technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Hakuna mtu ana akili akapata zero kwenye mtihani pumbavuWewe ndiyo zero brain.Hivi unajua maana ya elimu?isije kuwa unakosoa wakati hujui Maana ya neno elimu
Mafia la Kimachame....Kuna shida Tena sio kidogo wasomi wameenda wapi miaka 20 taasisi inaburuzwa na mtu aliyefeli shule na kufukuzaa wasomi kwenye chama.?
Mtu Kama Dr Slaa na Zitto wanaondoka kihuni na wasomi kibao wanakimbia hiki chama
Ana Nini Cha ziada huyu zero brain ambaye Hana hata shahada ??
Nina mashaka na elimu yetu Tanzania!!
Hahahaha hizi hasira zote zanini? Huu idhalilishaji wanini? Kwani huyo Zero kakalia kiti kwa mtutu wa bunduki?Kuna shida Tena sio kidogo wasomi wameenda wapi miaka 20 taasisi inaburuzwa na mtu aliyefeli shule na kufukuzaa wasomi kwenye chama.?
Mtu Kama Dr Slaa na Zitto wanaondoka kihuni na wasomi kibao wanakimbia hiki chama
Ana Nini Cha ziada huyu zero brain ambaye Hana hata shahada ??
Nina mashaka na elimu yetu Tanzania!!
Wewe una nini kumlinganisha huyo zero brain?Hakuna mtu ana akili akapata zero kwenye mtihani pumbavu
Kuna shida Tena sio kidogo wasomi wameenda wapi miaka 20 taasisi inaburuzwa na mtu aliyefeli shule na kufukuzaa wasomi kwenye chama.?
Mtu Kama Dr Slaa na Zitto wanaondoka kihuni na wasomi kibao wanakimbia hiki chama
Ana Nini Cha ziada huyu zero brain ambaye Hana hata shahada ??
Nina mashaka na elimu yetu Tanzania!!
Wote zeroSedeka wa simanjiro kidato cha SITA Moshi secondary alipata division Gani?
Kuna shida Tena sio kidogo wasomi wameenda wapi miaka 20 taasisi inaburuzwa na mtu aliyefeli shule na kufukuzaa wasomi kwenye chama.?
Mtu Kama Dr Slaa na Zitto wanaondoka kihuni na wasomi kibao wanakimbia hiki chama
Ana Nini Cha ziada huyu zero brain ambaye Hana hata shahada ??
Nina mashaka na elimu yetu Tanzania!!
Mbowe akichaguliwa chadema imekufa rasmi ila watakuwa wanapokea posho kina mbowe na wahuni wenzie posho itatoka ccm ila mbowe atajuta maana Samia bushiri siyo binadamu ni shetani ibilisiTeam Lissu imepagawa.....Mbowe pigilia hapo hapo
Wote zero
Ukabila ,ukabila ,ukabila, ukabila ,ukabila, umeiua Chadema kifo cha asili .Hahahaha hizi hasira zote zanini? Huu idhalilishaji wanini? Kwani huyo Zero kakalia kiti kwa mtutu wa bunduki?
Huu uchaguzi wa CDM ndo tumeona kiwango cha upumbavu walichonacho watanzania. Yaani nyie mnaogopa box la kura mnataka kuzuia wengine wasitumie haki yao ya kuchaguliwa? Kwanini msitumie sanduku la kura kuchagua wenye akili wakufanana na ninyi?
Tofauti ipo...Zero PCM Ina utofauti gani na three ya HKL?