Waswahili bwana yaani Treni ya SGR Dar hadi Moro ni masaa 2 na dakika 20 mnafurahi na kushangilia!

Waswahili bwana yaani Treni ya SGR Dar hadi Moro ni masaa 2 na dakika 20 mnafurahi na kushangilia!

Unapojaribu kitu then unatakiwa kufanya majaribio katika viwango vya juu kushinda yale matarajio. Mfano tunataka kutest train ya mwendo kasi, tumetarajia kutumia dakika 75 kutoka Dar hadi Moro, then kwenye testing inatakiwa train ifike Morogoro kati ya dakika 45hadi 65 ahead of the expected time ili tuseme kweli malengo yetu yalikuwa ni kutest speed na tumefanikiwa sasa hapo hata ukiwaambia raia kuwa tutawafikisha Morogoro kutoka Dar kwa dakika 75 wanainchi watayaona hayo matokeo ya kweli ya kufika Morogoro mapema hivyo.
hivi ubongo mnakuwaga mmepeleka wapi aisee? unajaribu train, mabehewa na kichwa chenyewe umeagiza nje kwa garama kubwa sana, halafu unataka mtu aende speed yote, vikidondoka? hivi maana ya majaribio mnaijua?
 
Mi nimefurahi sana kutumia masaa mawili kwenda moro maana Kwa basi ni zaidi ya masaa 3 mpaka manne. Pia Ile Raha ya treni kuzunguka kwenda kwenye mgahawaha na nafasi kubwa ni bonge la advantage
sio hiyo tu, train unaweza kufungua laptop yako ukaifanya kazi ndani ya masaa hayo 2 na nusu, unaposhuka ushapunguza mzigo tofauti na basi huwezi kufungua laptop ukafanya kazi kwa raha.
 
Ukitaka kujua hii project imevamiwa na majitu yasiyo na exposure ya Maisha ya kisasa yaliyopo serikalini jiulize tokea lini bullet train ikawa na Hostess (wahudumu wa kike) on board?

Sehemu ya kwenda dakika 60 hadi 75 ina haja gani ya wahudumu, hiyo si ni kuongeza tu gharama za uendeshaji wa kampuni na kuibia serikali?

Bullet train [emoji583] ya kisasa yenye mwendo usiopungua 350km/h kutoka hapa Dar hadi hapo Morogoro ni sawa na abiria wa daladala ya kawaida kutoka tegeta kwenda posta so sidhani kwa muda huo na kasi hiyo unahitaji kuwa na wahudumu wa vinywaji, chakula sijui na vitu gani maana hata chooni kwenyewe unaweza sikilizia kwenda.

Hebu tuwe tunatazama wenzetu wenye hii mifumo wanaishi vipi ndipo tutaweza kuona hawa wanaojinasibu kuwa wamepiga kazi hakuna ambalo wamefanya.
ndugu, wewe ungetupatia experience yako ni ya wapi, treni unazozijua ulizozipanda ni za wapi ili tujue kama wewe ni wa lupaso au wa mbele. pili, kuweka wahudumu ndio ajira hiyo, dada zetu wanapata ajira, unataka wakale wapi?
 
Kwani umbali wa Dar hadi Morogoro ni kilomita ngapi? Kama treni ingekuwa imekwenda 160 km/h isingechukua hayo masaa 2 na dakika 20 (kama ni kweli ilichukua muda huo).
umbali wa reli au barabara? hapo ndipo mnapochanganya. pili, kama basi linachukua masaa 3.5 hadi moro, treni ikichukua 2.20 si mshukuru? hata hapo mnashindwa kujipongeza kweli?
 
nimepanda treni mara nyingi sana nchi za mbele, tena zenye speed kama hii ya kwetu 160kmh. though zipo hadi zenye 300kmh lakini kama hii ya kwetu zipo. wengi wanaojadili hapa, ndio wanaanza kuiona treni ya aina hii leo na wanaongea kwelikweli.
Hivi wewe unajua high speed bullet [emoji583] train? [emoji848] Kwan huko nje haujawahi kuziona?

