Una uhakika na yeye anachanganyikiwa au ndio upofu umekuzidia? 😂😂😂,kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi
Gestational age haipimwi hivo, angalia tar ya kwanza ya period ambapo hapo inaweza kuwa ilikuwa like 17 hivi ndo ujue ni week 9 au laa ndo uaze kupata preshaLeo nimetoka kufanya kipimo cha ultrasound na mpenzi wangu, kipimo kikasema kuwa mpenzi wangu ana ujauzito wa wiki tisa na siku tatu, kinachotuchanganya ni mara ya mwisho kufanya nae mapenzi ilikuwa tarehe 28 desemba ambazo hadi leo wiki 9 hazifiki, je changamoto ni nini?
Mimi ni muuguzi😉
Sio sahihi,labda kama ni kujua jinsi ya mtotoHivi majibu ya ultra sound huwa ni 100% correct e?