Pre GE2025 Wasira awatetemesha akina Tundu Lissu na Wenzake: "Kauli Mbiu ya "No Reform, No Election" Haina Maana Kwa Sasa"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uzi wa hovyo sana huu mkuu!panda kama hausomi Duri ya nini kinaendelea!

Jiulize nani kalinda demokrasia ya chadema Hadi kufanikisha Lisu anashinda dhidi ya mapesa na suti nyeusi upande wa mama na Mbowe!!?

Ukiweza ku decode hapo utajua mission inayoendelea Kwa sasa ambayo ni Katiba mpya kaboa ya uchaguzi la sivyo 1.Tunarudi chimwaga kuteua mpya mgombea 2.upinzani unashika 3.mgombea mwenza alieteuliwa anaula utia nia!!
 
Lissu sasa aachie hiyo nyumba Oysterbay na arudishe watoto st kayumba ili twende sawa…
 
 
Kifungu cha 10 . 1 C cha Sheria ya Tume huru ya uchaguzi ya mwaka 2024, ndicho kilichoipa Tume jukumu la kusimamia na kuratibu uendeshaji wa uchaguzi wa serikali za vijiji, mitaa na vitongoji Tanganyika.
Tuambie sasa Sheria iliyotungwa na bunge ni ipi? Inayohusu uchaguzi wa serikali za mitaa

 
Ibara ipi unayoiongelea ya Katiba ya JMT?
 
Wenye akili Timamu tu ndio watauelewa uzi huu
 
Tuambie sasa Sheria iliyotungwa na bunge ni ipi? Inayohusu uchaguzi wa serikali za mitaa

View attachment 3213922

..Ndio nimekwambia Raisi/Bunge/CCM wamefanya makusudi kutokutekeleza hicho kifungu ulichopigia mstari ili kuwezesha Ofisi ya Raisi[ Mwenyekiti wa CCM ] kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
..Ndio nimekwambia Raisi/Bunge/CCM wamefanya makusudi kutokutekeleza hicho kifungu ulichopigia mstari ili kuwezesha Ofisi ya Raisi[ Mwenyekiti wa CCM ] kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa.
Acha kuruka ruka. Weka hapa sheria ya uchaguzi wa serikali za mitaa. Acha kupotosha umma kwa maslah ya Lissu 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 

..Raisi hataki kuandika sheria itakayowezesha Tume Huru kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa.

..Raisi hataki kuteua Makamishna wa Tume Huru ili wapitie usaili, badala yake anataka kuendelea na makamishna wa tume ya zamani.

..Raisi analazimisha Wakurugenzi waruhusiwe kusimamia uchaguzi ili kupata upenyo wa kuiba na kuharibu uchaguzi.
 
Huyo ni kiburi na dharau tu.
 
Unajua watoto wa Wasira, Kinana nk walipo? Nitajie mmoja anayefanya kazi tz.

Watanzania bana ni watu wa ajabu sana, naita ni special specie yani, huwezi kupata akili za hivi dunia nzima, ndio maana tunasindikiza tu. Yani ccm ilishagaona tupo bado kwenye evolution ndio maana inafanya inavyotaka na wanajua kila kitu na opposite yake sisi tutasifia tu, eti mtoa mada ananiuliza umri wangu ili tu kujustify haya madudu, mkongwe huyu kuwa mpya mwaka 2025 kuliko kizazi chote cha 70s, 80s na 90s cha ccm. Eti kizazi cha AI mnaleta hii midudu ambayo haijui hata kucompose email!

Wasira nimeanza kumsikia nikiwa chipukizi wa chama miaka ya mwisho ya 70, akiwa ndani ya mfumo, kimsingi ni ana mchango mkubwa sana kutufikisha hapa tulipo, then leo kateuliwa eti "atatetemesha mtu" huyu huyu?

Kwamba ccm ikiteua mtu basi waimba mapambio wanakuja kujaza server hapa kwa misifa kama vile kaja mtu kutoka "sayari" ingine kaleta miujiza sasa, na kwamba tutegemee mambo ya kasi na viwango, si ajabu ndio maana tumesikia wanapima shirika lao mfu la ndege kwa performance za makampuni mengine, badala ya "revenue na profits" wabongo tunahesabu wazungu walioletwa na Air France, KLM, Swiss, Lufthansa etc.

Ni nini kipya wasira atakuja nacho zaidi ya ucngz? Kwenye vikao mtampa energy drink ili awe alive? Eti mtu mzima msomi (I presume kwa kuwa yupo jf though) anauliza Lissu ana mchango gani kwa taifa? Kwani lini alikuwa na mamlaka ya kufanya maamuzi? Kaanza uenyekiti juzi tu hapa watu wanaugua matumbo! Kwa level yake kama mpinzani na mwanasheria kafanya vitu tangible vingi tu na hata ukideny na kukwepa ukweli utabaki unaujua na unaimba hapa ili ukumbukwe, tunawajua wengi tu hapa mlichonga na mkakumbukuwa.

Ukitaka compare na contrast Lissu against wasira kwe kugoogle tu, wasira zaidi ya kuwa kwenye mfumo wa kushiba nini tangible unaweza kusema kafanya? Zaidi ni mwanasiasa wa ajira tu akikosa kazi ccm au serikalini anatafuta maslahi popote tu kama waganga njaa wengine. Kama ambavyo alikosa kazi akaenda kuomba kazi NCCR Mageuzi wakati kijana venus upo nursery school.

Lissu hakutetemeshwa na wanadiplomasia mahiri kama kina Mkapa na waliotangulia aje kutetemeshwa na hiki chuma chakavu? You are doomed sister! Ni simba yule, mama kamkubali anatetemeka yeye
 
Umerudi pale ale et ku seat bila conditions .mm ndo maana wanangu nimeruhusu wabadili uraia tu
 
Kwani sheria ya uchaguzi wa serikali za mitaa haipo?
 
Kwani sheria ya uchaguzi wa serikali za mitaa haipo?

..Bunge limeelekeza iandikwe upya ili kuwezesha Tume Huru kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa.

..kwasababu Mama Abduli alilenga kuiba uchaguzi wa serikali za mitaa ndio maana maelekezo ya Bunge hayajatekelezwa.
 
..asante.

..lakini hebu jipime kama kauli zako zinalikatisha tamaa, au zinalipa uhalali, genge la mauwaji.

..pima kama kwa kauli zako unaonekana kukwera zaidi na Lissu, au unakerwa na genge la wauwaji.
Nauzika zaidi na muonevu government,Tena sana!

Nataka njia za kweli na practical kufanikisha hili si kutujaza upepo

Shida ni Lissu anapotudanganya as if sisi ni watoto wadogo

Ametuaminisha yeye ndio muarobaini wa huu uonevu tukampa status ya Mesiah,cha ajabu anakuja na hizi alinacha ambazo tushazisikia na kujaribu huko nyuma

Akae chini afikirie practical way to get around CCM and its machinery to promised land,na awe mkweli asife kitu

Aache kutudanganya na kutupotezea muda

Muongo tu,sana sana kutokana na ujanja finyu wake atapelekea hadi ACT ku-collude na CCM kutupita kua chama kikuu rasmi nchini maana anampa CCM option,hapo we will be officially burried!

Haoni hata hili kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…