Wasukuma mulimhola: Mmetisha kujaza Tanzania kila mahali!

Wachaga wapo nchi nzima kimkakati, tofauti na wasukuma wanaokaa mahali kwa ajili ya kufyeka mapori na kuzaana, wachaga ukiwakuta sehemu ujue n maokoto, infact nchi nzima wapo
 
Wananiboa tu hasa wale waitwao wafugaji. Ni wachafuuu ila wanazaaa hao balaaa. Kwao kuoa hakuna ukomo, ila ni wachapakazi saaaaana mnoooo. Kila kinachokubali kinalimwa. Wana pesa sana lkn hawataki kusikia habari za banki
 
Wachaga wapo nchi nzima kimkakati, tofauti na wasukuma wanaokaa mahali kwa ajili ya kufyeka mapori na kuzaana, wachaga ukiwakuta sehemu ujue n maokoto, infact nchi nzima wapo
Kweli kabisa wachaga wapo mikoa mingi ila utawakuta mijini tuu kwenye biashara nzuri. Wasukuma wapo mijini ña vijijini wanafanya kazi zote zà nguvu na za akili, hawa wamesambaa sanaa aisee.
 
Wananiboa tu hasa wale waitwao wafugaji. Ni wachafuuu ila wanazaaa hao balaaa. Kwao kuoa hakuna ukomo, ila ni wachapakazi saaaaana mnoooo. Kila kinachokubali kinalimwa. Wana pesa sana lkn hawataki kusikia habari za banki
Kweli nami nimeona kama wewe jamaa hawa popote wapo. Hawajui suala la umalaya wao ni kuoa tu kihalali na kuzaa. Uzuri hàta wake wenza hushirikiana sana. Niliona mmoja anahangaika mke mwenza alikuwa hapati watoto alipopata mtoto alifanya sherehe kubwà sana! Nikajisemea moyoni ningejua toka zamani ningeoa wasukuma.
 
Wananiboa tu hasa wale waitwao wafugaji. Ni wachafuuu ila wanazaaa hao balaaa. Kwao kuoa hakuna ukomo, ila ni wachapakazi saaaaana mnoooo. Kila kinachokubali kinalimwa. Wana pesa sana lkn hawataki kusikia habari za banki
Wasukuma wametofautiana kuna wanyantuzu kuna wa shy na mwanza na kuna wanyamwezi
sifa ni kuzaliana na kazi basi!
 
Kuna kipindi nliwavuta wasukuma wengi wakaja maeneo ya mwarusembe,jaribu,kimanzi chana jamaa nawakubali wanajua kutamia fursa

Ova
 
Kweli wasukuma kabila kubwa, kila sehemu ya Tanzania wapo wengi na wanachapa kazi kwelikweli. Nimewakubali sana.
Karibuni kwenye huu uzi tuwapongeze.
Niongeze neno,Hawa jamaaa Ni wakarimu hatari
 
Wapo hivyo wakiwa ugenini tu...huku kwao ni watu wenye wivu mno! hawataki wageni wawe na maendeleo, wanatuma mbinu zote za hila kuhakikisha wageni hawawi na maendeleo kuwazidi. Wenye nafuu ni ambao wametembea angalau kidogo.
 
Mozambique kuna lugha zaidi ya 40, nusu ya nchi tu ndio wanazungumza kireno.
 
Wabunge wa Arusha mjini

Mrisho Gambo
Abdulrahaman Kinana
Makongoro Nyerere
 
Wabunge wa Arusha mjini

Mrisho Gambo
Abdulrahaman Kinana
Makongoro Nyerere
Arusha ni kama mji huria, nikisema watu wa kasikazini namaanisha Wachaga, ambao wao ni watu wa Kilimanjaro-Moshi
Sasa Arusha ina Wameru, Waarusha na Masai, Wameru ni kakabira kadogo sana Wamasai wapo sana nje ya mji kwaiyo mji ni kama umekuwa wa wageni, waambie hao watu waende kugombea Moshi
 
Jaffar Michael mbunge wa Moshi mjini mwaka 2015 hakuwa mchaga,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…