Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Shukran Sana Dr Kwa your time, nothing to reward...
Mwanamke nilkua nae since last year Nov, na miezi hiyo nilpata UTI nikapewa flucamox nikapona kabisa.

September mwaka huu ndio nikapata Tena hii UTI mwanamke huyuhuyu Ila ndio haiponi.
Awali nimetumia dawa za UTI bila kupata nafuu, inapoa Tu ukimaliza dozi ikarudi, ndio nikabadil hospital wakanambia Kwa dawa nilizotumia kama ni UTI ingekua imeisha nilichonacho ni STD nikapewa dawa lakini ndio siponi..
 
Huyo BICHWA KOMWE - ni shoga uchwara wa nitumie nauli so uelewa wake ni mdogo sana. Ni wa kumpuuzia
Hahahahahaa 🤣🙈🙈

Tulia we DOKTA UCHWARA nikumenye umenyeke.

Leo nakumenya ganda lako lote feki la ujuzi bandia pamoja na majigambo yako.

Nataka nikumenye kweli kweli, ili kwamba kila ukitaka ku comment uharo wako wa kidaktari unajishikilia wowowo kwanza.
 
Ndiyo kwaheri hiyo, kwanza uzazi sahau.

Mkiambiwa zinaa na uasherati ni uchafu msiukaribie mnajifanya hamuelewi, mnaongeza na kufirana juu yake.

Shenzi taipu.
Hawa bi Faiza ni Mashoga wamejipanga kuhakikisha mada na habari zao zinakuwa hewani kila wakati kwenye platform mbali mbali za Social media.

Hivyo wanakuja na vistori vya kutunga vyenye maudhui ya Ushoga
 

Jitahidi unavo omba msaada usiwambie makosa yako lasivyo watu wataona hamna haja ya kukusaidia ! binadamu ni judgemental
 
Alishawahi tibiwa
alishawahi tibiwa kivipi?

tunaongelea hili ambukizo la mara ya pili, umesema ni yeye ulilala nae akakuambukiza.... ina maana alikuwa amebewa ugonjwa safari hii mara ya pili wakati anakuambukiza

swali ni je, na yeye ametibiwa baada ya kukupa ugonjwa mara ya pili?
aliandikiwa dawa tofauti na wewe akapona ?
au yeye haumwi?
kama haumwi na hajatibiwa baada ya ambukizo lako la pili umejuaje yeye ndio kakuambukiza ?
 
Huyo unayemuamini ndio anakupa gono sugu, hiv na mengineyo. Yaani tunaambukizwa na watu tunaowaamini. Waliopo risk free ni wanaotumia kinga kwa kila tendo.
Bora kuacha kufanya. Au kuwa na mpenzi mmoja ambaye na yeye ana mpenzi mmoja ambaye ni wewe.
 
Baada ya Mimi kuugua nilimjulisha akawa anawasiwasi, pia anakijitabu cha magonjwa ya STD nikajua Tu kapewa zahanati, pia Yuko very supportive kunambia Kua nitapona pia yeye anasema anadr wake anamjua tukishindwa uku nimwambie... Nikajua tayari pia ashawahi kunambia Anatoka Usaha na damu kabla sijaugua mim
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…