Wasichokijua Wengi Kuhusu Marko 10: 25 katika Biblia

Wasichokijua Wengi Kuhusu Marko 10: 25 katika Biblia

Imagine wewe ndio umepewa kazi ya kutafsiri biblia kutoka lugha ya kiingereza, unakutana na neno CAMEL.

Wakati huo neno hilo linamaanisha mnyama na kamba, je kulileta katika lugha ya Kiswahili si itabidi uangalie kati ya hizo mana mbili ni ipi ilinaanishwa?

Je neno NGAMIA si ndio neno unaloamua kuliweka?

How possible nalo liwe linamaanisha maana ile ile ya kingereza na kiyunani? Kwani kabla ya utafisiri lilimaanisha nini? [emoji23][emoji23][emoji23]

Ndio mana nina wasi wasi, huenda kati ya kamba au mnyama kimoja hakiitwi ngamia, lakini kwa kuwa neno limeshaandikwa basi tena inabidi tubatize.
Labda umeelewa.
 
Imagine wewe ndio umepewa kazi ya kutafsiri biblia kutoka lugha ya kiingereza, unakutana na neno CAMEL.

Wakati huo neno hilo linamaanisha mnyama na kamba, je kulileta katika lugha ya Kiswahili si itabidi uangalie kati ya hizo mana mbili ni ipi ilinaanishwa?

Je neno NGAMIA si ndio neno unaloamua kuliweka?

How possible nalo liwe linamaanisha maana ile ile ya kingereza na kiyunani? Kwani kabla ya utafisiri lilimaanisha nini? [emoji23][emoji23][emoji23]

Ndio mana nina wasi wasi, huenda kati ya kamba au mnyama kimoja hakiitwi ngamia, lakini kwa kuwa neno limeshaandikwa basi tena inabidi tubatize.
Labda umeelewa.
Kwani waliotafsiri Bible ya Kiingereza kuja kwenye Kiswahili ni akina nani mkuu? Pengine unawa-overate kwamba hawawezi kukosea! Unapotafsiri, huwezi kuwa unatafsiri neno kwa neno ndiyo maana unashauriwa kusoma kwanza na kukielewa kile unachotaka kukitafsiri ili kupunguza makosa ya kimantiki kama hili!
 
Sasa mkuu si ushaambiwa ngamia hii ya Kiswahili imetafsiriwa kutoka kwenye neno camel la Kiingereza ambalo lina maana mbili? Yawezekana Kiswahili hakina misamiati ya kutosha na ndiyo maana hata kwenye Kamusi ya TUKI ukiangalia maana ya neno ngamia, utakuta moja tu ya mnyama lakini ukiangalia kwenye Webster Dictionary utakuta neno Camel lina maana zaidi ya moja!

No. Neno NGAMIA halijatoka kwenye lugha ya Kiingereza, sijui unatumia kigezo kipi, huenda neno ngamia lilikuwepo kabla hata neno camel halijaja kwenye muktadha wetu. Je lilikuwa lina maanisha kitu gani?


Kama TUKI wanasema ni mnyama, basi kimsingi ngamia ni mnyama, kama Biblia ina maanisha kamba ya nanga, je ile kamba haina neno lake kwa kiswahili?


Tazama bro, 36% lugha ya Kiswahili ni kiarabu, huenda tukisema kwa lugha ya kiarabu hii kamba ipo since hawa watu ni NAVIGATORS, ile kamba ya kufunga mashua zao baada ya safari ama uvuvi iliitwaje? [emoji16][emoji16]


Na wenyeji wa Ustaarabu wa Kiswahili waliitaje? [emoji16] ikipatikana inaitwaje basi Biblia inapaswa kuondoa neno NGAMIA na kuweka neno la hii kamba, japo utakuwa hujawatendea haki wanao maanisha TUNDU LA SINDANO as mlango wa Kuingilia mji wa Yerusalemu
 
Nilishawahi kuwafundisha wanafunzi wangu kuhusu hili suala, lakini twende sawa hapa.

Ile kamba inaitwa NGAMIA na Yule mnyama nae anaitwa NGAMIA. Kwa Lugha ya Kiswahili, nikaja kubadili mtazamo siku nimesoma na version ya kiingereza, nikakuta imeandikwa CAMEL. Je, Camel nayo ina maanisha kamba?

[emoji3166]
Hiyo metaphor ya Ngamia inamaanisha kitu kile kile.

Whether mtu atamaanisha Ngamia ni kamba, ni mnyama, jiwe.

Na sindano ni sindano.

Maana ya hiyo metaphor inabaki kuwa MOJA.
 
Kwani waliotafsiri Bible ya Kiingereza kuja kwenye Kiswahili ni akina nani mkuu? Pengine unawa-overate kwamba hawawezi kukosea! Unapotafsiri, huwezi kuwa unatafsiri neno kwa neno ndiyo maana unashauriwa kusoma kwanza na kukielewa kile unachotaka kukitafsiri ili kupunguza makosa ya kimantiki kama hili!

