Wasomi tunamchukulia Musukuma kama Mchekeshaji wa ‘Stand Up Comedy’ ndani ya Bunge. Tunashauri aendelee kutuchekesha

He did it purposely... Toka lin joka hajui L na R! [emoji23]

Mtu anayeelezewa ni darasa la saba Alafu nijihangaishe kumuandikia kisomi ili iwe nini, hayo ni matumizi Mabaya ya usomi

Wao wakiongea na sisi lazima wajikakamue kutoa hoja na lugha zinazokaribia usomi ili tuone nao sio wajinga
 
Jf Mimi siondoki n'gooo.
Pana raha yake,labda nipigwe ban ya maisha.
 
Darasa la saba kibao wamekuzidi maisha amini nachokwambia upo mkoa gani nikupe mfano hapo hapo ulipo kwenye hii big five...bongo kutafuta milioni unauma meno unajifanya mpo njema kwani si bongo hatuijui...
 

Msukuma anachojua ni uchuuzi
Sasa anadhani uchuuzi wa madini ndio utaalamu
 
Darasa la saba kibao wamekuzidi maisha amini nachokwambia upo mkoa gani nikupe mfano hapo hapo ulipo kwenye hii big five...bongo kutafuta milioni unauma meno unajifanya mpo njema kwani si bongo hatuijui...

Nipo Dar
Nipe mfano
 
Wewe jibu swali acha kuzunguka mbuyu. Yumkini wewe ndiye msukuma mwenyewe

Sijibugi maswali ya watoto wa darasa la saba

Wapi hujaelewa

Unafikiri wasomi tunajibu kila kitu kama watu wasio na akili
 
Mtu anayeelezewa ni darasa la saba Alafu nijihangaishe kumuandikia kisomi ili iwe nini, hayo ni matumizi Mabaya ya usomi

Wao wakiongea na sisi lazima wajikakamue kutoa hoja na lugha zinazokaribia usomi ili tuone nao sio wajinga
Point mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usipende kuchezea simu ya babako akiwa amelala kuweni na adabu basi.
 
Kama wasomi ndo mpo hivi, sioni ajabu mnavodhalilishwa bungeni.
 
Nipo Dar
Nipe mfano
Kkoo kibao wamekuzidi na darasa la saba tuu hiyo kkoo hayo majengo ya biashara si wakinga na wachaga kuna mtu unamgusa hapo na tuvyeti twako..opposite na bigbon hapo huyo mwenye majengo ya maduka hapo Saba saba ni darasa la saba
 
Kkoo kibao wamekuzidi na darasa la saba tuu hiyo kkoo hayo majengo ya biashara si wakinga na wachaga kuna mtu unamgusa hapo na tuvyeti twako..opposite na bigbon hapo huyo mwenye majengo ya maduka hapo Saba saba ni darasa la saba

Kwani kkoo mimi sipo?

Hakuna Dsm mwenye umri kama wangu aliyeishia darasa la saba akanizidi kwenye ishu za kiuchumi

Mimi sifanyi uchuuzi

Hao unawataja hapo hata mtaji wao haufiki 500m

Umasikini wako ndio unaokufanya uwaone wamenizidi na mimi
 
Hongera msomi usiojua kuandika hali yenu unaandika "hari"
Tunafurahishwa unaandika "tunafulahishwa"
Yaani wewe Msukuma kakupita kwa mbali , rudi shule umesomea tena
 
Hongera msomi usiojua kuandika hali yenu unaandika "hari"
Tunafurahishwa unaandika "tunafulahishwa"
Yaani wewe Msukuma kakupita kwa mbali , rudi shule umesomea tena

Pole sana Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…