Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Ila uzi huu nahisi ni 15% watakuwa upande wa sky soldier ila wanao baki tumesimama na Fareed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo angewekwa Chidi Benzi. Yule ni msemaji kwa kweli. Mzee wa nimejivesha mwenyewe
Watu mnashangaza sana usifikiri eti waliokuwa bora kuimba watakuwa bora kuwasemea.
Hao ulio wataja ni wako vyema kwenye sanaa ila si usemaji.
Kama umelifuatilia hili sakata Fid Q wala hana kosa kama mnavyo msakama.
Kuna mjumbe mwingine nahisi anacheo kikubwa pia (Jina nimesahau) amemkingia kifua Stive Nyerere na kusema waje na sababu za kupinga uteuzi wake.
Je, huyo nae ni Fid Q? Watu mnajaribu kumu attack Fid sijajua kama Fid kuwa Fid labda mnachukia.
Wanaobaki Nani na Nani?Ila uzi huu nahisi ni 15% watakuwa upande wa sky soldier ila wanao baki tumesimama na Fareed
Pengine ana personal issues na Fid Q na ndio maana kajikita kwenye uwezo wake wa mashairi kuliko mada aliyokusudia ya shirikishoTitle haiendani na content uliyopost
Maybe wewe ni mtupu zaidi ya huyo unayemponda
Swadakita kabisa lakini kuna wengine hapo wanaweza kuwa bora kwa mitazamo ya Watu lakini wao binafsi wakabolonga.Wengine kwenye hiyo list wana elimu na uzoefu wa utangazaji na u-emcee. Sasa usemaji wa fani na kazi waliyochagua utawashinda kweli?
Ewaaaaa sasa ona kuna huyo ila matatizo yote anapewa Fid QAnaitwa Ado!
Ukisoma comments za wadau utanielewa vyema.Wanaobaki Nani na Nani?
Kuna jamaa yangu ananiambia Fid ni mtu mwenye jealous na roho mbaya sana tofauti na watu wanavyomchukulia na haya malalamiko yapo mengi sana na ni ya muda mrefu,kuna wasanii waliwahi kulalamika Fid aliwabania kufanya collabo international na ni mtu wa figisu na majivuno sana..No wonder ana ukaribu na mtu kama Steve NyerereFid Q akiwa kama Katibu Mkuu wa Shirikisho, alionesha wazi ana uwezo mdogo wa kufikiri, kivipi msanii nguli kama yeye alimpa "sapoti nzima" Steve Nyerere 🤓🤓 kuwa msemaji wa wana muziki ??
Hakuna kazi rahisi kama kufanya muziki anao ufanya Fid Q. Anacho kifanya Fid Q ni kutafuta best quotes kuhusu mada anayo taka kuiandikia wimbo alafu hutafsiri kuja kiswahili na kufanya ionekane kama wazo lake, kwa hali hii wasikilizaji wake wengi wanamuona genius kimakosa.
Fid Q huwa anaonekana genius kwa sababu huwa anajipanga na kufanya maandalizi makubwa kabla hajatema mistari kwenye mic, ila sasa likijaga swala linalohitaji uwezo wa kufikiria asilia ambalo halihitaji maandalizi wala kujipanga kwa mfano kwenye maamuzi, hapa ndipo huwa anatuacha midomo wazi.
Ni issue ndogo lakini ina siasa ndio maana inakuwa kubwa! Kama unajua kazi za Steve unajua nini kinafata! Bushoke aligusia jana! Rais wa shirikisho aliongea pia kwamba wanaomkataa Steve ni wanaharakati ambao pia wanaotusi serikali! Sasa hapo kuna mipango ya wasanii au mipango ya kisiasa?Hii issue mbona watu mnaikuza sana what's so special??