Sisemi hawajakosea, namaanisha wanakosea, neno ngamia linabeba asili ya Mnyama, maana ambayo kwenye neno camel pia ipo, je neno hilo hilo lina maana ya kamba? [emoji16] kama sio, basi ibadilishwe
 
Hakuna mwenye kosa ila fact ni kwamba unapotafsiri maandishi kutoka lugha moja kwenda nyingine, maana halisi huwa inapotea kadiri unavyozidi kutafsiri! Biblia original iliandikwa kwa Kiebrania (Hebrew), tafsiri ya kwanza ikawa kwa Kilatini, then ndiyo hapo inakuja Kiingereza halafu ndiyo Kiswahili! Kwa hiyo maana inakuwa altered all the way down!
Biblia imeandikwa kwa lugha mbili tu
Agano la kale(Kiebrania
Agano jipya (Kigiriki)
Sasa ili kujua maana hasa ya maneno hayo lazma uanze kwenye Kigiriki kwanza. Angalia tofauti ya hata maneno
kaʹme·los=ngamia
kaʹmi·los= kamba

Sasa kupitia muktadha huo fanya utafiti utapa jibu vizuri achana Kilatin kilichoaribu kabisa maandiko matakatifu
 
Hujaweka hitimisho mkuu japo umefafanua vizuri kabisa!
Biblia imeandikwa kwa lugha mbili tu
Agano la kale(Kiebrania
Agano jipya (Kigiriki)
Sasa ili kujua maana hasa ya maneno hayo lazma uanze kwenye Kigiriki kwanza. Angalia tofauti ya hata maneno
kaʹme·los=ngamia
kaʹmi·los= kamba

Sasa kupitia muktadha huo fanya utafiti utapa jibu vizuri achana Kilatin kilichoaribu kabisa maandiko matakatifu
 
Katika kitabu kitakatifu cha Biblia, Marko 10: 25 inasema: Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.

Wanachokielewa wengi, wakiwemo baadhi ya watumishi wa Mungu, ni kwamba ngamia anayezungumziwa hapa ni yule mnyama mwenye nundu kubwa mgongoni, pengine hata wewe kwa miaka mingi umekuwa ukijua hivyo.

Hata hivyo, ngamia iliyomaanishwa hapa, ni kamba! Ndiyo, kamba! Zile kamba nene zinazotumika kuvuta kwa mfano meli iliyozama na kadhalika. Makosa ya tafsiri hii yanaanzia kwenye kufasiri kifungu hiki cha Biblia kutoka kwenye Kiingereza kuja kwenye Kiswahili. Kwa Kiingereza, Mark 10:25 inasomeka hivi: It is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich person to enter the kingdom of God.

Ukichukua kamusi yako, angalia maana ya neno camel, ya kwanza utaona ni ngamia mnyama lakini kuna maana ya pili ambayo ni hii: Camel: An apparatus for raising a sunken ship, consisting of one or more watertight chests to provide buoyancy. Kwa tafsiri nyepesi, ni kamba nene zinazotumika kuvuta meli iliyozama...

Kwa commoni sense ya kawaida tu, ngamia mnyama anawezaje kufananishwa na kupenya kwenye tundu la sindano? Hakuna uhusiano wowote, lakini kuna uhusiano wa kamba nene kupenya kwenye tundu la sindano kwa sababu kamba nyembamba (uzi) unapenya kirahisi!

Kwa hiyo tunahitimisha kwa kusema, ngamia/camel inayomaanishwa kwenye bible ni kamba. I stand to be corrected!

View attachment 1651630
Kuna tafsiri nyingi,ninayoielewa Mimi,ni kwamba,kwenye kifungu hicho,Anayezungumziwa ni ngamia mnyama,ila sindano sio hii tunayoifshamu,hapa sindano,kwa nyakati zile ni miti miti miwili imesimikwa chini Kama milingoti ya viwanja vya mpira,miti hii,ilitumika kussfishia Ngamia,Ngamia anapitishwa Kati Kati ya hii miti miwili,inakuwa inambana mbavuni,sasa anavyokuwa anapita kwa shida,uchafu,uliopo kwenye ngozi yake,unapaluliwa na hii miti,chukulia mfano wa mwiko wa kusongea ugari,unapotumia kisu kutoa Mabaki ya ugari,
Hii miti miwili ndio sindano,kwa kipindi kile,
 
