Waswahili bwana yaani Treni ya SGR Dar hadi Moro ni masaa 2 na dakika 20 mnafurahi na kushangilia!

Waswahili bwana yaani Treni ya SGR Dar hadi Moro ni masaa 2 na dakika 20 mnafurahi na kushangilia!

Unajua gari ikiwa inatestiwa inastiwa katika full speed ili kujua ita behave vipi ikitokea mteja kaweka full speed? Sasa hii kwanini inatestiwa katika spidi ndogo?
Yaani kwa 99% ya Watetezi Wapumbavu wa Mama walioko Lumumba, Chimwaga na Chamwino unategemea jibu la maana na mantiki kwa hili Swali lako la Akili Kubwa?
 
Kwa umeme huu wa 233 mega watt, kaka uliamini kabisa lile konokono lingetembea kwa dk 60 mpaka 70 DAR TO MORO?, Hii miradi ya usafiri unaotumia umeme hakuna hata mmoja utafanikiwa mzee......Tanzania bado hatuna umeme wa kurun hivi vitu. Imagine jana unaambiwa umeme ulikata mara mbili wakiwa njiani hivo kupelekea treni kusimama.🚮🚮🚮🚮🚮

Mbona naye kadogosa anasema kwamba treni ina source nyingi ,haitegemei sehemu moja kulilisha ,ili izime basi source zote nchi nzima zikate...
 
exposure ninayo, nimeishi na kusoma majuu miaka mingi, treni za mwendo kasi sizisikii tu, nimezipanda mno, za aina zote. tuambie wewe sasa exposure yako ni ya wapi. kuhusu garama, unasema garama za SGR na treni zake ni public revenue, tunachokuambia ni kwamba mradi huo hata kama ni wa huduma, unatakiwa ugenerate pesa ili ujitegemee kiuendeshaji, sio uendeshwe ufike mahali uhitaji pesa toka kwenye bajeti ya serikali, hapana, ujiendeshe, na ili ujiendeshe unahitaji utengeneze pesa out of that huduma. huko ndiko kutapatikana pesa za kulipa wafanyakazi, na wala hao watu hawalipwi pesa nyiiingi kihivyo, tunahitaji tuwaajiri, miradi huwa ni chanzo cha ajira pia sio huduma tu, cha muhimu ujiendeshe, usiwe mzigo kwa serikali. sijui kama unaelewa?
Nilijua ukiishi Ulaya hata Akili nazo zinabadilika kwa kujua Kufikiri vizuri kumbe ni tofauti kabisa.
 
Kwa umbali huo muda ulitakiwa uwe ni dakika 60 au 75 tu kama ambavyo inafanyika katika Mataifa mengine makubwa ya watu wenye akili na yaliyoendelea.

Yaani Dar hadi Moro zimetumika Saa 2 na dakika 20 halafu mazuzu tokea jana na leo inashangilia tu wakati kwa wenye hizo Treni za SGR katika Mataifa mengine wanaotumia Saa 3 tu kwa umbali wa mfano wa kutoka Dar es Salaam hadi Singida wanatucheka na kutudharau mno.

GENTAMYCINE nikisikia au niliambiwa Treni ya SGR itatumia saa 2 na dakika 30 au hata na dakika 45 kidogo nitaona imefanikiwa ila hili la kutoka Dar hadi Moro kutumia Saa 2 na dakika 20 naona ni Kufeli kwa Mradi na Mpango kwa Maendeleo ya Taifa, Muda na Uimarishwaji wa Uchumi wa Tanzania na Watanzania.

Haya Team Kusifu Upuuzi na Wanafiki karibuni sana katika Kunipinga ili mlipwe Buku Saba Saba zenu, mlambe Uteuzi na Maisha yaendelee ila wenye Akili Kubwa na tusiopenda Upuuzi na Unafiki ndiyo tumeshafunguka.
Nje ya Mada, utawala wa watusi utaisha Rasmi mwezi june 2024 na wahutu kurejea Ikulu.
 
exposure ninayo, nimeishi na kusoma majuu miaka mingi, treni za mwendo kasi sizisikii tu, nimezipanda mno, za aina zote. tuambie wewe sasa exposure yako ni ya wapi. kuhusu garama, unasema garama za SGR na treni zake ni public revenue, tunachokuambia ni kwamba mradi huo hata kama ni wa huduma, unatakiwa ugenerate pesa ili ujitegemee kiuendeshaji, sio uendeshwe ufike mahali uhitaji pesa toka kwenye bajeti ya serikali, hapana, ujiendeshe, na ili ujiendeshe unahitaji utengeneze pesa out of that huduma. huko ndiko kutapatikana pesa za kulipa wafanyakazi, na wala hao watu hawalipwi pesa nyiiingi kihivyo, tunahitaji tuwaajiri, miradi huwa ni chanzo cha ajira pia sio huduma tu, cha muhimu ujiendeshe, usiwe mzigo kwa serikali. sijui kama unaelewa?
Sasa wewe ndo you are so outdated na nadhani hujui how employment thing work in our country, Speaking of my very own area of expertise, haya mashirika yakitoa ajira yanapata kibali kutoka PSRS, na mode of payments zinatokana na revenue collection ya Serikali kuu meaning hawa ni watumishi wa umma, mode of recruitment hawa wanaweza wakaanza kwa kupewa mikataba ya ajira kwa muda usiozidi mwaka mmoja ila after kibali chao cha kazi kutoka kwa Katibu Mkuu kiongozi kutoka wanaingia moja kwa moja serikalini for the rest of their life regardless of whether wanachokifanya kinaipa Taifa faida au hasara. Msajili wa Hazina ambaye ndo msimamizi mkuu wa mashirika yote ya serikali, anapiga kelele kila siku namna haya mashirika yanavyotengeneza hasara kizembe hivyo kwa njia mbalimbali ikiwemo hio ya kuajili watu ambao they are not necessarily needed kwenye mashirika. Mimi i have been to London, studied in Texas, Lived in Austria and Finland na hao hostess sijawahi kuwaona kwenye hizo bullet train. Tusifanye waTanzania ni wajinga kiasi hicho.
 
