Wataalamu wa Dini tusaidieni kwenye dhambi ya kuzini

Wataalamu wa Dini tusaidieni kwenye dhambi ya kuzini

Usiniletee vitabu ambavyo vinazungumzia madragon, unicorn, magiant, angels kulana na binadamu, watu wanaotembea juu ya maji, nyoka na punda wanaoogea, jua kusimama, wanyama wote kuishi ndani ya boti na bustani yenye miti ya kimiujiza....
Nipe jibu kamili Kama mbwa ana roho.. roho yake inaenda wapi akifa na kwa Nini na unipe ushahidi wa maelezo yako
Ni vizuri kwanza ukajua kwa kina unachizungumzia kabla ya kuuliza swali juu yake.
Labda nijue kwanza kile unachobeba linapotajwa neno "roho".
Roho ni nini?
 
Ufunuo Sura 21 Na Isaya 11:6-10.
Katika Isaya 11 uliyoyotoa ni kweli kwamba kina maisha yakijumuisha wanadamu na viumbe wengine. Maisha hayo ni ya hapa hapa duniani kwa mujibu wa kifungu cha 9.
Katika ufunuo 21 kuna harusi ya mwana kondoo ambapo kama maandiko yanavyotujuza ni ya kipindi cha miaka Elfu1.
Wakati wa kuuingia huu utawala sharti kwanza kuwe na tukio la ufufuo unaoitwa wa kwanza ambapo ufufuo huu utakuwa sambamba na kugeuzwa miili kwa watakaokutwa hai katika tukio la kufumba na kufumbua.
Tukio hili litokeapo kutakuwepo na hawa viumbe wengine wote na kwa kuwa hawahesabiwi kuwa na dhambi hawata angamia wakati wa kuitakasa dunia kwa moto
Warumi 8:21
[21]kwa kuwa viumbe vyenyewe navyo vitawekwa huru na kutolewa katika utumwa wa uharibifu, hata viingie katika uhuru wa utukufu wa watoto wa Mungu.
Because the creature itself also shall be delivered from the bondage of corruption into the glorious liberty of the children of God.

HAWA NDIO WATAKAOKUWEPO KATIKA ULE UTAWALA WA HARUSI YA MWANA KONDOO MIAKA 1000.
na kwa kuwa wana miili ya kutukuka waliyoipokea kwa kugeuzwa, wanarudi kwenye state ya umilele(eternity) iliyokuwepo kwa viumbe kabla ya anguko la Edeni huko mwanzo.
 
Katika Isaya 11 uliyoyotoa ni kweli kwamba kina maisha yakijumuisha wanadamu na viumbe wengine. Maisha hayo ni ya hapa hapa duniani kwa mujibu wa kifungu cha 9.
Katika ufunuo 21 kuna harusi ya mwana kondoo ambapo kama maandiko yanavyotujuza ni ya kipindi cha miaka Elfu1.
Wakati wa kuuingia huu utawala sharti kwanza kuwe na tukio la ufufuo unaoitwa wa kwanza ambapo ufufuo huu utakuwa sambamba na kugeuzwa miili kwa watakaokutwa hai katika tukio la kufumba na kufumbua.
Tukio hili litokeapo kutakuwepo na hawa viumbe wengine wote na kwa kuwa hawahesabiwi kuwa na dhambi hawata angamia wakati wa kuitakasa dunia kwa moto
Warumi 8:21
[21]kwa kuwa viumbe vyenyewe navyo vitawekwa huru na kutolewa katika utumwa wa uharibifu, hata viingie katika uhuru wa utukufu wa watoto wa Mungu.
Because the creature itself also shall be delivered from the bondage of corruption into the glorious liberty of the children of God.

HAWA NDIO WATAKAOKUWEPO KATIKA ULE UTAWALA WA HARUSI YA MWANA KONDOO MIAKA 1000.
na kwa kuwa wana miili ya kutukuka waliyoipokea kwa kugeuzwa, wanarudi kwenye state ya umilele(eternity) iliyokuwepo kwa viumbe kabla ya anguko la Edeni huko mwanzo.
Kwa Nini viumbe wengine hawana dhambi?
 
