Wasanii wamjia juu Fid Q kwa kufanikisha Steve Nyerere kuwa Msemaji wa Wanamuziki wote Tanzania

Wasanii wamjia juu Fid Q kwa kufanikisha Steve Nyerere kuwa Msemaji wa Wanamuziki wote Tanzania

Migogoro? Seriously unajadili hii kitu?

Kwani nchi zote zina wasemaji?
Aliesema hiko cheo cha maana Sana Hadi kielete migogoro nani?
Why mnaleta siasa kila sehemu?
Au ndoto za hao wanaolalamika ni kuwa ma dc na wabunge?Na sio successful musicians?

Ili uwe successful artist huhitaji yeyote apewe cheo chochote..

Unamjua msemaji wa wasanii Nigeria au south Africa?Au Drc?Hawana but nyimbo zao si tunazijua na tunatoa pesa kupata burudani?

Hiko cheo ni mzaha na kinamfaa Sana stivu

Makelele mengine yote upumbavu
 
Migogoro? Seriously unajadili hii kitu?

Kwani nchi zote zina wasemaji?
Aliesema hiko cheo cha maana Sana Hadi kielete migogoro nani?
Why mnaleta siasa kila sehemu?
Au ndoto za hao wanaolalamika ni kuwa ma dc na wabunge?Na sio successful musicians?

Ili uwe successful artist huhitaji yeyote apewe cheo chochote..

Unamjua msemaji wa wasanii Nigeria au south Africa?Au Drc?Hawana but nyimbo zao si tunazijua na tunatoa pesa kupata burudani?

Hiko cheo ni mzaha na kinamfaa Sana stivu

Makelele mengine yote upumbavu
Ni mgogoro kwa sababu kuna malumbano yaliyozaa Wabunge wa vimemo
 
Wanateuliwa wapuuzi watupu ili watawalike.
Kuna yule sijui mkuu wa mkoa au wilaya Chikoka mpk kavaa suti haamini km ni yeye kapewa hicho cheo.
Wengine kibao wamepewa pewa tu hawaeleweki.
Hao ndio wanatakiwa awamu hii.
 
Kumjadili mjinga na wajinga wenzake walimchagua ni kupoteza muda, tuna mambo mengi ya kufanya, jamaa hata hajui muziki ukoje mbali ya kuigiza sauti ya baba wa taifa hana kingine kipya zaidi ya kuishi mjini kwa kujikomba na kujipendekezakwa wanasiasa, kufanya ukuwadi kwa pisi za bongo movie, zaidi ya hapo hana kazi yoyote inayomuweka mjini ,sana sana anakuwa mweka hazina asiye rasmi wa misiba ya nyota wa filamu. Kajitu ka hovyo sana haka kajamaa na kana jiona kana connection ya kuingia na kuonana na vigogo wa kisiasa mbalimbali
Una chuki mbaya Sana, kemea haraka Hivi wewe KWA akili Yako unapata wapi? Uwezo wa kuongelea rumors za mitandaon kiasi hiko.
 
anayepingwa na watu wote

Kazi Sana kuendesha kundi la wajinga
 
View attachment 2161034

Ni vema tukamfahamu mtu huyo na cheo chake, huenda tutafahamu pia vigezo alivyotumia, na bila shaka tutaijua hata akili yake ilivyo.

Ni aibu sana kuteua mtu asiye na vigezo na anayepingwa na watu wote, Je huyu mteuaji alilenga nini kuteua mtu asiyetakiwa hata kwao?


Kwanini tunatengeneza migogoro ya kijinga isiyo na tija yoyote?
Nasikia alipigiwa pande na Fid Q,sasa huyo mteuaji ndo hajulikani
 
View attachment 2161034

Ni vema tukamfahamu mtu huyo na cheo chake, huenda tutafahamu pia vigezo alivyotumia, na bila shaka tutaijua hata akili yake ilivyo.

Ni aibu sana kuteua mtu asiye na vigezo na anayepingwa na watu wote, Je huyu mteuaji alilenga nini kuteua mtu asiyetakiwa hata kwao?


