Diwani
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,680
- 2,779
Imagine wewe ndio umepewa kazi ya kutafsiri biblia kutoka lugha ya kiingereza, unakutana na neno CAMEL.
Wakati huo neno hilo linamaanisha mnyama na kamba, je kulileta katika lugha ya Kiswahili si itabidi uangalie kati ya hizo mana mbili ni ipi ilinaanishwa?
Je neno NGAMIA si ndio neno unaloamua kuliweka?
How possible nalo liwe linamaanisha maana ile ile ya kingereza na kiyunani? Kwani kabla ya utafisiri lilimaanisha nini? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio mana nina wasi wasi, huenda kati ya kamba au mnyama kimoja hakiitwi ngamia, lakini kwa kuwa neno limeshaandikwa basi tena inabidi tubatize.
Labda umeelewa.
Wakati huo neno hilo linamaanisha mnyama na kamba, je kulileta katika lugha ya Kiswahili si itabidi uangalie kati ya hizo mana mbili ni ipi ilinaanishwa?
Je neno NGAMIA si ndio neno unaloamua kuliweka?
How possible nalo liwe linamaanisha maana ile ile ya kingereza na kiyunani? Kwani kabla ya utafisiri lilimaanisha nini? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio mana nina wasi wasi, huenda kati ya kamba au mnyama kimoja hakiitwi ngamia, lakini kwa kuwa neno limeshaandikwa basi tena inabidi tubatize.
Labda umeelewa.