Wataalam wa mambo ya uzazi naombeni msaada wenu, nimechanganyikiwa

Yani sisi ndio tukwambjie changamoto? Una umri gani na umeishia darasa la ngapi?
 

Mimba abebe mwingine kuchanganyikiwa achanganyikiwe mwingine.hili limekaeje.mlipokuwa mnazini ulitegemea nini.wewe hapa unasema mara ya mwiaho kuzini naye ni Dec,Ila hujasema mlianza unzinzi lini?
 
Mimba abebe mwingine kuchanganyikiwa achanganyikiwe mwingine.hili limekaeje.mlipokuwa mnazini ulitegemea nini.wewe hapa unasema mara ya mwiaho kuzini naye ni Dec,Ila hujasema mlianza unzinzi lini?
Mbona unafoka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…