Wasikilizaji wa Radio Imani: Ole wake atakayewalisha watoto wetu mchele wa msaada wenye virutubisho

Wazee wa bit, watalishwa na hamna kitu watafanya.
 
Huko Gaza watu wanakula hiyo misaada na ndio wanaijua dini vizuri kuliko hao Walalamishi !
Ukienda Pakistan na Afghanistan utakutana na wagonjwa wa polio wengi kiasi ambacho hutoamini macho yako !
Hiyo yote ni kwa sababu eti chanjo zinazotolewa na wazungu zinazuwia watu kuzaa !!
Cha ajabu ni kwamba Dawa karibu zote zilizopo Hospitalini na kwingineko zimetengenezwa na hao hao wazungu. !

Na hata hizo mashine zote utakazozikuta huko Hospitalini kuanzia kipimo cha joto la mwili au X-ray , MRI, Citiscan na kila kitu mpaka visu vya kupasulia wagonjwa vimetokea kwa hao hao Wazungu !
Wazungu wakitaka kutudhuru watatudhuru hata kwa kutumia mionzi ya simu tunazozitumia 😅😅 !

Wazungu wapo na vitu vyao vipo kila mahali ulipo na unavitumia kila siku !
 
Vyakula vigawiwe wanaotaka kula watakula na wasiotaka kula na wasile !
Simple mathematics- unataka chukua kama hutaki kwenda zako 😅😅
Wasitubabaishe hao watu !
Sisi tuna njaa tunautaka huo Mchele !
Acha wao ule mchele unaotengenezwa na mashine wapike biriani zao !!
 
Huo mchele waulete huku mikoani tuuchukue, huku haturembi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…