whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
1. Video umeiona!Matukio ya kupika kama hayo yapo mengi sana, sema kama ndo umeshika smartphone miaka ya karibuni kiasi cha kuamini video za YouTube siwezi kukulaumu.
Hakuna uthibitisho wowote wa kuaminika kuwa kuna Mungu au Shetani, na hautakuja kuwepo kwa sababu hawapo.
Ujuha unaanzia kwenye imani tu bila udhibitisho ulio jijenga kwenye mawanda yake.1. Video umeiona!
2. Majirani wamesema walimzika "victim" 2020
3. Ndugu wamethibitisha kuwa ndugu yao alikufa kwa ajali ya gari 2020
4. Mkuu wa wilaya kakiri kuwa huyo "victim" alichukuluwa msukule. Kumbuka na yeye alikuwa haamini mpaka aliposhuhudia kwa macho yake.
Tuambie! Tukuamini wewe au Mkuu wa wilaya?
Baada ya wazungu kugundua ndege nakueleza jinsi inavyofanya kazi ,watu wameona ni kawaida tu sio miujiza tena ,ila hizi blabla zisizo ata na faida kwenye jamii wanaona ni nguvu za mungu ama za shetani.Matukio ya kupika kama hayo yapo mengi sana, sema kama ndo umeshika smartphone miaka ya karibuni kiasi cha kuamini video za YouTube siwezi kukulaumu.
Hakuna uthibitisho wowote wa kuaminika kuwa kuna Mungu au Shetani, na hautakuja kuwepo kwa sababu hawapo.
Nini kilimpata huyu mwanamke.Baada ya wazungu kugundua ndege nakueleza jinsi inavyofanya kazi ,watu wameona ni kawaida tu sio miujiza tena ,ila hizi blabla zisizo ata na faida kwenye jamii wanaona ni nguvu za mungu ama za shetani.
Tupe mawazo yako kuhusiana na hili tukio
Maigizo hayo, bado hawajakuamini ipo siku na wewe watakupa kisehemu cha kuigizaMwaka 2007 Singida, tukiwa tumelala kwenye chumba kimoja(tulikuwa kwenye kambi ya kidini) lakini tulikuwa bado yupo macho, na mlango ukiwa umefungwa, mtu aliingia ndani bila mlango kufunguliwa, na karibia wote tuliokuwemo humo mimi nikiwemo tulimwona. Akijaribu kudogelea tulipokuwa tumelala, lakini mmoja wetu aliposema,"katika Jina la Yesu", alitoweka.
Mungu yupo, na uchawi upo, lakini nguvu ya Mungu ni kuu kuliko nguvu zingine zote.
Najua unajua hilo hata kama utaigiza kuwa hujui.
Wewe utakua hifatilii mambo upo upo tu hapa mjiniAlifikaje juu ya paa la nyumba ya Mchungaji?
Vipi huyo "aliyeyeyukia" mkononi mwa nduguye Mchungaji?
Mara nyingi wakipelekwa police huishia kuachiwa huru na kama italazimika kwenda mahakamani basi kisa litakuwa tress passing ama usumbufu kwa wengineWalitaka "kumshughulikia" Mchungaji aliyekuwa akikwamisha kazi zao, lakini wakaishia kukutana na nguvu za Mungu na hatimaye kiongozi wao kudondoka na ungo.
"Atheist" atalichukuliaje tukio hilo?
Mungu Yupo, na watu wanaomwamini si wa kuchezewa na wachawi.
Video hiyo hapo.
View attachment 2851247View attachment 2851248
Sheria inasemaje kuhusiana na masuala ya kichawi? Mtu anapokamatwa kwa tuhuma za kichawi hufanyweje? Itasaidia akipelekwa kituo cha Polisi?
View attachment 2851268
Na wewe ukikubali kuyaweka wazi unayoyajua kuhusu ulimwengu wa roho, wengi wataduwaa! Naamini unayajua mengi ila tu umechagua kusimamia unachosimamia.Afya ya akili ukiielewa kwa mapna utanielewa , pia kutojishughulisha na kuwa bize ndio kuna zalisha majuha .
kuna tukio lilitokea la mama kujifungua mtoto halafu baada ya kushuka kutoka kwenye bajaji yule mtoto aliyekuwa amemkumbata likawa jiwe.Hizo ni drama tu wala sio mara ya kwanza kutokea hapa Tanzania.
Njaa hua zinasababisha watu kufanya mambo ya ajabu. Hapo huyo kapewa hela na mganga ili kumtaftia soko la wateja.
Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu hakuna cha mungu wala shetani.
wewe huyo aliyeyuka umemuona?Alifikaje juu ya paa la nyumba ya Mchungaji?
Vipi huyo "aliyeyeyukia" mkononi mwa nduguye Mchungaji?
Umewasikia hawa?kuna tukio lilitokea la mama kujifungua mtoto halafu baada ya kushuka kutoka kwenye bajaji yule mtoto aliyekuwa amemkumbata likawa jiwe.
Nilibishana sana na watu nikawaambia hili game linachezwa, na kweli baada ya siku iloonekana yule mama na shangazi mtu kuna michezo michafu walitaka kufanya.
Huyo mchungaji hapa anafanyiwa promotion ya hatari, sioni chochote zaidi ya maneno tu wanayoongea.
Labda mtoa mada aseme yeye huo uchawi upo wapi hapo?
Maigizo haya nishayaona mengi.Umewasikia hawa?
Mkuu, unataka kutuaminisha kuwa Polisi, diwani, na mkuu wa wilaya nao ni waigizaji?Maigizo haya nishayaona mengi.
Hakuna jipya, tufanye kazi.
Na mengi utayakuta katika jamii zinazoamini mambo hayo.
Nilitaka kusema hili ila umemaliza kila kitu mkuu!Ni vigumu kuthibitisha ukweli wa taarifa maana haya yanatokea kila siku tu. Mwaka juzi kuna moja ilitokea mbeta eti kanaswa juu ya bati la mchungaji. Kumbe mwanamke katoka Mwanza kalipwa ila hakujua kuwa ile habari itasambaa sana kwa sababu ya mtandao ikasambaa hadi watoto na mmewe wakaiona na wao hawakuwa na taarifa kuwa maza yuko mbeya walidhani yuko kwenye sijuo semina.
Mama akaona hapa maji yamezidi unga ikabidi aseme ukweli kuwa alilipwa ionekane kanasa juu ya paa la mchungaji.
Haya maigizo si kwa wachungaji tu, umesahau tukio la kiroba kunasa kichwani kimara eti jamaa kaweka dawa toka kwa mganga ukiiba mzigo haushuki. Kumbe usanii tu wa kumfanya mganga avute watu na kweli taarifa ikasambaa watu wakaamini hadi polisi walipoingilia.
Kwa nini umesema hivyo mkuu?Na wewe ukikubali kuyaweka wazi unayoyajua kuhusu ulimwengu wa roho, wengi wataduwaa! Naamini unayajua mengi ila tu umechagua kusimamia unachosimamia.
Mkuu,Mkuu, unataka kutuaminisha kuwa Polisi, diwani, na mkuu wa wilaya nao ni waigizaji?