halafu, sijui ni kwanini umeona kwa kuukandia Uislam ndio utajibu vizuri maswali ya kwanini Dini yenu inakashifiwa na kufanyiwa mchezo huku nyinyi mkiwa kimya.

Ukweli ni kwamba sio kwa sababu mna upendo sana au labda mnapenda sana amani. Kwa sababu zamani watu wakichomwa moto kwa blasphemy katika Ukristo nadhani unalijua hili. Kwanini sasa hivi mmekuwa hamna wivu na dini yenu?

Nitakujibu

Hamuipi thamani yoyote tena hiyo dini yenu. Mmeifanya kuwa ya mchezo nyinyi wenyewe kwa sababu deep down hamna yakini nayo na wengine mmekata tamaa na wengine mnajua kuwa hiyo sio haqq. Na usekula umewatenza nguvu.

Waislam wanaithamini mno Dini yao na kuipenda. Dini ya kweli, Dini halisi ya Masihi Yesu mwana wa Maryam. Hawaichukulii kuwa ni kitu cha kuchezea na mzaha.
 
Kwanza hiyo video haikuwa kwa unalolisema. Sijui kwanini umeenda kuokota vitu huko kwa Islamophobes wenzio na bila ya kuvichuja umevileta humu. Hili ni tukio halihusiani na kula mchana wa Ramadhan. Hata ukisoma comments hapo kwenye hiyo page kuna watu wamekosoa madai ya huyo alieandika hapo. N
It does not matter, hao ni watu wa dini wanaotembeza kipigo cha mbwa koko, whether kosa ni kula wakati wa Ramadhani au kusema hamjui mnachoabudu, nk. Hizo trivials ziko nje ya mada. Suala hapa ni kwamba waumini wa dini ya kweli ni watu wa amani wasiohukumu kwa kutoa kipigo cha mbwa koko kwa wale waliokosea, na hao pichani, ambao unakiri ni watu wa dini yako, hawana justification au license kutoka kwa Mungu kuhukumu kwa kutoa kipigo kama hicho. Hiyo haiwezi kuwa dini ya wacha Mungu wa amani asiyetaka visasi. Kanuni ni kwamba asie na dhambi ampige huyu mtu.
 
Ukristo ni amani ukidhihaki utakutana n Mungu alie Hai hatufanyi kazi ya Mungu kamwe sisi sio wafia dini hatuna mihemko ya kidini lakini kikubwa zaidi wengi wetu tumesoma tunajua nini tuongee au tufanye ili iweje hatuja agizwa kuua mtu kisa dini
 
Back
Top Bottom