7 Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.Sasa wewe huna akili nitakuelezea vipi maana ya akili mkuu
Mwanzo 2:7
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
7 Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.Sasa wewe huna akili nitakuelezea vipi maana ya akili mkuu
Mbigu saba bila nguzo, usiku na mchana, watu kufa na kuzaliwa etc haya yote hayawezi kwenda wenyewe isipokuwa yupo anaeviendeaha vyoteEvidence yako ni ipi?
Lete evidence yako sasaMbigu saba bila nguzo, usiku na mchana, watu kufa na kuzaliwa etc haya yote hayawezi kwenda menyewe isipokuwa yupo anaeviendeaha vyote
Na yeye Mungu kawekwa na nan? Kwa sababu ulichokifanya hapo ni theoretical triangulation.Mbigu saba bila nguzo, usiku na mchana, watu kufa na kuzaliwa etc haya yote hayawezi kwenda menyewe isipokuwa yupo anaeviendeaha vyote
Mkuu unauliza suala jengine langu hujajibuNa yeye Mungu kawekwa na nan? Kwa sababu ulichokifanya hapo ni theoretical triangulation.
Nafikiri nikuache tu 🤔Mkuu unauliza suala jengine langu hujajibu
Lete evidence mungu hayupo
😆 Watu mkishiba mna mambo mengi...Mkuu unauliza suala jengine langu hujajibu
Lete evidence mungu hayupo
Sawa mkuuNafikiri nikuache tu 🤔
Me nataka evidence tu kaitaneni😆 Watu mkishiba mna mambo mengi...
Ndo nikauliza wenzio nani kaiumba akiliHiyo mantiki tunaikataa kwasababu kama ni hivyo basi mungu naye aliumbwa na flani, naye flani aliumbwa na flani..... hivyo.
Unajua kwanini nimekupotezea?Sawa mkuu
Ila utakapo pata evidence nakusubiri kama mungu hayupo
Lete evidence mungu hayupoHiyo mantiki tunaikataa kwasababu kama ni hivyo basi mungu naye aliumbwa na flani, naye flani aliumbwa na flani..... hivyo.
Ikiwa huamini Mungu alieumba ulimwengu mzima na vilivyomo, kwamba kila kitu kipo nature, mbona magari na vitu vyengine tunaona Made in China, made in Tanzania etc
Wenye akili tu wataelewa
Akili ni nini? mbona hujibu unarukarukaNdo nikauliza wenzio nani kaiumba akili
Tatizo kama hujui maana ya akili maana yake wewe huna sasa kama huna nitakuelezea vipiAkili ni nini? mbona hujibu unarukaruka
Kama hujui maana ya akili si japo ugoogle tu mkuuTatizo kama hujui maana ya akili maana yake wewe huna sasa kama huna nitakuelezea vipi
Evidence ya kitu ambacho hakipo? Fikiria vizuri kabla ya kujibu.Umekuja tena
Lete evidence