GANJIBHAAI
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 456
- 1,352
Wakati wewe uko bush county ukisoma nadharia kwenye vitabu na chemli, mwenzio alikuwa akiyaishi yale wewe uliyokuwa ukiyasoma kwa vitendo. Kuna tofauti kubwa sana hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapimbi hawa hawajielewi, Mbowe ndiye aliyewashawishi na kuwaleta Chadema Zitto Kabwe, Halima Mdee, John Mnyika, Joseph Mbilinyi Sugu, Joseph Haule Profesa Jay, Tundu Lisu, Godbless Lema hao maarufu kwa uchache wote hao Mwamba ndiye aliyewashawishi kujiunga Chadema.Anamwita zero brain mtu alienza harakati kitambo akawapika hao anaowaona wana akili. Huu mtanange wa CDM unamdhalilisha sana Lissu kama wanaharakati wanaomshauri na anaowategemea ndo hawa!!
Na akawapika... Mbowe alifanikiwa kumshawishi aliyewahi kuwa mfanyakqzi mwenzangu pale UDSM Suzan Lyimo aliyejitolea nyumba yake pale Kinondoni iwe ofisi ya chama halafu mtu anakurupuka huko anaona Risasi za lissu ndo pekee zenye mchango kwa CHADEMA!!Mapimbi hawa hawajielewi, Mbowe ndiye aliyewashawishi na kuwaleta Chadema Zitto Kabwe, Halima Mdee, John Mnyika, Joseph Mbilinyi Sugu, Joseph Haule Profesa Jay, Tundu Lisu, Godbless Lema hao maarufu kwa uchache wote hao Mwamba ndiye aliyewashawishi kujiunga Chadema.
Yah, kweli kabisa na moja ya matatizo ni kuamini kuwa ni haki na wakati wake kupewa uongozi.Nimepitia changizi nyingi za wafuasi wa Lissu ndo napata taswira halisi. Mhe. Lissu aliposema yupo tayari kugombea uenyekiti sikujua motive behind ilikua ni kumharass mbowe asigombee ili apate land slide....
Nilijua Lissu kamaanisha kweli kupambana kidemokrasia kumbe wenzetu walimaanisha tofauti!
Mambo ya dv 0 hayana nafasi kwa sasa ,hata angekua la saba ,hakuna sababu ya kuattack personality ya mtu , huu utakua ni ushamba.Kuna shida Tena sio kidogo wasomi wameenda wapi miaka 20 taasisi inaburuzwa na mtu aliyefeli shule na kufukuzaa wasomi kwenye chama.?
Mtu Kama Dr Slaa na Zitto wanaondoka kihuni na wasomi kibao wanakimbia hiki chama
Ana Nini Cha ziada huyu zero brain ambaye Hana hata shahada ??
Nina mashaka na elimu yetu Tanzania!!
Sana MkuuAnamwita zero brain mtu alienza harakati kitambo akawapika hao anaowaona wana akili. Huu mtanange wa CDM unamdhalilisha sana Lissu kama wanaharakati wanaomshauri na anaowategemea ndo hawa!!
Anakipaji cha uongozi kumshinda Msukuma mbunge wa CCM.Ana Nini Cha ziada
Unajua SSH ana divisheni ngapi?Kuna shida Tena sio kidogo wasomi wameenda wapi miaka 20 taasisi inaburuzwa na mtu aliyefeli shule na kufukuzaa wasomi kwenye chama.?
Mtu Kama Dr Slaa na Zitto wanaondoka kihuni na wasomi kibao wanakimbia hiki chama
Ana Nini Cha ziada huyu zero brain ambaye Hana hata shahada ??
Nina mashaka na elimu yetu Tanzania!!
Hakuna mtu unaogopa sanduku la kura isipokuwa kwa mwenyekiti aliekaa miaka ishirini na moja madarakani ilitakiwa kuwaani watu aliowafuwa kisiasa ili waendelee alipoishia maana kama unakumbuka mwaka jana alitamka mwenyewe kwa kinywa chake kuwa hatogombea tenaHahahaha hizi hasira zote zanini? Huu idhalilishaji wanini? Kwani huyo Zero kakalia kiti kwa mtutu wa bunduki?
Huu uchaguzi wa CDM ndo tumeona kiwango cha upumbavu walichonacho watanzania. Yaani nyie mnaogopa box la kura mnataka kuzuia wengine wasitumie haki yao ya kuchaguliwa? Kwanini msitumie sanduku la kura kuchagua wenye akili wakufanana na ninyi?
Watakodiwa wajumbe waenguzi kutoka kuleeeMaamuzi ya MBOWE Leo hayakuwa sahihi yamewakwaza watu wengi wapenda mabadiliko.
Ila ni vizuri tukaachana na personal-Attack.
Kwakuwa nafasi bado IPO tusubiri wajumbe wafanye Kazi yao.
😀😀sasa ile siku si angemaliza tu kawavuta watu ati mpk masaa 48..🤣
Tanzania nchi yakipekee sana ndio maana hata korona iliogopa ikasema nikienda pale navunjwa!, watu huko dunia nyengine wanahangaika sisi tukapima hadi mapapai!.
Hii nchi hata shetani mwenyewe huwa anaiogopa yani ipo hivi, hii nchi inashetani wake maalum na vipepo maalum!.. sasa yule shetani mwenyewe wa dunia siku akijichanganya kuingia hapa bongo land anaweza kushangaa anaanguka mapepo!, maana vipepo vya hapa vitamvagaa!. halafu ataletewa nabii amuombee mpk ataokoka..🤣
Hii ndio bongo land.
😀😀Labda akifia kwenye Uenyekiti ataacha Wosia kuwa azikiwe hapo hapo kwenye Ofisi za CHADEMA.
Kuna utofauti mkubwa kati ya usomi wa vyeti na usomi wa field.Kuna shida Tena sio kidogo wasomi wameenda wapi miaka 20 taasisi inaburuzwa na mtu aliyefeli shule na kufukuzaa wasomi kwenye chama.?
Mtu Kama Dr Slaa na Zitto wanaondoka kihuni na wasomi kibao wanakimbia hiki chama
Ana Nini Cha ziada huyu zero brain ambaye Hana hata shahada ??
Nina mashaka na elimu yetu Tanzania!!