Wasomi jifunzeni kwa dada Mwasu, dereva wa bajaji msomi mwenye shahada mbili

Siasa hizi,kwa hiyo wakiingia wengine tatizo la ajira linaisha hapo hapo ?
 
Tunasubiri sasa amiliki kiwanda cha bajaji,

Manake kuna motivesheni spika hapa anasema alianza kula yai la kuku moja la kukaanga sasa hivi ana miliki kuku wa mayai 10,000
 
Mkuu mi naona kashindwa tu kutumia elimu yake...
Angekuwa na hiyo kazi unayomdhania asingetafuta kujulikana kupitia magazeti vinginevyo uniambie anatumika na serikali kupiga propaganda ili vijana wa wasio na ajira wajione Kuna mahali hawajafanya wajibu wao...
Pia mkuu kutumia elimu kuibadilisha kuwa kitu halisi si skills kidogo zinahitajika ni maarifa ya Hali ya juu Sana na wanayoyafikia ni watu wabunifu na wenye akili si kila mtu
 
Huyu kwao wanahela bhana hapa kaamua tu kutangaza biashara yake
 
Aisee umeongea kweli Kuna watu wanajigamba tu na vielimu vyao lakini nje ya hicho Cheti hana chochote cha maana.
 
Tunasubiri sasa amiliki kiwanda cha bajaji,

Manake kuna motivesheni spika hapa anasema alianza kula yai la kuku moja la kukaanga sasa hivi ana miliki kuku wa mayai 10,000
Bakhresa alianza kuuza urojo saivi ana maviwanda

Hapo je[emoji1787][emoji1787]
 
Bakhresa alianza kuuza urojo saivi ana maviwanda

Hapo je[emoji1787][emoji1787]
Yule mzee hajaenda shule kihistoria so kastruggle kwelikweli miaka yote Hadi kawa bilionea,ila huyu bi mdada kapoteza muda class halafu anakuja kutamba eti ana masters anaendesha bajaji,angeishia la 7 na kuanza kuendesha bajaji then akaja mitandaoni na kusema niliishia la 7 nikajiajiri kuendesha bajaji na sasa nina miliki bajaji 10 ange-motivate vijana na wasomi wengine ,ila huyu dada ni kama anatumika kipropaganda na kuishusha hadhi elimu yetu
 
The last standing man@Mshana Jr kuna ramli +-++ uteuzi unakuja unakatika kilinge kinapungukiwa kasi kuni zipo nyingi mbichi zinahitaji joto kali kutoa moto wa kutosha kusogeza usukani
 
UMEONGEA hoja ya msingi sana ..hiyo ni propaganda iliyo be calculated ...maana naona habari yenyewe ipo front page za magazeti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…