Wataalamu naomba msaada hapa, nina Gono sugu isiyosikia Antibiotics

Unakuwa na mwanamke anakupa fungus halafu bado unaendelea nae.You must be..... aisee.Unasema UTI ikute ilikuwa ugonjwa wa zinaa hata hayo maambukizi ya kwanza.
 
Nisaidie kuleta hiyo guideline inayosema tutumie Penadur bila VDRL/ RPR kuwa positive. Napenda pia nikukumbushe the current guideline ni ya mwaka 2021/2022 hiyo ya 2017 Isha kuwa phased out though Nina uhakika kuna kitu umeoverlook kwenye VDRL/ RPR
 
Liongo hilo ni ligonjwa halafu ni li malaya.Yaaani mimi ningempiga block moja matata,na ningehakikisha ninajitibu na kutulia kabisa.Huyo ni munipulator mkubwa.Anajua anaumwa na hawezi kupona cozi still analala na hao wengine aliowaambukiza au waliomuambukiza.
 
Kabisa asee, shukran Sana
 
Syphilis ya mwaka mmoja haiwezi kuonesha dalili maana ipo kwenye latent phase. Na toka lini syphilis ikasababisha urethral discharge au maumivu ya tumbo la chini (LAP)? Pia amesema mara ya kwanza alipona so kilichotokea ni recurrence sio chronicity
Mkuu natambuaje kama nimepatwa na syphilis...!?
 
Hum sikufahamu wala sikujui, nipo naendelea na matibabu ya ugonjwa nikupoteze muda na mb zako Kwa porojo ili nilipwe nin... Nipo hapa kupata Ushauri WA Wataalam niju nifanywe vip ili kupata dawa sahihi ya kupona... Anyway thanks you very much Kwa maoni yako mazuri
 
 
Mkuu natambuaje kama nimepatwa na syphilis...!?
Dalili ya mwanzo inaweza kukuletea kidonda sehemu za siri kisicho na maumivu baadae kinatoweka. Mara nyingi Syphilis inakaa mwilini muda mrefu ( miaka kadhaa) bila kuonesha dalili yoyote tunaita latent phase. Kwa hiyo njia sahihi zaidi ni kufanya kipimo na uzuri kwa Tz kila mama mjamzito hupima Syphilis pindi anapohudhuria kliniki
 
Nisaidie kuleta hiyo guideline inayosema tutumie Penadur bila VDRL/ RPR kuwa positive. Napenda pia nikukumbushe the current guideline ni ya mwaka 2021/2022 hiyo ya 2017 Isha kuwa phased out though Nina uhakika kuna kitu umeoverlook kwenye VDRL/ RPR
Mkuu Kuna wakati as a Medical Personel Hutakiwi kuwa mbishi..

Kabla sijaendelea nilikuulza mwanzoni unajua maana ya Treatment as Per syndromic Approach..
Hakuna Treatment ya mwanzoni ya Syndromic approach inayofanywa kwa kufanyika vipimo..

Vipimo Huja baada ya 2n line Treatment kufail..

Na for the Info niko aware na Current Guildline ila ulichouliza hakikuhusisha current guildline..

Hii hapa hiyo syndromi. Approach japo nilikuambia page namba 129 na chart nilikupaa..



Kuna sehemu umeona VDRL/RPR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…