Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Siyo hivyo,kamaanisha kuwa ninyi ni wachoyo,hamtaki kumpatia mnachopata ili aongezo maokoto amnunulie mchepuko wake japo range.labda kamaanisha wengine tuendelee kujitafuta!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo hivyo,kamaanisha kuwa ninyi ni wachoyo,hamtaki kumpatia mnachopata ili aongezo maokoto amnunulie mchepuko wake japo range.labda kamaanisha wengine tuendelee kujitafuta!
Vita ni vikali sana hakuna kukata tamaaa.... Mitindo ya maisha nayo sometime imetuleteleza huku.... Nikikumbuka mitonyo nilivyokuwa natapanya nikiwa peke yangu Sina majukumu.....natamani kurudisha miaka nyuma lakini hakuna namna ndio maana nasema kipindi Cha Kwanza nimepoteza.... Nna kazi ya kusawazisha na kushinda hili pambano hakuna kukata tamaa .... Vita vitapiganwa hivyohivyo hata Kwa kombeo kama Daudi.....Pambana tuu mkuu haupo peke yako
Demi you're so smart.Hilo kanisa lazima ni KKKT, wanatukuza sana wenye pesa.
Nadhani nyie ambao bado hamjafanikiwa mlitakiwa muombewe pia ili neema ya bwana iwashukie.
Mkuu hivi..Vita ni vikali sana hakuna kukata tamaaa.... Mitindo ya maisha nayo sometime imetuleteleza huku.... Nikikumbuka mitonyo nilivyokuwa natapanya nikiwa peke yangu Sina majukumu.....natamani kurudisha miaka nyuma lakini hakuna namna ndio maana nasema kipindi Cha Kwanza nimepoteza.... Nna kazi ya kusawazisha na kushinda hili pambano hakuna kukata tamaa .... Vita vitapiganwa hivyohivyo hata Kwa kombeo kama Daudi.....
Usijali kijana, life starts at forty , wewe endelea kutembea kifua mbele .Nimerudi nyumbani huu mwisho wa mwaka kama ilivyo jadi yetu tulio wengi.
Nimewakuta Baba na mama hali si shwari, nikicheki madogo all eyes on me, na mmoja anashughulikia mikopo ya elimu ya juu mwaka huu ila mambo bado tafrani.
Juzi tulivyoenda ibadani kukatokea mchango wa ujenzi na ukarabati wa nyumba ya ibada, daah washikaji wa rika yangu wamechangia mifuko ya cement 200, mmoja katoa cheque ya milioni 10 katika maongezi yake anamiliki kampuni ya clearing and forwarding huko mjini. Mwingine kaahidi tipa 20 za mchanga.
Hakika ibada ilifaana sana, mchungaji aliwaita wazazi wa wale washikaji pale madhabahuni na kutamka kwamba hakika mumezaa chema sana na MUNGU amebariki uzao wenu.
Hali ile ilinifanya nijiulize maswali yasiyo na mwisho kuhusu hatma ya maisha yangu pamoja na wazazi wangu.
Mungu why najitafuta lakini sijipati? Dunia hii ni ya wachache? Wazazi wangu wataishi katika umasikini huu wa kutisha hadi lini?
wakati narudi nyumbani na mama yangu kwa mguu, nikawa napitwa na wana wakiwa kwenye tinted za Black athlete crown, Ford ranger, Subaru nk, wakati mimi naendelea kupita kando ya barabara kukwepa tope la mvua hizi.
yaah mkuu. japo tumekuwa mbingu na ardhiBado una_advantage ya 3 mbele kaza... don't compare yourself with other's sjui umenielewa??
thank u chiefUsijali kijana, life starts at forty , wewe endelea kutembea kifua mbele .
Siyo usipojilinganisha na wenzio au kuwa na wivu na mafanikio ya wenzio huwezi kupata hasira na munkari wa kupambana ili na wewe utoboe...Ww siyo masikini,shida unajilinganisha na wngine,maisha siyo ushindan kaka utapoteza focus na unachokifanya utaanz kutamani vya watu!!
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
kutokufa masikini sio rahisi!Kuzaliwa masikini siyo kosa lako, kufa masikini litakuwa ni kosa lako mwenyewe..
Waswahili wanasema "maneno huumba" ... Acha kabisa kujipa jina baya .... Wala kujiweka huko .... Piganisha tu utapata njia yako ya mtoko....sahihi chief
life halinipi chance ya kukutana na hizo fedha kwenye circle yangu
huwezi mfosi mtu. ila kuna mmoja kaniachia suti ya kuvaaWaambie hao washikaji zako huo mchango waelekeze kwako badala ya huko nyumba ya ibada kwani wanaandaa mazingira ya kutozwa viingilio kila siku waingiapo ktk hiyo nyumba ya ibada.
Lkn wakikuchangia wewe na wazazi wako km wahitaji huenda baadae wewe na familia yako mkawa mnawapelekea shukurani mara kwa mara.
na huu ndio ukweliiSiyo usipojilinganisha na wenzio au kuwa na wivu na mafanikio ya wenzio huwezi kupata hasira na munkari wa kupambana ili na wewe utoboe...
Acha kumdanganya mwenzio, yeye ameshajua tatizo lake kuu na hilo tayari ni jambo kubwa... Huwezi kukaa kwenye maisha bila ya kujitathmini na kuona uko wapi ukilinganisha na wenzio mliokua wote.Utakufa Kwa kihoro ...hapo ulipo ndio mtafuto wako ...jichanganye Sasa kuiga kunya Kwa tembo yakukute.... Ridhika na unachopata kama unaamini Mungu ..wakati wa Mungu ndio wakati sahihi ilifika zamu yako utajipata .
Ndio kipindi Cha pili hicho Cha mchezo /Maisha.....life expectancy inacheza 60-65.. hapo nusu ya uhakika wako wa kuishi umesha uishi na bado unajitafuta ...utajitafuta uzeeni ?? Hapo ndio una 10 yrs ya kuweka sawa mambo. Ukizingua hapo ndio ntolee ... Usharithisa umaskini Kwa kizazi chako.... Unawapa kazi ya kujitafuta na wao.Hivi haka kamsemo huwa kana maana gani...?
Bilashaka Mungu amekuonyesha na umekiri kuona..Nimerudi nyumbani huu mwisho wa mwaka kama ilivyo jadi yetu tulio wengi.
Nimewakuta Baba na mama hali si shwari, nikicheki madogo all eyes on me, na mmoja anashughulikia mikopo ya elimu ya juu mwaka huu ila mambo bado tafrani.
Juzi tulivyoenda ibadani kukatokea mchango wa ujenzi na ukarabati wa nyumba ya ibada, daah washikaji wa rika yangu wamechangia mifuko ya cement 200, mmoja katoa cheque ya milioni 10 katika maongezi yake anamiliki kampuni ya clearing and forwarding huko mjini. Mwingine kaahidi tipa 20 za mchanga.
Hakika ibada ilifaana sana, mchungaji aliwaita wazazi wa wale washikaji pale madhabahuni na kutamka kwamba hakika mumezaa chema sana na MUNGU amebariki uzao wenu.
Hali ile ilinifanya nijiulize maswali yasiyo na mwisho kuhusu hatma ya maisha yangu pamoja na wazazi wangu.
Mungu why najitafuta lakini sijipati? Dunia hii ni ya wachache? Wazazi wangu wataishi katika umasikini huu wa kutisha hadi lini?
wakati narudi nyumbani na mama yangu kwa mguu, nikawa napitwa na wana wakiwa kwenye tinted za Black athlete crown, Ford ranger, Subaru nk, wakati mimi naendelea kupita kando ya barabara kukwepa tope la mvua hizi.
Hata Kama unamaisha magumu usiruhusu kuvaa vitu vya watu ambavyo wameshavaa yaani usijichukulie powah for granted.huwezi mfosi mtu. ila kuna mmoja kaniachia suti ya kuvaa
Kama mimii tu kak tujifariji kaka never give upNimerudi nyumbani huu mwisho wa mwaka kama ilivyo jadi yetu tulio wengi.
Nimewakuta Baba na mama hali si shwari, nikicheki madogo all eyes on me, na mmoja anashughulikia mikopo ya elimu ya juu mwaka huu ila mambo bado tafrani.
Juzi tulivyoenda ibadani kukatokea mchango wa ujenzi na ukarabati wa nyumba ya ibada, daah washikaji wa rika yangu wamechangia mifuko ya cement 200, mmoja katoa cheque ya milioni 10 katika maongezi yake anamiliki kampuni ya clearing and forwarding huko mjini. Mwingine kaahidi tipa 20 za mchanga.
Hakika ibada ilifaana sana, mchungaji aliwaita wazazi wa wale washikaji pale madhabahuni na kutamka kwamba hakika mumezaa chema sana na MUNGU amebariki uzao wenu.
Hali ile ilinifanya nijiulize maswali yasiyo na mwisho kuhusu hatma ya maisha yangu pamoja na wazazi wangu.
Mungu why najitafuta lakini sijipati? Dunia hii ni ya wachache? Wazazi wangu wataishi katika umasikini huu wa kutisha hadi lini?
wakati narudi nyumbani na mama yangu kwa mguu, nikawa napitwa na wana wakiwa kwenye tinted za Black athlete crown, Ford ranger, Subaru nk, wakati mimi naendelea kupita kando ya barabara kukwepa tope la mvua hizi.
Ndio ungesoma nilichondika Kwa kunielewa .... Ila naona umesoma kujibu. Unachosema ndio nimesema .... Afanye mambo yake Kwa utaratibu wake "asiige tembo" .... Hao wenzake anajua michongo Yao!!! Watu Wana michongo ya hatari kupitia vijiframes tu na vikampuni vya mfukoni...ukicheki uhalisia Wana michezo ya hatari sana ... Ndio nimemwambia afanye Kwa uwezo wake na wakati wa Mungu ni sahihi sijamwambia aache kupiganisha ... Awe makini na mapambano yake.Acha kumdanganya mwenzio, yeye ameshajua tatizo lake kuu na hilo tayari ni jambo kubwa... Huwezi kukaa kwenye maisha bila ya kujitathmini na kuona uko wapi ukilinganisha na wenzio mliokua wote.