Wasichana wengi mitandaoni njaa, ukimcheki tu anakulilia shida

Duuh kwa hiyo shule ndo umefundishwa role ya mwanaume ni kuhonga eehh?
Basi vizur
 
Lakini wanawake ss hiv, aiseeeh!!! Shida kwa kweli, njaa too much, halaf isitoshe nikiomba mzigo raha tunapata wote, mi nahic wavulana tukomae tu, kama manzi ni michosho mpotezeee, tuwaachie wapenda sifa wanaojitia wanaume, wahudumie tuone kama wanafika kokote, isiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana njaa balaa

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
dah umempa makavu ya nguvu mpaka naogopa
 
Duuh kwa hiyo shule ndo umefundishwa role ya mwanaume ni kuhonga eehh?
Basi vizur
kuhonga na kutoa yote ni UANAUME. Bado nasema wee ni kivulana. kwanini umtake msichana wakati hujui kuhudumia?Funga zipu usubiri ukiwa na ndevu...acha kulia dogo!
 
Mwaka huu tutakoboa sana hizi mboga, juzi tu nimeipakua moja kwa shida yake ya elfu 10[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Tena na ta.ko wapewa ukitaka

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Si bora huyo 15000
Mimi niligundua mwanaume wa mtandaoni ukitaka umkatae kijanja mpe jiwe
huwa sikukatai ila ukisogea tu naanza na iphone [emoji23]
Wengi huishia matusi tu....mie roho yangu burudanii
Akufukuzae hakwambii toka! JIongeze dogo
Hahahahahaha bonge ya mbinu na huwa haturudi kamwe

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 


Yaani hapo kuchat nae tu kanipiga mzinga. Na wapo wengi sana kwenye Badoo. Kama kila siku akiomba wanaume watano elfu 10 kila.mmoja manake ana kipato kikubwa kuliko mwalimu mkuu!

Majibu yangu mwenyewe alikubali akapotea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuhonga na kutoa yote ni UANAUME. Bado nasema wee ni kivulana. kwanini umtake msichana wakati hujui kuhudumia?Funga zipu usubiri ukiwa na ndevu...acha kulia dogo!
Shukuru sana mungu.ngoja nikuhifadhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…