Duuh kwa hiyo shule ndo umefundishwa role ya mwanaume ni kuhonga eehh?Vivulana viko vingi! Wanaume hawalii ku-provide.
Ukiweza kujibu the meaning of being a men. ...hutarudia kuleta na kujaza seva kwa maneno yasiyona mashiko.
ROLE YA MWANAUME NI NINI? ?Ndiyo maana mashoga NI wanaume wasiojua majukumu ya kiume.
Kama unaona huwezi subiri ukiwa mwanaume ndipo utafute mwanamke. ..acha uasherati subiri ukioa ambapo NI umri sahihi wa uanaume hutaona shida kumuhudumia mwanamke kwani automatically utaprovide na wala hutaona kwamba siyo kazi yako
Bora umemjibu wasom wetu hawa jaman eti role ya mwanaume [emoji23]Kuna tofauti kati ya kuhonga na kuhudumia.
Nakuona kaka ake. [emoji2]Duuh kwa hiyo shule ndo umefundishwa role ya mwanaume ni kuhonga eehh?
Basi vizur
dah umempa makavu ya nguvu mpaka naogopaNjaaa unayo wewe unaeshinda huko kwenye mitandao na hao wanaokuomba pesa..... Mimi si wa hivo unavodhani....hao low class unaowala viboga kwenye hiyo mitandao yako pendwa,usiwafananishe na Mimi tafadhali...... pambana na vinuka mkojo wako wa huko mitandaoni mkuu not me [emoji112]
kuhonga na kutoa yote ni UANAUME. Bado nasema wee ni kivulana. kwanini umtake msichana wakati hujui kuhudumia?Funga zipu usubiri ukiwa na ndevu...acha kulia dogo!Duuh kwa hiyo shule ndo umefundishwa role ya mwanaume ni kuhonga eehh?
Basi vizur
Tena na ta.ko wapewa ukitakaMwaka huu tutakoboa sana hizi mboga, juzi tu nimeipakua moja kwa shida yake ya elfu 10[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Hahahahahaha bonge ya mbinu na huwa haturudi kamweSi bora huyo 15000
Mimi niligundua mwanaume wa mtandaoni ukitaka umkatae kijanja mpe jiwe
huwa sikukatai ila ukisogea tu naanza na iphone [emoji23]
Wengi huishia matusi tu....mie roho yangu burudanii
Akufukuzae hakwambii toka! JIongeze dogo
Wee Jose ndio zako,Mwaka huu tutakoboa sana hizi mboga, juzi tu nimeipakua moja kwa shida yake ya elfu 10[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Shukuru sana mungu.ngoja nikuhifadhikuhonga na kutoa yote ni UANAUME. Bado nasema wee ni kivulana. kwanini umtake msichana wakati hujui kuhudumia?Funga zipu usubiri ukiwa na ndevu...acha kulia dogo!