Kuna tafsiri nyingi,ninayoielewa Mimi,ni kwamba,kwenye kifungu hicho,Anayezungumziwa ni ngamia mnyama,ila sindano sio hii tunayoifshamu,hapa sindano,kwa nyakati zile ni miti miti miwili imesimikwa chini Kama milingoti ya viwanja vya mpira,miti hii,ilitumika kussfishia Ngamia,Ngamia anapitishwa Kati Kati ya hii miti miwili,inakuwa inambana mbavuni,sasa anavyokuwa anapita kwa shida,uchafu,uliopo kwenye ngozi yake,unapaluliwa na hii miti,chukulia mfano wa mwiko wa kusongea ugari,unapotumia kisu kutoa Mabaki ya ugari,
Hii miti miwili ndio sindano,kwa kipindi kile,
Duh! Hii kali! Ndiyo nasikia kitu kama hiki kwa mara ya kwanza
 
Hata sindano zina ukubwa tofauti pia. Ila pale alimaanisha ngamia ukifuatilia mistari inayoendelea mbele

Ila haimanisho ukiwa lofa kabisa choka mbaya ndio njia yako kwenda peponi ni rahisi imenyoooooka.
 
Nilishawahi kuwafundisha wanafunzi wangu kuhusu hili suala, lakini twende sawa hapa.

Ile kamba inaitwa NGAMIA na Yule mnyama nae anaitwa NGAMIA. Kwa Lugha ya Kiswahili, nikaja kubadili mtazamo siku nimesoma na version ya kiingereza, nikakuta imeandikwa CAMEL. Je, Camel nayo ina maanisha kamba?

[emoji3166]
  1. a large, long-necked ungulate mammal of arid country, with long slender legs, broad cushioned feet, and either one or two humps on the back. Camels can survive for long periods without food or drink, chiefly by using up the fat reserves in their humps.

  2. an apparatus for raising a sunken ship, consisting of one or more watertight chests to provide buoyancy.
 
  1. a large, long-necked ungulate mammal of arid country, with long slender legs, broad cushioned feet, and either one or two humps on the back. Camels can survive for long periods without food or drink, chiefly by using up the fat reserves in their humps.

  2. an apparatus for raising a sunken ship, consisting of one or more watertight chests to provide buoyancy.

[emoji16][emoji16] basi sio kamba, mana hapa ni ile apparatus, so ni nanga, not kamba
 
ndio na mimi naona maana ni nyingi kila dictionary inaelezea kivyake lkn sijaona hii ya mleta mada

Kuna kitu hakipo sawa na mtafsiri ww Biblia kwa lugha ya Kiswahili, sitaki kabisa eti itokee coincidence kwamba. Neno

Camela- kwa kilatini limaanishe kamba na mnyama

Camel- kwa kingereza limaanishe kamba na mnyama

Na NGAMIA- limaanishe kamba na mnyama [emoji1][emoji1] hapana, kuna kimoja hapa kinalazimishwa kuitwa ngamia.
 
Ndio hivyo mkuu, ni kamba. Shida imekuja kwa miaka ya karibuni kuibuka 'Viongozi wa dini' wasiopitia chuo cha theolojia kazi kubwabwaja tu kuhusu miujiza na mafanikio!
Ukisikia "mtumishi" wa namna hii ujue ni nabii wa uongo
 
Katika kitabu kitakatifu cha Biblia, Marko 10: 25 inasema: Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.

Wanachokielewa wengi, wakiwemo baadhi ya watumishi wa Mungu, ni kwamba ngamia anayezungumziwa hapa ni yule mnyama mwenye nundu kubwa mgongoni, pengine hata wewe kwa miaka mingi umekuwa ukijua hivyo.

Hata hivyo, ngamia iliyomaanishwa hapa, ni kamba! Ndiyo, kamba! Zile kamba nene zinazotumika kuvuta kwa mfano meli iliyozama na kadhalika. Makosa ya tafsiri hii yanaanzia kwenye kufasiri kifungu hiki cha Biblia kutoka kwenye Kiingereza kuja kwenye Kiswahili. Kwa Kiingereza, Mark 10:25 inasomeka hivi: It is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich person to enter the kingdom of God.

Ukichukua kamusi yako, angalia maana ya neno camel, ya kwanza utaona ni ngamia mnyama lakini kuna maana ya pili ambayo ni hii: Camel: An apparatus for raising a sunken ship, consisting of one or more watertight chests to provide buoyancy. Kwa tafsiri nyepesi, ni kamba nene zinazotumika kuvuta meli iliyozama...

Kwa commoni sense ya kawaida tu, ngamia mnyama anawezaje kufananishwa na kupenya kwenye tundu la sindano? Hakuna uhusiano wowote, lakini kuna uhusiano wa kamba nene kupenya kwenye tundu la sindano kwa sababu kamba nyembamba (uzi) unapenya kirahisi!

Kwa hiyo tunahitimisha kwa kusema, ngamia/camel inayomaanishwa kwenye bible ni kamba. I stand to be corrected!

View attachment 1651630
Sure, wengi huwa hawalijui hilo, wanakariri vifungu vya Bible bila utafiti hongera mtoa mada

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom