Wasimamizi wa mirathi ya Mengi wagoma kuhudumia watoto, waburuzwa mahakamani

Hao ndugu wa Mengi wanazingua. Watoto wa jacky na Mengi ni ndugu zao pia.

Why utata uwe mkubwa hivi.

Hapo ndipo napoipendea dini ya kiislam. Mahakama isingepata shida kugawa mali ingesoma taratibu za kwenye msaafu tu.
Mahakaka gani inagawa Mali kwa taratibu za msahafuni na sio The law of marriage Act
 
Unataka kunambia watoto hawaendi shule wako nyumbani kisa ndugu zao hawatoi matumizi?
 
Tatizo mjane alipika wosia aisee na anajulikana ni mdangajiπŸ˜… haki haiwezi kuwa sensitive kwa mdangaji kuliko wanafamilia wenyewe.
 
Hawa wanaotoa hoja kwamba Jack atunze watoto ili kuionyesha dunia hakufuata mali au hawa watoto mali za baba yao haziwahusu kwakua marehemu alichuma na mke mkubwa ni wajinga kiasi hichi au wivu na roho mbaya ndiyo wanavitumia kama halmashauri yao ya ushauri?
 
Sio wajinga bali wanafahamu showoff za Jack. angewaacha tu watoto shule waliyopelekwa na Baba yao wakamalizia pale badala ya kuwahamisha nara kuwasuka rasta

Kuna maisha Jack anayatamani ila anajisahaulisha mzee wa kumpa hayo maisha hayupo
 
Kapewa kila kitu ila binti anataka pasu kwa pasu.

Ule wosia kenyewe na dada yakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kumbe wanasoma Dubai? Hata mimi ningegoma kuwalipia ada. Haka kademu kanapenda makubwa sana. Nadhani Mengi hakukatongoza, bali kenyewe ndo kalimtongoza ili kajilimbikizie mali.

Hata ule wosia nina mashaka kaliuandika kenyewe....
 
Kapewa kila kitu ila binti anataka pasu kwa pasu.

Ule wosia kenyewe na dada yakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kumbe wanasoma Dubai? Hata mimi ningegoma kuwalipia ada. Haka kademu kanapenda makubwa sana. Nadhani Mengi hakukatongoza, bali kenyewe ndo kalimtongoza ili kajilimbikizie mali.

Hata ule wosia nina mashaka kaliuandika kenyewe....
 
Unamzidi nini k k lyn?
Nimemzidi Akili na maarifa sababu yeye ni mwanamke aliyebarikiwa uzuri basi aliamua kuumiza sehemu za Siri Ili awe gold digger
Halafu heshimu wanaume wewe dada eboo wewe wa Kuni fananisha na K.llyn kidume kama Mimi?
Heshima ni kitu Cha Bure dada angu alaaaaa!
😁😁😁😁
 
kaka unazijua akili za wadada wa bongo fleva na bongo movie lakini?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hapa kuna kitu hakipo sawa
Kesi IPO mahakama ya Rufaa swali kuna stay ya utekelezaji wa hukumu ya Mahakama Kuu? Kwa maana kesi ikishakuwa mahakama ya Rufaa basi mahakama za chini hazina mamlaka.
Wasimamizi wanaweza kufanya kazi wakati bado kesi IPO mahakama ya Rufaa?
Ila Mwisho wakubaliane kuyamaliza kifamilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…