Kwahiyo unataka kutuambia kuwa sisi hatujui tunachokisema?

Miaka ya ujuaji sababu umesafiri nje ya inchi ukajiona unajua kushinda ambao hawajasafiri mwisho ilikuwa ni kipindi hakuna internet.

Saa hii internet inakupa kila aina ya taarifa hakuna story ambayo utaongea kusiwe na ushahidi wake mtandaoni.

So kuwa makini sana na swala la kuhisi una exposure kuwashinda watu wote.
 
Hivi wewe unajua high speed bullet [emoji583] train? [emoji848] Kwan huko nje haujawahi kuziona?

Kwahiyo unataka kutuambia kuwa sisi hatujui tunachokisema?

Miaka ya ujuaji sababu umesafiri nje ya inchi ukajiona unajua kushinda ambao hawajasafiri mwisho ilikuwa ni kipindi hakuna internet.

Saa hii internet inakupa kila aina ya taarifa hakuna story ambayo utaongea kusiwe na ushahidi wake mtandaoni.

So kuwa makini sana na swala la kuhisi una exposure kuwashinda watu wote.
shida ndio inaanzia hapo, tupo sisi wengine ambao tumeishi na huo ndio umekuwa usafiri wetu kwa miaka mingi tu, na mpo ninyi kama wewe ambao mnajifunzia kwenye internet. ndio maana mnaongea ujinga mtupu. hizo treni zipo za speed tofauti hata huko ulaya, chukua mfano tu Ujerumani, Ufaransa, Italia ambako ni nchi kubwa kubwa na zina usafiri huo sana, zipo treni zinaanzia 155kmh, na zipo zingine zimefika hadi 300kmh. yaani kwa lugha nyingine, hii aina ya treni tuliyonayo sisi hapa hata ulaya zipo na bado zinatumika kwenye SGR zao. sasa shida ni pale mnataka watuletee 300kmh train wakati hata hiyo ya speed ndogo hamjawahi kuwa nayo. kwani shida ni nini? kama tayari miundombinu ya reli mmeshajenga, si jambo la kununua tu za speed mnayotaka? hiyo reli ni barabara ya train kama hujui, za speed zote zitapita kama mtakuwa na hela kununua za speed hizo. kwahiyo kwenye barabara la lami toka dsm hadi moro ikipita lori la speed 80kmh haiwezi pitisha V8 la speed 200kmh?
 
Mi nimefurahi sana kutumia masaa mawili kwenda moro maana Kwa basi ni zaidi ya masaa 3 mpaka manne. Pia Ile Raha ya treni kuzunguka kwenda kwenye mgahawaha na nafasi kubwa ni bonge la advantage
Sawa hatujakataa huduma nzuri ila wasiifananishe na Bullet trains zile tunazojua sababu zile zinaweza ifanya hiyo kazi kwa dakika 70+ baaasi.
 
Kwa umbali huo muda ulitakiwa uwe ni dakika 60 au 75 tu kama ambavyo inafanyika katika Mataifa mengine makubwa ya watu wenye akili na yaliyoendelea.

Yaani Dar hadi Moro zimetumika Saa 2 na dakika 20 halafu mazuzu tokea jana na leo inashangilia tu wakati kwa wenye hizo Treni za SGR katika Mataifa mengine wanaotumia Saa 3 tu kwa umbali wa mfano wa kutoka Dar es Salaam hadi Singida wanatucheka na kutudharau mno.

GENTAMYCINE nikisikia au niliambiwa Treni ya SGR itatumia saa 2 na dakika 30 au hata na dakika 45 kidogo nitaona imefanikiwa ila hili la kutoka Dar hadi Moro kutumia Saa 2 na dakika 20 naona ni Kufeli kwa Mradi na Mpango kwa Maendeleo ya Taifa, Muda na Uimarishwaji wa Uchumi wa Tanzania na Watanzania.

Haya Team Kusifu Upuuzi na Wanafiki karibuni sana katika Kunipinga ili mlipwe Buku Saba Saba zenu, mlambe Uteuzi na Maisha yaendelee ila wenye Akili Kubwa na tusiopenda Upuuzi na Unafiki ndiyo tumeshafunguka.
Na treni za kwenda kwenu Tarime zinatumia mda gani?
 