Kwanini tunatengeneza migogoro ya kijinga isiyo na tija yoyote?
Farid Kubanda Fid Q a.k a Afidilile Mwaijumba
 
Ni mgogoro na vurugu za kutengenezwa kwa makusudi. Imepengwa iwe hivyo kwa nia na madhumini mengine kabisa na watu wazima are dancing to the tune. Nchi inaulinzi barabara kabisa hii😀😀😀
 
View attachment 2161034

Ni vema tukamfahamu mtu huyo na cheo chake, huenda tutafahamu pia vigezo alivyotumia, na bila shaka tutaijua hata akili yake ilivyo.

Ni aibu sana kuteua mtu asiye na vigezo na anayepingwa na watu wote, Je huyu mteuaji alilenga nini kuteua mtu asiyetakiwa hata kwao?


Kwanini tunatengeneza migogoro ya kijinga isiyo na tija yoyote?
Alijiteua huyo
 
Migogoro? Seriously unajadili hii kitu?

Kwani nchi zote zina wasemaji?
Aliesema hiko cheo cha maana Sana Hadi kielete migogoro nani?
Why mnaleta siasa kila sehemu?
Au ndoto za hao wanaolalamika ni kuwa ma dc na wabunge?Na sio successful musicians?

Ili uwe successful artist huhitaji yeyote apewe cheo chochote..

Unamjua msemaji wa wasanii Nigeria au south Africa?Au Drc?Hawana but nyimbo zao si tunazijua na tunatoa pesa kupata burudani?

Hiko cheo ni mzaha na kinamfaa Sana stivu

Makelele mengine yote upumbavu
Siasa kiongozi, alipogusia mwenyewe kuwa wapo wenye itikadi za kisiasa hawampendi basi nikaona ngoja nipitie na humu kujiridhisha km kuna kaharufu ka-kisiasa. Aisee Yuko sahihi, anapondwa kiasi kikubwa na 'makamanda'!
 

Shirikisho la Muziki Nchini Tanzania ambalo Fid Q Ni katibu Mkuu, lilimtangaza Steve Nyerere kuwa Msemaji wa Wanamuziki Wote nchini.

Wasanii wamaupinga huu uteuzi na kudai wanataka Kusemewa na Mtu anaejua Changamoto zao na sio Steve ambae ni Mwanasiasa na Muigizaji.

Wasanii Wameonekana kutokua na imani na Steve kwa kigezo kuwa Haujui Muziki wa Tanzania na nafasi hiyo inamfaa mtu ambae yupo relevant na Muziki,

Wasanii waliopinga ni pamoja na Nay Wa Mitego, Diamond, Wakazi, Adam Mchomvu, Q Chief, Afande Sele, n.k

Imependekezwa Mchakato Urudiwe ili apatikane mtu sahihi wa kuwasemea wanamuziki
Kumbe ule moto ulianzia huku
 
Ni issue ndogo lakini ina siasa ndio maana inakuwa kubwa! Kama unajua kazi za Steve unajua nini kinafata! Bushoke aligusia jana! Rais wa shirikisho aliongea pia kwamba wanaomkataa Steve ni wanaharakati ambao pia wanaotusi serikali! Sasa hapo kuna mipango ya wasanii au mipango ya kisiasa?
Hata Adv. Addo Mwasongwe ninamjua vyema, ni mtu mvivu mnoo nimefanya nae kazi Nssf Legal Department Ujanja mwingi Mnoo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi naona msemaji ni bora angekuwa ashawahi kujihusisha na mziki, ingependeza awe Mike tee, Tid, P funk, Master J, lady jay dee, Enika, n.k.

Huyu Steve hapana kwakweli, njaa kali sana hadi ikafika kipindi kila msiba ukitokea anajipa cheo cha kukusanya rambi rambi, pia ni mtu ambae hupenda kutumia watu kama ngazi.
Tid??? Are u serious?
 
Back
Top Bottom