Kwani waliotafsiri Bible ya Kiingereza kuja kwenye Kiswahili ni akina nani mkuu? Pengine unawa-overate kwamba hawawezi kukosea! Unapotafsiri, huwezi kuwa unatafsiri neno kwa neno ndiyo maana unashauriwa kusoma kwanza na kukielewa kile unachotaka kukitafsiri ili kupunguza makosa ya kimantiki kama hili!Imagine wewe ndio umepewa kazi ya kutafsiri biblia kutoka lugha ya kiingereza, unakutana na neno CAMEL.
Wakati huo neno hilo linamaanisha mnyama na kamba, je kulileta katika lugha ya Kiswahili si itabidi uangalie kati ya hizo mana mbili ni ipi ilinaanishwa?
Je neno NGAMIA si ndio neno unaloamua kuliweka?
How possible nalo liwe linamaanisha maana ile ile ya kingereza na kiyunani? Kwani kabla ya utafisiri lilimaanisha nini? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio mana nina wasi wasi, huenda kati ya kamba au mnyama kimoja hakiitwi ngamia, lakini kwa kuwa neno limeshaandikwa basi tena inabidi tubatize.
Labda umeelewa.
Sasa mkuu si ushaambiwa ngamia hii ya Kiswahili imetafsiriwa kutoka kwenye neno camel la Kiingereza ambalo lina maana mbili? Yawezekana Kiswahili hakina misamiati ya kutosha na ndiyo maana hata kwenye Kamusi ya TUKI ukiangalia maana ya neno ngamia, utakuta moja tu ya mnyama lakini ukiangalia kwenye Webster Dictionary utakuta neno Camel lina maana zaidi ya moja!
Hiyo metaphor ya Ngamia inamaanisha kitu kile kile.Nilishawahi kuwafundisha wanafunzi wangu kuhusu hili suala, lakini twende sawa hapa.
Ile kamba inaitwa NGAMIA na Yule mnyama nae anaitwa NGAMIA. Kwa Lugha ya Kiswahili, nikaja kubadili mtazamo siku nimesoma na version ya kiingereza, nikakuta imeandikwa CAMEL. Je, Camel nayo ina maanisha kamba?
[emoji3166]
Kwani waliotafsiri Bible ya Kiingereza kuja kwenye Kiswahili ni akina nani mkuu? Pengine unawa-overate kwamba hawawezi kukosea! Unapotafsiri, huwezi kuwa unatafsiri neno kwa neno ndiyo maana unashauriwa kusoma kwanza na kukielewa kile unachotaka kukitafsiri ili kupunguza makosa ya kimantiki kama hili!
Hiyo metaphor ya Ngamia inamaanisha kitu kile kile.
Whether mtu atamaanisha Ngamia ni kamba, ni mnyama, jiwe.
Na sindano ni sindano.
Maana ya hiyo metaphor inabaki kuwa MOJA.
Biblia imeandikwa kwa lugha mbili tuHakuna mwenye kosa ila fact ni kwamba unapotafsiri maandishi kutoka lugha moja kwenda nyingine, maana halisi huwa inapotea kadiri unavyozidi kutafsiri! Biblia original iliandikwa kwa Kiebrania (Hebrew), tafsiri ya kwanza ikawa kwa Kilatini, then ndiyo hapo inakuja Kiingereza halafu ndiyo Kiswahili! Kwa hiyo maana inakuwa altered all the way down!
Biblia imeandikwa kwa lugha mbili tu
Agano la kale(Kiebrania
Agano jipya (Kigiriki)
Sasa ili kujua maana hasa ya maneno hayo lazma uanze kwenye Kigiriki kwanza. Angalia tofauti ya hata maneno
kaʹme·los=ngamia
kaʹmi·los= kamba
Sasa kupitia muktadha huo fanya utafiti utapa jibu vizuri achana Kilatin kilichoaribu kabisa maandiko matakatifu
Hitimisho ni kuangalia tu alichomaanisha Yesu. Itakavyotafsiriwa ila maana yake bu nn!Hujaweka hitimisho mkuu japo umefafanua vizuri kabisa!
Kuna tafsiri nyingi,ninayoielewa Mimi,ni kwamba,kwenye kifungu hicho,Anayezungumziwa ni ngamia mnyama,ila sindano sio hii tunayoifshamu,hapa sindano,kwa nyakati zile ni miti miti miwili imesimikwa chini Kama milingoti ya viwanja vya mpira,miti hii,ilitumika kussfishia Ngamia,Ngamia anapitishwa Kati Kati ya hii miti miwili,inakuwa inambana mbavuni,sasa anavyokuwa anapita kwa shida,uchafu,uliopo kwenye ngozi yake,unapaluliwa na hii miti,chukulia mfano wa mwiko wa kusongea ugari,unapotumia kisu kutoa Mabaki ya ugari,Katika kitabu kitakatifu cha Biblia, Marko 10: 25 inasema: Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.
Wanachokielewa wengi, wakiwemo baadhi ya watumishi wa Mungu, ni kwamba ngamia anayezungumziwa hapa ni yule mnyama mwenye nundu kubwa mgongoni, pengine hata wewe kwa miaka mingi umekuwa ukijua hivyo.
