Wasikilizaji wa Radio Imani: Ole wake atakayewalisha watoto wetu mchele wa msaada wenye virutubisho

Wasikilizaji wa Radio Imani: Ole wake atakayewalisha watoto wetu mchele wa msaada wenye virutubisho

mambo ya vyakula tz tuna vyakula vya asili ambavyo vimejaa virutubisho kibao , na vimetukuza vizuri tu
Kwanini hivyo vyakula havipelekwi mashuleni mnawaacha watoto wanashinda njaa na kudumaa kwa utapiamlo? Acha unafiq mkuu.
 
Hahaha; Halafu kila siku tunalalamika "Tunataka Elimu ya bure kama tulivyoahidiwa..." Lakini watoto wanashinda njaa shuleni. Hatukubali kuchangia hicho chakula cha watoto cha mchana. Sasa Akitokea mfadhili tunasema ana agenda ya siri. Hivi watu hatujiulizi sisi ni NANI na tuna UMUHIMU gani hivyo hata watu (Mataifa yaliyoendelea) watuonee gere hadi watumie nguvu kubwa na ujanja kivile wa kutudanganyishia mchele? Jamani tupunguze unoko - hauna tija kabisa.
Je chakula hicho kinawafikia walengwa wote?
 
Hicho chakula chako cha Marekani kinatosha kwa shule zote nchini Tanzania au kwa majiji tu?Je kipindi ambacho hicho chakula chako hakikuwepo watoto hawakusoma?Zaidi ya yote baada ya kuleta mchele kutoka Marekani division zero zitaisha?
Kitasaidia kwa kiasi fulani kwenye maeneo yaliyobainika kuathirika zaidi na Changamoto hiyo wakati Taifa au Wazazi husika wanajipanga kuona ni kwa namna gani Tatizo/Changamoto ya Utapiamlo uliokithiri kwa watoto mashuleni litashughulikiwa na kuondoshwa kabisa.
Je, unataka watoto waendelee kusoma huku wana njaa? Nadhani wamevumilia sana vya kutosha kusoma kipindi ambapo chakula hakikwepo.
Mchele haujaletwa kama mwarobaini wa kumaliza uwepo wa Division zero.
Je, ww (kama ulipitia huko) ulipata division gani kwa sababu hukuula mchele wa Marekani?
 
Hicho chakula chako cha Marekani kinatosha kwa shule zote nchini Tanzania au kwa majiji tu?Je kipindi ambacho hicho chakula chako hakikuwepo watoto hawakusoma?Zaidi ya yote baada ya kuleta mchele kutoka Marekani division zero zitaisha?
Mkuu hujatulia kabisa; naona unachanganya mada na unakwepa kujibu swali.
Wewe unasema NCHI INA CHAKULA CHA KUTOSHA. Je, UMEWAHI KUWAPELEKEA WANAFUNZI HATA GUNIA MOJA LA MCHELE WAKAPIKIWE?
 
Sakata la mchele wenye virutubisho kutoka Marekani limeendelea kuchukua sura mpya baada ya waislamu kuukataa bila kumumunya maneno. Wakiongea kupitia redio ya kiislamu ya Imaan FM inayounguruma kutokea mkoa wa Morogoro, wamesema hawautaki mchele huo na wametoa tahadhari kwa mtu yeyote atakayewalisha watoto wao. Wamesema chakula wanacho cha kutosha hapa nchini na kushauri waletewe vitu wasivyokuwa navyo kama vile ndege, magari na ambulance.

Ili kuonyesha kuwa hawatanii katika hili, hata watangazaji waliokuwa wakiendesha kipindi walionekana kushabikia kitendo hicho. Mtu yeyote aliyepiga simu kwenye kipindi akionyesha kwenda kinyume na msimamo wao, walimkatia simu mara moja. Hebu wasikilize wewe mwenyewe kupitia klipu hiyo hapo chini.

MAONI YANGU
Huu mchele sasa naona umeanza kutugawa kiitikadi. Wakristo nao wakitoka hadharani na kuweka msimamo wao, hapatatosha. Ifike mahali ubaguzi wa kijinga kama huu ukemewe kwani unaweza kuligawa taifa na kuhatarisha umoja na mshikamano tulio nao hapa nchini. Tusiruhusu kikundi kidogo cha watu kitugawe kwa sababu yoyote ile.

Nawasilisha.
Watu wameshakula sana Tende na nyama ya kondoo ya misaada kutoka nje ya nchi, pia bado wanatafuna sana vidonge vya ARVs.
 
Sakata la mchele wenye virutubisho kutoka Marekani limeendelea kuchukua sura mpya baada ya waislamu kuukataa bila kumumunya maneno. Wakiongea kupitia redio ya kiislamu ya Imaan FM inayounguruma kutokea mkoa wa Morogoro, wamesema hawautaki mchele huo na wametoa tahadhari kwa mtu yeyote atakayewalisha watoto wao. Wamesema chakula wanacho cha kutosha hapa nchini na kushauri waletewe vitu wasivyokuwa navyo kama vile ndege, magari na ambulance.

Ili kuonyesha kuwa hawatanii katika hili, hata watangazaji waliokuwa wakiendesha kipindi walionekana kushabikia kitendo hicho. Mtu yeyote aliyepiga simu kwenye kipindi akionyesha kwenda kinyume na msimamo wao, walimkatia simu mara moja. Hebu wasikilize wewe mwenyewe kupitia klipu hiyo hapo chini.

MAONI YANGU
Huu mchele sasa naona umeanza kutugawa kiitikadi. Wakristo nao wakitoka hadharani na kuweka msimamo wao, hapatatosha. Ifike mahali ubaguzi wa kijinga kama huu ukemewe kwani unaweza kuligawa taifa na kuhatarisha umoja na mshikamano tulio nao hapa nchini. Tusiruhusu kikundi kidogo cha watu kitugawe kwa sababu yoyote ile.

Nawasilisha.
Mkiletewa tende walimu wa madrasa wanawachangamkia wanafunzi wao, tukio la Nzega ni moja kati ya matukio mengi ya aina hiyo.
 
Back
Top Bottom