Kanisababishia hasara sana ya boxer zangu na chupi za wife. Kila uti ikijipendekeza ni kupiga moto tu.Alikuingiza mkenge mkuu. Hao ni wale Madaktari wa zamani ( COs and AMOs) ambao walikuwa hawafundishwi why
Umeelewa kweli alichoandika?Check na HIV
Mbona ushoga ni against nature and yet u are embracing it? Are u mentally ill au una flight of ideas na kuchanganya madesa?Hahahahaaa π€£π€£π€£π€£
Nakuona BABA DOXYCYCLINE umefura baada ya kichaka chako cha MAKEMIKALI kufyekwa.
Mgonjwa haponi kwa sababu ya ushamba wenu wa MAKEMIKALI, mko bize mnachanganya MADONGE YA HOVYO, mwisho wake mgonjwa anaharibika FIGO.
Amphetamine haiwezi kumuokoa mgonjwa πππ unatakiwa utumie akili uache kuwa DOKTA UCHWARA unayeabudu MAKEMIKALI.
Embrace Nature. π
Naunga mkono hoja...Then alivyokuambia hivyo ulichukulia Poa!
Wanaume tuache kuishi kwa mazoea..
Nahisi watu wanahitaji sana Elimu ya Uzazi na magonjwa ya zinaa, Zaidi mno kuliko elimu ya uchumi na ujasiriamli vinginevyo tutapoteza wengi
Umesema hivyo umenikumbusha kuna Jamaa yangu mmoja anafanya kazi kwenye Hospitali ya wilaya alikuwa Oncall siku moja wagonjwa unajua ukiwa oncall mara nyingi wanakuja sana kuanzia Saa 4 mpaka saa nane usiku sasa muda wa tisa akasema alale Ile ameenda kulala..Kwenye syndromic approach umewahi kuona wapi kuna Penadur? Point ya kufanya syndromic approach ni kwa sababu ya kukosa culture and sensitivity. Km unaweza kufanya culture and sensitivity hakuna haja ya syndromic approach. Back to your point niletee guideline yoyote inayotaja Penadur kwenye syndromic approach kuanzia first line mpaka third line.
Km unahisi kuna Syphilis unaweza kufanya VDRL/ RPR ku rule out na sio kumuumiza mtu na Penadur km Daktari wa ng'ombe ilhali haimsaidii
Kakupotosha pakubwa sana. Kabla ya kupokea ushauri kutoka kwa mtu hebu chunguza elimu yake. Sio kila anayevaa koti jeupe ni Daktari mwenye viwangoKanisababishia hasara sana ya boxer zangu na chupi za wife. Kila uti ikijipendekeza ni kupiga moto tu.
Ujue hospital nimefika nikaeleza Kua natoka agakhan kigambon nimetibiwa lakini sijapata nafuu, wao wakanambia nionane na Dr mtaalamu WA urology, yeye ndio aliendika nifanye ivyo vipimo na baadae Akasema ni prostatitis akan prescrib izo LomefloxacinHivi vipimo vilikuwa na umuhimu gani ilhali culture and sensitivity ingemaliza kazi, na kuleta majibu ya dawa gani sahihi ya kuua hao bakteria uliopata kwa njia ya kujamiiana ( STI)?
Ndo maana nimecheka MkuuGono ipo toka zamani
Huyo BICHWA KOMWE - ni shoga uchwara wa nitumie nauli so uelewa wake ni mdogo sana. Ni wa kumpuuziaNdo maana nimecheka Mkuu
Mkuu naomba ufafanue zaidi hayo maneno hapo juu ?Mwisho kabisa nimeona STI nyingi ambazo haziponi kwa dawa za kawaida mpaka kutumia Carbapenems kwahiyo ni vzr mleta mada asipopona akaotesha huo mkojo wake na kupata suluhisho sahihi la dawa zitakazomponesha
Akafanye Culture and sensitivity ya MkojoMkuu naomba ufafanue zaidi hayo maneno hapo juu ?
Antibiotic zingekuwa zinaponya basi huyu mgonjwa wenu angeshapona MAGONOREA YAKE.Antibiotics zipo kwa ajili ya kutibu na sio kupooza.
Huyo demu ana watu wake ambao hawajitibu ipasavyo hivyo gono mnazunguka nalo. Hadi mjikusanye mtibiwe wote au achana na huyo demu.Alishawahi tibiwa
Kuzurura kwake kumetokana na kukosa kipimo sahihi na Daktari sahihi wa kumpa dawa na vipimo sahihi. Hakuna antibiotic inayoua wadudu wote. Hi you mitishamba ingekuwa inatibu kwa kiwango hicho jamii za porini au jamii za sentinels wangekuwa na maisha marefuAntibiotic zingekuwa zinaponya basi huyu mgonjwa wenu angeshapona MAGONOREA YAKE.
Lakini kwa sababu yako wewe DOKTA UCHWARA na jopo lako la WAABUDU MADONGE mmesababisha mgonjwa anazurura kila hospitali bila kupona analia lia tu.
Ati ooohh AMPHETAMINE, Thubutuuuuuu!!!!!!!!!! ππ
Gono limenasa haswa, hata wewe dokta uchwara hujui la kufanya.
MAKEMIKALI YAKO uliyoyakoroga yamedunda, you know why? π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Itaje mkuu. Pole sana mkuu , ungekua muuguzi/Sekta ya afya kuna dawa fulani hivi ningekuelekeza...
. Inatibu gonorrhea ndani ya Masaa matatu tu..
Haya sasa, kazi kwenu MADOKTA UCHWARA πππππShukran Sana Kaka, nimechoka kumeza mrundiko WA antibiotics afu matokeo hakuna...
Kumbe wewe ni shoga?Mimi ni kijana Nina miaka 32.
Nimeugua UTI mara moja last year mwezi nov, baada ya kutumia mlango wa nyuma....
Nikaenda hospital nikapewa flucamox na metronidazole siku tano nikapon