DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Mkuu unaishi Tanzania au unaishi nje ya nchi?Yaani hospital iweze kufanya uroflometry ila wasiweze kufanya culture and sensitivity? Na what's the point ya kuwa na referral au private labs km Metropolis au Lancet km kila kitu lazima ufanyie hapo hospitalini kwako? Acha kutetea makosa kwa kufanya makosa zaidi
Hahaha..Ndiyo kwaheri hiyo, kwanza uzazi sahau.
Mkiambiwa zinaa na uasherati ni uchafu msiukaribie mnajifanya hamuelewi, mnaongeza na kufirana juu yake.
Shenzi taipu.
Tatizo ndipo linapoanzia hapo kwenye TMDA na BARAZA.Matumizi ya miti shamba ni salama BICHWA KOMWE - Japo Inatakiwa kunywa Mitishamba iliyoThibitishwa na TMDA na Kupewa kibali kwenye Baraza la Tiba asili na tiba mbadala
Hata Dawa za Hospitali pia nyingi zimetokana na Mimea..Mi nazingumza kitu true DOKTA ππ
Natamani hii elimu yenu nzuri mngeihamishia kwenye DAWA ZA KWELI, na sio MADAWA YA KIBIASHARA yenye KEMIKALI LUKUKI.
Think about it, najua unaona ni maskhara, unalinda udokta wako, lakini haya. YANGU MACHO.
Namuhurumia BABA DOXYCYCLINE anabugia MADONGE kila uchwao lakini haponi anatajirisha FAMASI tu.
Kwenye syndromic approach umewahi kuona wapi kuna Penadur? Point ya kufanya syndromic approach ni kwa sababu ya kukosa culture and sensitivity. Km unaweza kufanya culture and sensitivity hakuna haja ya syndromic approach. Back to your point niletee guideline yoyote inayotaja Penadur kwenye syndromic approach kuanzia first line mpaka third line.Uko sawa Mkuu haiwezi kuonyesha Symptoms na ndo maana you need to treat as Co-Infection..
Umewahi Kujiuliza Why we Treat STI as syndromic Approach and Not single Dx
π€£π€£Tatizo ndipo linapoanzia hapo kwenye TMDA na BARAZA.
Yani kuchuma majani ya mpapai mpaka nikaripoti kwa mwenyekiti wa TMDA? Ah weee!!
Babu zetu waliishi vizuri sana, wala hapakuwa na TMDA wala hayo MAGONOREA na MADOXYCYCLINE
Alikuingiza mkenge mkuu. Hao ni wale Madaktari wa zamani ( COs and AMOs) ambao walikuwa hawafundishwi why na reason behind. Wait wanafundishwa zaidi execution without reasoningDoctor mmoja alinitonya hii mkuu ananiambia inapunguza chance ya reinfection
Gono ipo toka zamaniπ€£π€£
Hahahaha ahaaa Aya banaKatika dawa ulizotumia sijaona dopamine je hukuandikiwa na hiyo???
Yes, mimea iliyochanganywa na makemikali LUKUKI kwa faida ya KIBIASHARA!Hata Dawa za Hospitali pia nyingi zimetokana na Mimea..
Mkuu
Huyo unayemuamini ndio anakupa gono sugu, hiv na mengineyo. Yaani tunaambukizwa na watu tunaowaamini. Waliopo risk free ni wanaotumia kinga kwa kila tendo.Utapona tu,ila ukome kufanya ngono kipumbavu.Pia mpigie simu huyo mwanamke na yeye akajitibu na yeye awapigie wote aliotembea nao na wao wawapigie waliotembea nao.Mweh ni vicious cycle. Get well soon. Hivi inatokeaje mtu unafanya ngono zembe ?Kwangu mimi utajiri number moja ni afya njema.Kamwe siwezi kufanya ngono hovyo hovyo na watu wa hovyo.
Antibiotics zipo kwa ajili ya kutibu na sio kupooza. Acha vita na Madaktari unapotosha jamii kwa sababu ya chuki zako za kushauriwa na Madaktari uache ushoga wakoYes, mimea iliyochanganywa na makemikali LUKUKI kwa faida ya KIBIASHARA!
You are a very genuine doctor, lakini sasa hayo MADONGE YENU yanapunguzwa nguvu za uponyaji kwa makusudi na KUJAZWA MAKEMIKALI MABAYA ili kwamba mgonjwa aendelee kuwa mgonjwa milele and HENCE A FOREVER CLIENT.
MADONGE NI PESA, au nasema uongo?
Mgonjwa akipona maana yake mteja kapotea, NASEMA UONGO?
Ungekuwa wewe ni MUUZAJI WA MADAWA, ungekubali kupoteza wateja? NEHI.
Hahaha mkuu demu uliyemuamini ndio akakupa gonorrhea.Ukipona Uache Dhambi Mkuu Usiuze tena MechiThanks for your time, Kwa kweli limekua ni Jambo kubwa Ila Kwa msaada kama wenu nimepima Mpaka HIV Mpaka SASA najua nipambnae Tu nipone tuendelee na harakat za Maisha,.... Na hata kama nakufa basi Uzi huu uje uwe fundisho Kwa kwetu sote, sababu mim sio Malaya na demu alienipa ndio nilimwamini mno
Hahahahaaa π€£π€£π€£π€£Hao Madaktari unaowaita uchwara ndio watakaokutibu wewe na bwanako mnayefanya ushoga huku ukilalamika kufanyiwa domestic violence na mama mkwe. Unapinga dawa za Wagiriki huku unaendekeza tabia za Wagiriki ambao ndio waanzilishi wa ushoga na ufilanaji
Shukran Sana Kaka, nimechoka kumeza mrundiko WA antibiotics afu matokeo hakuna...Achome Penadur ya kazi gani ndg? Umeongea mengi mazuri ila ukachanganya madesa hapo kwenye Penadur. Unless kama unahisi ana Kaswende( Syphilis) ambayo haiwezi kuwa covered na hizo antibiotics alizopewa.
Pia kusema ugonjwa wa bacteria umekomaa ni makosa unatakiwa utumie neno usugu ( resistance) ambapo suluhisho rahisi ilikuwa kwa mgonjwa kufanya culture and sensitivity na asingehangaika huko kote alipokwenda
Mwisho kabisa nimeona STI nyingi ambazo haziponi kwa dawa za kawaida mpaka kutumia Carbapenems kwahiyo ni vzr mleta mada asipopona akaotesha huo mkojo wake na kupata suluhisho sahihi la dawa zitakazomponesha