Wasimamizi mirathi ya Mengi wabanwa Mahakamani kuhusu matunzo ya watoto wa mjane Jacqueline Ntuyabaliwe

akili za kibongo kabisa hizi, yani unawakilisha wabongo wengi wanavowazaga with law IQ, Jifunzeni kwa wahindi na waarabu na wengine huko, mali huzifanya za familia ili kuzifanya zibaki katika familia na hili ndio hufanya watu wanaendelea hadi wanakua mabillionair sababu hata muanzilishi akifa wale wanabaki aanaendeleza, ila wabongo mzee anataka mali zake hata mtoto ake asijue , na anataka watoto nao wajitaftie upya za kwao, ndio unakuta baba anamiliki maduka au biashara au kampuni ila watoto wake wako busy kuapply jobs za kampuni ya familia zingine, wanaenda kuendeleza hizo huku kwao kunakufa, mzazi akifa tu na mali zinapotea haha

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 

Reginald Mengi alitakiwa kwanza asingemuoa bali ingekuwa nyumba ndogo tu. Sijui kulikuwa na sababu gani ya yeye kutaka kupata watoto katika umri ule aliokuwa nao tena kwa kupandikizwa? Kwa umri wake ule alitakiwa kula starehe tu na huyo binti lakini akiwa na bi mkubwa wake nyumbani!

Kama kulikuwa na umuhimu wa kumuoa huyo mwanamke basi angehakikisha KUWA hapati mtoto nae kwa umri wake ule kwani alijiletea mateso tu kutoka kwa huyo mwanamke! Asingekuwa na watoto saa hizi kusingekuwa na hizi kesi mahakamani.

Hili ni fundisho zuri kwa wazee wenye ukwasi wanapokuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanawake wa umri mdogo kuliko wao; hasa pale wanapopata nao watoto!!
 
Binafsi, mjane atumiwe au asitumiwe, THE FACT KWAMBA WALE WATOTO NI MENGI, kwanini hawawahudumii? Yaani kuna shida gani hapo watoto kupata huduma?

Sidhani kama wasimamizi wa hiyo mirathi wanakataa kuwahudumia hao watoto; tatizo linakuja pale huyo mwanamke anavyotaka watoto wahudumiwe kama vile marehemu baba yao alipokuwa hai!!

Sasa kama huyo mama anaishi DUBAI na anataka watoto aishi nao huko na huduma ziwafuate huko DUBAI , inakuwa ngumu kidogo. Kama ni shule wale watoto wanaweza kusoma hapa hapa nchini na itakuwa rahisi kuwalipia karo za shule na mahitaji yao mengine. Lakini huyo mwanamke nadhani anataka apelekewe fedha za matunzo ya hao watoto huko Dubai ambako pengine anaishi na wanaume wengine!!

Hapo ndio penye utata wa jinsi ya kuwahudumia hao watoto. Mama anataka kula kwa mgongo wa watoto.
 
Hii sasa itakua roho mbaya tu kwani hao watoto wakubwa wa mengi wanaona tabu gani kuwasaidia wadogo zao?
 
Kwenye hii mada watu hawajadili vitu kisheria zaidi ya UKABILA. Yaan wachaga wao ndio wanaona kama Jack na watoto wake hawana haki. Kisheria iwe Kidini, mila au Serikali watoto wa ndoa ni halali na wanapata mgao wa mali za marehemu bila vipingamizi, sambamba na Mke wa Marehemu.
Wachaga wengi ni wapumbavu and bad thing kwao wanahisi wao ndio wenye akili zaidi ya wenzao.
Huyo Jack na watoto wake watapata Mali vizuri tu na hakuna kitu kitatokea.
 
Kwa unavyosema,unafikiri baada ya Mengi kufariki mali zote angeachowa Jackline? Au zingeachwa kwenye usimamizi wa nani?
 
Uzuri ni kwamba kwa jinsi ninavyofahamu wachaga kwenye issues kama hizi wanakuwa wamoja na kusaidiana sanaa, hasa pale wanapokuwa wanajua ukweli ulivyo. Huyo mjane from the beginning wameshamjua lengo lake na kiukweli she has a long way to go, hii vita wala hatatoboa. Kama alishindwa kumshawishi mzee Mengi amjenge kibiashara na yeye aanze her own business kipindi hicho kwa sasa ajiandae kimaumivu tuu..
 
Kwani Jack hakupewa Chochote kama urithi toka kwenye Mali za Mengi????? Wale watoto pia waliachiwa Urithi labda kama ndugu wamepokonya hizo maliii au Mali zimepukutika Jack kashindwa kuziendeshaaaa... Jibu sahihi ni lipi
Wasimamizi wa mali zote za Mengi ni Abdiel na Baba ake mdogo, hakuna mali iliyogawanywa.
 
Wasimamizi wa mali zote za Mengi ni Abdiel na Baba ake mdogo, hakuna mali iliyogawanywa.
Eeeh bhasi pagumuu sana aiseeee... Lakini msimamizi na mrithi nani mwenye mamlaka zaidi kwenye mali??? Najua msimamizi ni kuangalia mali waliorithi wasizitumie ovyoo otherwise tuseme watoto wale hawajatendewa haki kutokupewa urithi wa chochote toka kwenye mali za baba yao na sijui why mahakama imeamua hivyooo
 
Kesi ya usimamizi wa hii mirathi bado ipo mahakamani Jack alikata rufaa,
hii ni kesi ndogo inayohusu tu ada na utunzaji wa watoto.
 
Mkuu elewa kuoa ni kufuga, yaani unakuwa unaipata muda wowote uitakayo zizini mwako.

Lakini uhawara, ni uwindaji wa porini usio na kikomo, jambo ambalo wazee wengi wasiopenda shida hawalipendi.
Sasa si unampangishia nyumba tu na unamzalisha watoto, na kila wikiemdi unaenda kulala kabisa huko huko.., at 74yrs ukioa ni kujitafutia kuuwawa tu, na utauwawa kweli sababu ya mali
 
Ushafika 74 then unahofia kufa?unataka uishi mpaka miaka mingapi?
Ili uenjoy maisha ni upate unavyovitaka pasipo kupangiwa wala kujali huyu ama yule anasema nini...

Mali ni zake na alikua ana maamuzi na uwezo wa kumtunuku yeyote amtakaye.
Watoto wa Mengi walishapewa Elim na kila kitu,kwanini wasijitafutie mali zao?
Pia japo si sawa kuacha mali za mzee wao kupotea mikono mwa kahaba .
 
Hakuna umri ambao mtu haogopi kufa, hata bakhkressa leo hii anafanya biashara kwa nguvu kuliko hata vijana, sasa huyo haogopi kufa? Kuoa at 74yrs ni kujitafutia kuuwawa tu na mdangaji
 
[emoji1][emoji1] mawazo ya maskini bana, unadhani utajiri wa almost $500mil unaachwa kizembe tu eti watoto wakaanze moja?Au unadhani hao Ni wamiliki wa ki-frame Cha duka?
 
Hawa watoto wa Mengi ni walafii sanaa na hela za baba yao... Kwani wamgemmegea huyo Jack sehemu kidogo ya Urithi hata kama sio alivyoandika mengi at least ingemsadiia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…