Wasomi wanamageuzi wa nchii wapo wapi? Mpaka mtu aliyepata division 0 anaongza taasisi kubwa hivi miaka 20?

Wasomi wanamageuzi wa nchii wapo wapi? Mpaka mtu aliyepata division 0 anaongza taasisi kubwa hivi miaka 20?

Anamwita zero brain mtu alienza harakati kitambo akawapika hao anaowaona wana akili. Huu mtanange wa CDM unamdhalilisha sana Lissu kama wanaharakati wanaomshauri na anaowategemea ndo hawa!!
Mapimbi hawa hawajielewi, Mbowe ndiye aliyewashawishi na kuwaleta Chadema Zitto Kabwe, Halima Mdee, John Mnyika, Joseph Mbilinyi Sugu, Joseph Haule Profesa Jay, Tundu Lisu, Godbless Lema hao maarufu kwa uchache wote hao Mwamba ndiye aliyewashawishi kujiunga Chadema.
 
Mapimbi hawa hawajielewi, Mbowe ndiye aliyewashawishi na kuwaleta Chadema Zitto Kabwe, Halima Mdee, John Mnyika, Joseph Mbilinyi Sugu, Joseph Haule Profesa Jay, Tundu Lisu, Godbless Lema hao maarufu kwa uchache wote hao Mwamba ndiye aliyewashawishi kujiunga Chadema.
Na akawapika... Mbowe alifanikiwa kumshawishi aliyewahi kuwa mfanyakqzi mwenzangu pale UDSM Suzan Lyimo aliyejitolea nyumba yake pale Kinondoni iwe ofisi ya chama halafu mtu anakurupuka huko anaona Risasi za lissu ndo pekee zenye mchango kwa CHADEMA!!

Lissu kawekeza kwa wanaharakati wajinga sana!
 
Nimepitia changizi nyingi za wafuasi wa Lissu ndo napata taswira halisi. Mhe. Lissu aliposema yupo tayari kugombea uenyekiti sikujua motive behind ilikua ni kumharass mbowe asigombee ili apate land slide....

Nilijua Lissu kamaanisha kweli kupambana kidemokrasia kumbe wenzetu walimaanisha tofauti!
Yah, kweli kabisa na moja ya matatizo ni kuamini kuwa ni haki na wakati wake kupewa uongozi.

Yaani ni kama vile kiti cha kurithishana hivi. Na mwengine kugombea wanaona kama kuonewa na kunyimwa fursa ya wakati wao
 
Kuna shida Tena sio kidogo wasomi wameenda wapi miaka 20 taasisi inaburuzwa na mtu aliyefeli shule na kufukuzaa wasomi kwenye chama.?

Mtu Kama Dr Slaa na Zitto wanaondoka kihuni na wasomi kibao wanakimbia hiki chama


Ana Nini Cha ziada huyu zero brain ambaye Hana hata shahada ??

Nina mashaka na elimu yetu Tanzania!!
Mambo ya dv 0 hayana nafasi kwa sasa ,hata angekua la saba ,hakuna sababu ya kuattack personality ya mtu , huu utakua ni ushamba.

Hoja hapa nikuakikisha lissu anapenya ,wajumbe sio wenyeviti wa mkoa au kanda, tu ,tunataka kura 800 za lissu kupitia wajumbe basi kazi watakua wamemaliza
 
Sasa hao wasomi kwanini wasionyeshe usomi wao na kuanzisha chama chao?
Huyo unayemuita zero brain aliyepata zero anatimiza vizuri kazi aliyopewa nabosi wake.

Bahati mbaya Mbowe anakoripoti hawana wasiwasi na kazi yake, ameifanya na kuendelea kuifanya vizuri.
Kifupi Kpi yake iko sawa mpaka sasa.

Sasa hao wasomi ndio walipaswa kusimama kuanzisha chama kutumia usomi wao na kuchukua dola.
 
Kuna shida Tena sio kidogo wasomi wameenda wapi miaka 20 taasisi inaburuzwa na mtu aliyefeli shule na kufukuzaa wasomi kwenye chama.?

Mtu Kama Dr Slaa na Zitto wanaondoka kihuni na wasomi kibao wanakimbia hiki chama


Ana Nini Cha ziada huyu zero brain ambaye Hana hata shahada ??

Nina mashaka na elimu yetu Tanzania!!
Unajua SSH ana divisheni ngapi?
 
Hahahaha hizi hasira zote zanini? Huu idhalilishaji wanini? Kwani huyo Zero kakalia kiti kwa mtutu wa bunduki?

Huu uchaguzi wa CDM ndo tumeona kiwango cha upumbavu walichonacho watanzania. Yaani nyie mnaogopa box la kura mnataka kuzuia wengine wasitumie haki yao ya kuchaguliwa? Kwanini msitumie sanduku la kura kuchagua wenye akili wakufanana na ninyi?
Hakuna mtu unaogopa sanduku la kura isipokuwa kwa mwenyekiti aliekaa miaka ishirini na moja madarakani ilitakiwa kuwaani watu aliowafuwa kisiasa ili waendelee alipoishia maana kama unakumbuka mwaka jana alitamka mwenyewe kwa kinywa chake kuwa hatogombea tena
 
Maamuzi ya MBOWE Leo hayakuwa sahihi yamewakwaza watu wengi wapenda mabadiliko.

Ila ni vizuri tukaachana na personal-Attack.

Kwakuwa nafasi bado IPO tusubiri wajumbe wafanye Kazi yao.
Watakodiwa wajumbe waenguzi kutoka kuleee
 
sasa ile siku si angemaliza tu kawavuta watu ati mpk masaa 48..🤣
Tanzania nchi yakipekee sana ndio maana hata korona iliogopa ikasema nikienda pale navunjwa!, watu huko dunia nyengine wanahangaika sisi tukapima hadi mapapai!.

Hii nchi hata shetani mwenyewe huwa anaiogopa yani ipo hivi, hii nchi inashetani wake maalum na vipepo maalum!.. sasa yule shetani mwenyewe wa dunia siku akijichanganya kuingia hapa bongo land anaweza kushangaa anaanguka mapepo!, maana vipepo vya hapa vitamvagaa!. halafu ataletewa nabii amuombee mpk ataokoka..🤣

Hii ndio bongo land.
😀😀
 
Kuna shida Tena sio kidogo wasomi wameenda wapi miaka 20 taasisi inaburuzwa na mtu aliyefeli shule na kufukuzaa wasomi kwenye chama.?

Mtu Kama Dr Slaa na Zitto wanaondoka kihuni na wasomi kibao wanakimbia hiki chama


Ana Nini Cha ziada huyu zero brain ambaye Hana hata shahada ??

Nina mashaka na elimu yetu Tanzania!!
Kuna utofauti mkubwa kati ya usomi wa vyeti na usomi wa field.
 
Back
Top Bottom