Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi hata sahivi nikiambiwa nifuate naenda chap sn maana hapa home hali siyo nzuri snNa ndo inatakiwa utolewe kwa watu wanaouhitaji aiseutaka asilaumiwe
Je chakula hicho kinawafikia walengwa wote?Hahaha; Halafu kila siku tunalalamika "Tunataka Elimu ya bure kama tulivyoahidiwa..." Lakini watoto wanashinda njaa shuleni. Hatukubali kuchangia hicho chakula cha watoto cha mchana. Sasa Akitokea mfadhili tunasema ana agenda ya siri. Hivi watu hatujiulizi sisi ni NANI na tuna UMUHIMU gani hivyo hata watu (Mataifa yaliyoendelea) watuonee gere hadi watumie nguvu kubwa na ujanja kivile wa kutudanganyishia mchele? Jamani tupunguze unoko - hauna tija kabisa.
Kitasaidia kwa kiasi fulani kwenye maeneo yaliyobainika kuathirika zaidi na Changamoto hiyo wakati Taifa au Wazazi husika wanajipanga kuona ni kwa namna gani Tatizo/Changamoto ya Utapiamlo uliokithiri kwa watoto mashuleni litashughulikiwa na kuondoshwa kabisa.Hicho chakula chako cha Marekani kinatosha kwa shule zote nchini Tanzania au kwa majiji tu?Je kipindi ambacho hicho chakula chako hakikuwepo watoto hawakusoma?Zaidi ya yote baada ya kuleta mchele kutoka Marekani division zero zitaisha?
Mkuu, Ifungulie Thread hii hoja yako hiyo ili tuweze kuchangia.Nani kaomba
Duh! Mchele waleta kizazaa! Aisee mpaka Alubadr. Hivi alubadri hu-expire baada ya muda gani?Watawasomea alubadili
Ni kupita nao tu broMi hata sahivi nikiambiwa nifuate naenda chap sn maana hapa home hali siyo nzuri sn
Yap. Tuyaache hayo majamaa yakiendelea na malumbano.Ni kupita nao tu bro
Mkuu hujatulia kabisa; naona unachanganya mada na unakwepa kujibu swali.Hicho chakula chako cha Marekani kinatosha kwa shule zote nchini Tanzania au kwa majiji tu?Je kipindi ambacho hicho chakula chako hakikuwepo watoto hawakusoma?Zaidi ya yote baada ya kuleta mchele kutoka Marekani division zero zitaisha?
Kitimoto baadaye. Maliza kwanza mchele. 😁 😁Jamani Michele Nataka Mimi.. Mimi Nakula tuuu,, Hivi Hawana misaada ya kitimotooo,, leteni Mimi Nataka.
Tende hazipo Tanzania?🤔Waislamu hoyeee. Waletewe msaada wa vitu wasivyokua navyo kama ndege , magari n.k . Hii nimeipenda sanaa.
Watu wameshakula sana Tende na nyama ya kondoo ya misaada kutoka nje ya nchi, pia bado wanatafuna sana vidonge vya ARVs.Sakata la mchele wenye virutubisho kutoka Marekani limeendelea kuchukua sura mpya baada ya waislamu kuukataa bila kumumunya maneno. Wakiongea kupitia redio ya kiislamu ya Imaan FM inayounguruma kutokea mkoa wa Morogoro, wamesema hawautaki mchele huo na wametoa tahadhari kwa mtu yeyote atakayewalisha watoto wao. Wamesema chakula wanacho cha kutosha hapa nchini na kushauri waletewe vitu wasivyokuwa navyo kama vile ndege, magari na ambulance.
Ili kuonyesha kuwa hawatanii katika hili, hata watangazaji waliokuwa wakiendesha kipindi walionekana kushabikia kitendo hicho. Mtu yeyote aliyepiga simu kwenye kipindi akionyesha kwenda kinyume na msimamo wao, walimkatia simu mara moja. Hebu wasikilize wewe mwenyewe kupitia klipu hiyo hapo chini.
MAONI YANGU
Huu mchele sasa naona umeanza kutugawa kiitikadi. Wakristo nao wakitoka hadharani na kuweka msimamo wao, hapatatosha. Ifike mahali ubaguzi wa kijinga kama huu ukemewe kwani unaweza kuligawa taifa na kuhatarisha umoja na mshikamano tulio nao hapa nchini. Tusiruhusu kikundi kidogo cha watu kitugawe kwa sababu yoyote ile.
Nawasilisha.
Mkuu wakitangaza tukachukue nishitue hapa home tupo vibaya snNi kupita nao tu bro
Can you please argue against my opinions?I didn't expect this kind of comment from you,man!
Why are you so weak?
Mkiletewa tende walimu wa madrasa wanawachangamkia wanafunzi wao, tukio la Nzega ni moja kati ya matukio mengi ya aina hiyo.Sakata la mchele wenye virutubisho kutoka Marekani limeendelea kuchukua sura mpya baada ya waislamu kuukataa bila kumumunya maneno. Wakiongea kupitia redio ya kiislamu ya Imaan FM inayounguruma kutokea mkoa wa Morogoro, wamesema hawautaki mchele huo na wametoa tahadhari kwa mtu yeyote atakayewalisha watoto wao. Wamesema chakula wanacho cha kutosha hapa nchini na kushauri waletewe vitu wasivyokuwa navyo kama vile ndege, magari na ambulance.
Ili kuonyesha kuwa hawatanii katika hili, hata watangazaji waliokuwa wakiendesha kipindi walionekana kushabikia kitendo hicho. Mtu yeyote aliyepiga simu kwenye kipindi akionyesha kwenda kinyume na msimamo wao, walimkatia simu mara moja. Hebu wasikilize wewe mwenyewe kupitia klipu hiyo hapo chini.
MAONI YANGU
Huu mchele sasa naona umeanza kutugawa kiitikadi. Wakristo nao wakitoka hadharani na kuweka msimamo wao, hapatatosha. Ifike mahali ubaguzi wa kijinga kama huu ukemewe kwani unaweza kuligawa taifa na kuhatarisha umoja na mshikamano tulio nao hapa nchini. Tusiruhusu kikundi kidogo cha watu kitugawe kwa sababu yoyote ile.
Nawasilisha.
HazitoshiTende hazipo Tanzania?[emoji848]
au waletewe silaha za kujihami na infidels 😁Waislamu hoyeee. Waletewe msaada wa vitu wasivyokua navyo kama ndege , magari n.k . Hii nimeipenda sanaa.