Hata hivyo, ngamia iliyomaanishwa hapa, ni kamba! Ndiyo, kamba! Zile kamba nene zinazotumika kuvuta kwa mfano meli iliyozama na kadhalika. Makosa ya tafsiri hii yanaanzia kwenye kufasiri kifungu hiki cha Biblia kutoka kwenye Kiingereza kuja kwenye Kiswahili. Kwa Kiingereza, Mark 10:25 inasomeka hivi: It is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich person to enter the kingdom of God.
Ukichukua kamusi yako, angalia maana ya neno camel, ya kwanza utaona ni ngamia mnyama lakini kuna maana ya pili ambayo ni hii: Camel: An apparatus for raising a sunken ship, consisting of one or more watertight chests to provide buoyancy. Kwa tafsiri nyepesi, ni kamba nene zinazotumika kuvuta meli iliyozama...
Kwa commoni sense ya kawaida tu, ngamia mnyama anawezaje kufananishwa na kupenya kwenye tundu la sindano? Hakuna uhusiano wowote, lakini kuna uhusiano wa kamba nene kupenya kwenye tundu la sindano kwa sababu kamba nyembamba (uzi) unapenya kirahisi!
Kwa hiyo tunahitimisha kwa kusema, ngamia/camel inayomaanishwa kwenye bible ni kamba. I stand to be corrected!
View attachment 1651630
Duh! Hii kali! Ndiyo nasikia kitu kama hiki kwa mara ya kwanzaKuna tafsiri nyingi,ninayoielewa Mimi,ni kwamba,kwenye kifungu hicho,Anayezungumziwa ni ngamia mnyama,ila sindano sio hii tunayoifshamu,hapa sindano,kwa nyakati zile ni miti miti miwili imesimikwa chini Kama milingoti ya viwanja vya mpira,miti hii,ilitumika kussfishia Ngamia,Ngamia anapitishwa Kati Kati ya hii miti miwili,inakuwa inambana mbavuni,sasa anavyokuwa anapita kwa shida,uchafu,uliopo kwenye ngozi yake,unapaluliwa na hii miti,chukulia mfano wa mwiko wa kusongea ugari,unapotumia kisu kutoa Mabaki ya ugari,
Hii miti miwili ndio sindano,kwa kipindi kile,
Nilishawahi kuwafundisha wanafunzi wangu kuhusu hili suala, lakini twende sawa hapa.
Ile kamba inaitwa NGAMIA na Yule mnyama nae anaitwa NGAMIA. Kwa Lugha ya Kiswahili, nikaja kubadili mtazamo siku nimesoma na version ya kiingereza, nikakuta imeandikwa CAMEL. Je, Camel nayo ina maanisha kamba?
[emoji3166]
- a large, long-necked ungulate mammal of arid country, with long slender legs, broad cushioned feet, and either one or two humps on the back. Camels can survive for long periods without food or drink, chiefly by using up the fat reserves in their humps.
- an apparatus for raising a sunken ship, consisting of one or more watertight chests to provide buoyancy.
ndio na mimi naona maana ni nyingi kila dictionary inaelezea kivyake lkn sijaona hii ya mleta mada[emoji16][emoji16] basi sio kamba, mana hapa ni ile apparatus, so ni nanga, not kamba
ndio na mimi naona maana ni nyingi kila dictionary inaelezea kivyake lkn sijaona hii ya mleta mada
Ukisikia "mtumishi" wa namna hii ujue ni nabii wa uongoNdio hivyo mkuu, ni kamba. Shida imekuja kwa miaka ya karibuni kuibuka 'Viongozi wa dini' wasiopitia chuo cha theolojia kazi kubwabwaja tu kuhusu miujiza na mafanikio!
Sure, wengi huwa hawalijui hilo, wanakariri vifungu vya Bible bila utafiti hongera mtoa madaKatika kitabu kitakatifu cha Biblia, Marko 10: 25 inasema: Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.
Wanachokielewa wengi, wakiwemo baadhi ya watumishi wa Mungu, ni kwamba ngamia anayezungumziwa hapa ni yule mnyama mwenye nundu kubwa mgongoni, pengine hata wewe kwa miaka mingi umekuwa ukijua hivyo.
Hata hivyo, ngamia iliyomaanishwa hapa, ni kamba! Ndiyo, kamba! Zile kamba nene zinazotumika kuvuta kwa mfano meli iliyozama na kadhalika. Makosa ya tafsiri hii yanaanzia kwenye kufasiri kifungu hiki cha Biblia kutoka kwenye Kiingereza kuja kwenye Kiswahili. Kwa Kiingereza, Mark 10:25 inasomeka hivi: It is easier for a camel to go through the eye of a needle than for a rich person to enter the kingdom of God.
Ukichukua kamusi yako, angalia maana ya neno camel, ya kwanza utaona ni ngamia mnyama lakini kuna maana ya pili ambayo ni hii: Camel: An apparatus for raising a sunken ship, consisting of one or more watertight chests to provide buoyancy. Kwa tafsiri nyepesi, ni kamba nene zinazotumika kuvuta meli iliyozama...
Kwa commoni sense ya kawaida tu, ngamia mnyama anawezaje kufananishwa na kupenya kwenye tundu la sindano? Hakuna uhusiano wowote, lakini kuna uhusiano wa kamba nene kupenya kwenye tundu la sindano kwa sababu kamba nyembamba (uzi) unapenya kirahisi!
Kwa hiyo tunahitimisha kwa kusema, ngamia/camel inayomaanishwa kwenye bible ni kamba. I stand to be corrected!
View attachment 1651630