hahaha sasa bahati mbaya wewe nimekufuatilia tangu kitambo, nakufahamu. Ngoja tu nikuheshimu, labda shida yako hasa ni nini hadi ufikie hali hiyo, leta hoja nikujibu kwa hoja ili mwenye akili achambuliwe na wengine.
Sasa kama Mimi ni Basha wako / Mumeo kwanini usinifahamu? Hakikisha usisahau kuja Ghetto baadae ili nikumiminie Tone langu la Nazi iliyokomaa.
 
Sasa kama Mimi ni Basha wako / Mumeo kwanini usinifahamu? Hakikisha usisahau kuja Ghetto baadae ili nikumiminie Tone langu la Nazi iliyokomaa.
kwa bahati mbaya, nimeokoka, siwezi kutukanana na wewe kabisa hata unitukane vipi, ninamwomba Mungu akusamehe, mimi nakusamehe bure. Yesu anakupenda, mpe maisha yako. hayo sio maisha unayostahili ambayo Mungu alikuumba nayo uishi hapa duniani. Mungu akubariki.
 
Kwa umeme huu wa 233 mega watt, kaka uliamini kabisa lile konokono lingetembea kwa dk 60 mpaka 70 DAR TO MORO?, Hii miradi ya usafiri unaotumia umeme hakuna hata mmoja utafanikiwa mzee......Tanzania bado hatuna umeme wa kurun hivi vitu. Imagine jana unaambiwa umeme ulikata mara mbili wakiwa njiani hivo kupelekea treni kusimama.🚮🚮🚮🚮🚮
Kama wakisema hivyo alafu ukaamini bhasi kuna uwalakini kwenye uwezo wa kuchambua mambo au vyombo vinavyohusu kiteknolojia ya hali ya juu. Kiufupi kwenye modern locomotive kama haya yaliyoletwa nyumbani kwenye mradi huu wa SGR yamewekewa kitu kinachoitwa electric out backup devices hata kama umeme utakatika chombo hiko haiwezi kusimama wala kupunguza speed bali.
Sasa kama kuna msemaji aliongea hilo nawe ukawa miongoni mwa walioamini aisee, makosa lakusema🙌
 
kwa bahati mbaya, nimeokoka, siwezi kutukanana na wewe kabisa hata unitukane vipi, ninamwomba Mungu akusamehe, mimi nakusamehe bure. Yesu anakupenda, mpe maisha yako. hayo sio maisha unayostahili ambayo Mungu alikuumba nayo uishi hapa duniani. Mungu akubariki.
Nitolee upuuzi wako hapa Kafie mbele huko.
 
Maumbo ya vichwa hvyo CETNRE OF GRAVITY iko juu mno na hivyo kwa upande wangu mimi kama mtu nilyesoma PHYSICS tu, si-RECOMMEND vichwa hivyo kutembea kilometre zaidi ya 100 kwa saa.
The higher the centre of gravity of a body, the less less stable it becomes
Hapo tumepigwa, Kadogosa ili kuongezea kasi ya treni aliamua kutoa maelezo.
 
Sasa wewe ndo you are so outdated na nadhani hujui how employment thing work in our country, Speaking of my very own area of expertise, haya mashirika yakitoa ajira yanapata kibali kutoka PSRS, na mode of payments zinatokana na revenue collection ya Serikali kuu meaning hawa ni watumishi wa umma, mode of recruitment hawa wanaweza wakaanza kwa kupewa mikataba ya ajira kwa muda usiozidi mwaka mmoja ila after kibali chao cha kazi kutoka kwa Katibu Mkuu kiongozi kutoka wanaingia moja kwa moja serikalini for the rest of their life regardless of whether wanachokifanya kinaipa Taifa faida au hasara. Msajili wa Hazina ambaye ndo msimamizi mkuu wa mashirika yote ya serikali, anapiga kelele kila siku namna haya mashirika yanavyotengeneza hasara kizembe hivyo kwa njia mbalimbali ikiwemo hio ya kuajili watu ambao they are not necessarily needed kwenye mashirika. Mimi i have been to London, studied in Texas, Lived in Austria and Finland na hao hostess sijawahi kuwaona kwenye hizo bullet train. Tusifanye waTanzania ni wajinga kiasi hicho.
hili ni shirika kama mashirika mengine tu, tanesco, ewura, posta, NHC n.k, hayo pia hayakusanyi mapato? na yanailemea sana serikali? sitabishana sana kwa hapa. naona napoteza muda.
 
Back
Top Bottom