Zanzibar 2020 Wasifu: Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi, Rais ajaye wa Zanzibar

Kwa Mara ya kwanza raisi wa Zanzibar anakuwa na asili ya Tanzania bara yaani pwani, mpambano utakuwa mkali maalim vs mwinyi
Maalim nae asili yake sio pwani, vimiwani, bara wala afrika. Tukianza kubaguana hatutajenga nchi
 
Kumbe ni mndengereko, kweli vyeo vya juu mnapeana tuu ndugu kwa ndugu,

Acha akachape kazi kama baba ake hamna shaka raisi wa zanzibar mpya
 
Tusisahau Salumu Mwalimu, naibu katibu mkuu wa Chadema Znz, Mwaka 2015 aligombea ubunge jimbo la Kikwanjuni, Zanzibar, na mwaka 2018 akagombea tena ubunge jimbo la Kinondoni Tanganyika.

Ukiwa mzanzibari, unaruhusiwa kugombea Tanganyika, lakini ukiwa mtanganyika huruhusiwi kugombea Zanzibar.
Sie watanganyika hatuna ubaguzi.
 
Kwakweli Baba wa Taifa Mwl.Nyerere kuna sehemu alikosea kabisa...yaani mpaka sasa hamna mtoto ambae ni waziri au Rais aisee
 
pia baba yake Mzee Ruksa aliwahi kuwa Rais wa serikali ya watu was Zanzibar awamu ya tatu(3),unabisha !
 
Mzanzibari anaweza kuwa Mbunge Tanganyika lakini mtanganyika hawezi hata kupiga kura Zanzibar!!

Huu Muungano ni BIG SCAM!!
 
Hivi inakuaje raisi wa kuongoza Zanzibar aje apendekezwe na Watanzania bara?
Maana ukiangalia wajumbe wa NEC ya CCM wa bara ni wengi kuliko wa Zanzibar
 
Nasikia huyu bwana wazenji hawataki kabisa kumsikia......m

Zenji wanaenda nanMaalim Seif
 

Sadakta.
 
Maali seif ndo chaguo letu. Hakuna cha mwinyi wala cha pekeku
Hii imekaa vyema sana.......usultani sio mzuri kabisa......anaenda kulinda maslahi ya muungano badala ya maslahi ya Zanzibar!!!!
 
Maali seif ndo chaguo letu. Hakuna cha mwinyi wala cha pekeku
Ushauri wa bure maana umri unakwenda kwa huyu jamaa na Sultani naye umri unakimbia vile vile.

Hii inchi inavisiwa vingi, jichangeni au vipi Sultani ajipapasepapase mnunue kisiwa kimoja wapo (Kuna baadhi katika bahari ya Hindi visivyo kaliwa nawatu). Alfu mnakusanyana wote, hata kama ni 2/3 ya watu wote, mnahamia hapo na kumchagua Maalim raisi wenu. Ila msijitangaze kama nchi huru kwenye hicho kisiwa maana kisheria kitakuwa ni ardhi ya Jamhuri, japo mnaimiliki nyie. Mkijitangaza, Mabeyo halali yenu.
Huu ndo ushauri wa bure. Hii ya kutegemea Maalim apewe Znz, ashinde asishinde ni ndoto tu wakati wa uhai wake na Sultani mwenyewe akiwa bado hai.
 

Ndiyo maagizo ya Kardinali wako, Pengo hayo ??
 


Chini ya CCM hata atokee malaika hakuna jipya zaidi ya kuongezeka udhalimu . Alikuwepo baba yake na hakuna jipya zaidi ya maudhi

Tuna msubiri Popo bawa lakini uelewa kwa dhuluma zilizofanywa na CCM na serikali zake si rahisi kujivua gamba
 


NITAMKUBALI SANA KAMA ATAKUWA NI KIONGOZI WA KWANZA WA CCM KUKUBALI KUSHINDWA ; TENA HADHARANI
 
Dodoma ndio machinjio ya wazanzibar????haaaa CCM tunaendeleza usultani kwenye koloni letu zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…