Nimepanda sana " Dodoma Wadeka" kuanzia 2003 hadi 2007

Chuma ilikuwa inatoka Dom saa 12 asubuhi na kuripoti Ubungo saa 5 kisha saa 8 chuma inageuka na kuripoti Dodoma saa 1

Chuma nyingine Lupelo TZC ilikuwa inaondoka Njombe saa 11 alfajili na saa 7 mchana inaripoti Mnazi mmoja 😂😂😂
Umesoma msg yangu vizuri? SGR imeenda 2hrs juzi. Nitajie bus linaloenda Dar-Moro 2hrs hivi karibuni. Dar Moro kwa gari sasa hivi ukijitahidi sana masaa manne.
 
Umesoma msg yangu vizuri? SGR imeenda 2hrs juzi. Nitajie bus linaloenda Dar-Moro 2hrs hivi karibuni. Dar Moro kwa gari sasa hivi ukijitahidi sana masaa manne.
Abood driver Othman tochi analipa Tajiri dadeki 😂

Wanaliita bus la Wafanyakazi

Vyuma vya usiku karibia Vyote Mora saa 2 tu
 
Kwa umbali huo muda ulitakiwa uwe ni dakika 60 au 75 tu kama ambavyo inafanyika katika Mataifa mengine makubwa ya watu wenye akili na yaliyoendelea.

Yaani Dar hadi Moro zimetumika Saa 2 na dakika 20 halafu mazuzu tokea jana na leo inashangilia tu wakati kwa wenye hizo Treni za SGR katika Mataifa mengine wanaotumia Saa 3 tu kwa umbali wa mfano wa kutoka Dar es Salaam hadi Singida wanatucheka na kutudharau mno.

GENTAMYCINE nikisikia au niliambiwa Treni ya SGR itatumia saa 2 na dakika 30 au hata na dakika 45 kidogo nitaona imefanikiwa ila hili la kutoka Dar hadi Moro kutumia Saa 2 na dakika 20 naona ni Kufeli kwa Mradi na Mpango kwa Maendeleo ya Taifa, Muda na Uimarishwaji wa Uchumi wa Tanzania na Watanzania.

Haya Team Kusifu Upuuzi na Wanafiki karibuni sana katika Kunipinga ili mlipwe Buku Saba Saba zenu, mlambe Uteuzi na Maisha yaendelee ila wenye Akili Kubwa na tusiopenda Upuuzi na Unafiki ndiyo tumeshafunguka.
HAlafu mwaka 2022 si walifanya Majaribio ikakimbia kwa 175 Km/Hour
 
Kwa umbali huo muda ulitakiwa uwe ni dakika 60 au 75 tu kama ambavyo inafanyika katika Mataifa mengine makubwa ya watu wenye akili na yaliyoendelea.

Yaani Dar hadi Moro zimetumika Saa 2 na dakika 20 halafu mazuzu tokea jana na leo inashangilia tu wakati kwa wenye hizo Treni za SGR katika Mataifa mengine wanaotumia Saa 3 tu kwa umbali wa mfano wa kutoka Dar es Salaam hadi Singida wanatucheka na kutudharau mno.

GENTAMYCINE nikisikia au niliambiwa Treni ya SGR itatumia saa 2 na dakika 30 au hata na dakika 45 kidogo nitaona imefanikiwa ila hili la kutoka Dar hadi Moro kutumia Saa 2 na dakika 20 naona ni Kufeli kwa Mradi na Mpango kwa Maendeleo ya Taifa, Muda na Uimarishwaji wa Uchumi wa Tanzania na Watanzania.

Haya Team Kusifu Upuuzi na Wanafiki karibuni sana katika Kunipinga ili mlipwe Buku Saba Saba zenu, mlambe Uteuzi na Maisha yaendelee ila wenye Akili Kubwa na tusiopenda Upuuzi na Unafiki ndiyo tumeshafunguka.
Sio kwa kichwa kile cha treni
 
Back
Top Bottom