Wasomi wanamageuzi wa nchii wapo wapi? Mpaka mtu aliyepata division 0 anaongza taasisi kubwa hivi miaka 20?

Wasomi wanamageuzi wa nchii wapo wapi? Mpaka mtu aliyepata division 0 anaongza taasisi kubwa hivi miaka 20?

Ukabila ,ukabila ,ukabila, ukabila ,ukabila, umeiua Chadema kifo cha asili .

Ni wakati sasa wa wasomi kuachana na siasa za Qxenge Qxenge .

wajumbe 70% wa chagga halafu eti chama cha kitaifa .
Tukutane kwenye sanduku la kura
Kwenye sanduku la kura hiyo uliyoitaja 70% itamuacha Lissu salama!
 
Kuna shida Tena sio kidogo wasomi wameenda wapi miaka 20 taasisi inaburuzwa na mtu aliyefeli shule na kufukuzaa wasomi kwenye chama.?

Mtu Kama Dr Slaa na Zitto wanaondoka kihuni na wasomi kibao wanakimbia hiki chama


Ana Nini Cha ziada huyu zero brain ambaye Hana hata shahada ??

Nina mashaka na elimu yetu Tanzania!!
Mbowe ni jembe acha makasiriko
 
Kuna shida Tena sio kidogo wasomi wameenda wapi miaka 20 taasisi inaburuzwa na mtu aliyefeli shule na kufukuzaa wasomi kwenye chama.?

Mtu Kama Dr Slaa na Zitto wanaondoka kihuni na wasomi kibao wanakimbia hiki chama


Ana Nini Cha ziada huyu zero brain ambaye Hana hata shahada ??

Nina mashaka na elimu yetu Tanzania!!
Nikimwangalia Profesa Lipumba, wacha tu vyama viongozwe na watu wenye elimu ya kawaida.

Tukianza kuorodhesha Wasomi wa hovyo ndio utaelewa somo, anza na Profesa Kabudi, njoo kwa mchumi first class Mwigulu Nchemba ndio itachoka.

Huna hoja, kakojowe ulale.
 
Kuna shida Tena sio kidogo wasomi wameenda wapi miaka 20 taasisi inaburuzwa na mtu aliyefeli shule na kufukuzaa wasomi kwenye chama.?

Mtu Kama Dr Slaa na Zitto wanaondoka kihuni na wasomi kibao wanakimbia hiki chama


Ana Nini Cha ziada huyu zero brain ambaye Hana hata shahada ??

Nina mashaka na elimu yetu Tanzania!!
Tulishasema siku nyingi inakuaje hiki chama vilaza ndio wenye madaraka?
 
Nikimwangalia Profesa Lipumba, wacha tu vyama viongozwe na watu wenye elimu ya kawaida.

Tukianza kuorodhesha Wasomi wa hovyo ndio utaelewa somo, anza na Profesa Kabudi, njoo kwa mchumi first class Mwigulu Nchemba ndio itachoka.

Huna hoja, kakojowe ulale.
Anamwita zero brain mtu alienza harakati kitambo akawapika hao anaowaona wana akili. Huu mtanange wa CDM unamdhalilisha sana Lissu kama wanaharakati wanaomshauri na anaowategemea ndo hawa!!
 
Ukabila ,ukabila ,ukabila, ukabila ,ukabila, umeiua Chadema kifo cha asili .

Ni wakati sasa wa wasomi kuachana na siasa za Qxenge Qxenge .

wajumbe 70% wa chagga halafu eti chama cha kitaifa .
Tukutane kwenye sanduku la kura
Siyo ukabila bro,
Hiyo ni kazi ya pesa kupitia kwa Abdul.
Walishasema "hakuna mkate ngumu kwa chai"
 
Uko sure na unachokisema juu ya taaluma ya FAM kweli kiongozi?, kama upo.sure basi anza na mfumo ulioruhusu 2005 akagombea uraisi.

Kuna propaganda zinahitaji kujitafakari matokwo yake.
 
Ukabila ,ukabila ,ukabila, ukabila ,ukabila, umeiua Chadema kifo cha asili .

Ni wakati sasa wa wasomi kuachana na siasa za Qxenge Qxenge .

wajumbe 70% wa chagga halafu eti chama cha kitaifa .
Tukutane kwenye sanduku la kura
Wajumbe 70% wachagga? Unaijua distribution ya wajumbe wa mkutano mkuu taifa na maeneo wanayowakilisha? Hizi chuki binafsi zanini?
 
Mtu Kama Dr Slaa na Zitto wanaondoka kihuni na wasomi kibao wanakimbia hiki chama
Hawakuondoka kihuni, waliondoka kwa taratibu.
  1. Zitto alifukuzwa kwa kufanya jaribio la mapinduzi (hili jambo limeelezwa juzi na Dr. Slaa, na ndiye aliyekuwa Katibu Mkuu, audio ya mahojiano kati yake na mwandishi ninayo).
  2. Dr. Slaa hakuondoka kihuni, aliamua mwenyewe kujiuzulu siasa
 
Uko sure na unachokisema juu ya taaluma ya FAM kweli kiongozi?, kama upo.sure basi anza na mfumo ulioruhusu 2005 akagombea uraisi.

Kuna propaganda zinahitaji kujitafakari matokwo yake.
Nimepitia changizi nyingi za wafuasi wa Lissu ndo napata taswira halisi. Mhe. Lissu aliposema yupo tayari kugombea uenyekiti sikujua motive behind ilikua ni kumharass mbowe asigombee ili apate land slide....

Nilijua Lissu kamaanisha kweli kupambana kidemokrasia kumbe wenzetu walimaanisha tofauti!
 
Back
Top Bottom