Ni vizuri kwanza ukajua kwa kina unachizungumzia kabla ya kuuliza swali juu yake.
Labda nijue kwanza kile unachobeba linapotajwa neno "roho".
Roho ni nini?
🤣Niwaulize nyie mnaoamini hivi vitu...kwangu Mimi roho ni kisingizio Cha mwanadamu kukosa maarifa juu ya Hali halisi ya mwili, maisha na ulimwengu kiujumla
 
Kwa Nini viumbe wengine hawana dhambi?
Hawana nafsi ambayo ni utashi wa kupambanua mema na mabaya.
Ngombe au mbuzi wakila mahindi ya shamba lako huwezi wahubiria injili waguswe kwa kuungama na kutubu.
Hiyo inaitwa "kumpigia mbuzi gitaa"
 
[emoji1787]Niwaulize nyie mnaoamini hivi vitu...kwangu Mimi roho ni kisingizio Cha mwanadamu kukosa maarifa juu ya Hali halisi ya mwili, maisha na ulimwengu kiujumla
Labda ungetoa somo la hiyo hali halisi kwa viumbe hai ni nini kinachotokea ikifika wakati hakipumui tena na mifumo yate ya uendeshaji mwili kusimama na process ya kuoza kuanza kuchukua nafasi.
 
Dini zote duniani zinahubiri kuwa kufanya mapenzi ni dhambi hivyobasi mwanadamu hapaswi kufanya mapenzi na mwanadamu mwezake.
Mwanaume kuwa karibu na mwanamke au kujenga urafiki imekua ikiibua maswali mengi kwa watazamaji.

Kwahiyo swala la jinsia limekuwa likitafsiriwa vibaya sasa tuelezeni kwanini kuna Malaika wa Kiume na Wakike? Kwanini wakawa wa Kiume na Wakike?

Kwanini wasingekuwa jinsia moja kama jinsia haina maana kubwa kama mnavyotudanganya kwamba wanaume tusikutane na wanawake wala wanawake wasikutane na wanaume?
Kwanza uelewe mada yako umeikosea. Kuna ngono, uasherato, uzinzi, na ulawiti bila shaka. Sasa wewe umechanganya ngono, uasherati na uzinzi kapu moja. Ni kweli uzinzi ni kosa kwa mujibu wa maandiko. Uasherati pia, na ngono nje ya mfumo wa ndoa. Ulawiti ndio kasheshe. Sasa baada ya hapo ndio ulete mada yako
 
Katika Isaya 11 uliyoyotoa ni kweli kwamba kina maisha yakijumuisha wanadamu na viumbe wengine. Maisha hayo ni ya hapa hapa duniani kwa mujibu wa kifungu cha 9.
Katika ufunuo 21 kuna harusi ya mwana kondoo ambapo kama maandiko yanavyotujuza ni ya kipindi cha miaka Elfu1.
Wakati wa kuuingia huu utawala sharti kwanza kuwe na tukio la ufufuo unaoitwa wa kwanza ambapo ufufuo huu utakuwa sambamba na kugeuzwa miili kwa watakaokutwa hai katika tukio la kufumba na kufumbua.
Tukio hili litokeapo kutakuwepo na hawa viumbe wengine wote na kwa kuwa hawahesabiwi kuwa na dhambi hawata angamia wakati wa kuitakasa dunia kwa moto
Warumi 8:21
[21]kwa kuwa viumbe vyenyewe navyo vitawekwa huru na kutolewa katika utumwa wa uharibifu, hata viingie katika uhuru wa utukufu wa watoto wa Mungu.
Because the creature itself also shall be delivered from the bondage of corruption into the glorious liberty of the children of God.

HAWA NDIO WATAKAOKUWEPO KATIKA ULE UTAWALA WA HARUSI YA MWANA KONDOO MIAKA 1000.
na kwa kuwa wana miili ya kutukuka waliyoipokea kwa kugeuzwa, wanarudi kwenye state ya umilele(eternity) iliyokuwepo kwa viumbe kabla ya anguko la Edeni huko mwanzo.

Asante na barikiwa sana.
Tunatazamia Mbingu mpya pia nchi mpya.
 
Hawana nafsi ambayo ni utashi wa kupambanua mema na mabaya.
Ngombe au mbuzi wakila mahindi ya shamba lako huwezi wahubiria injili waguswe kwa kuungama na kutubu.
Hiyo inaitwa "kumpigia mbuzi gitaa"
Kwani we ukila ng'ombe wanakuhubiria? Huwezi sema kula mazao yako ni kosa kwani ye anajua Hilo ..? Nafsi ni Nini? Niambie utashi ni Nini? Kama ndo hivyo kwa Nini Kuna mbwa tofauti, si wangekuwa wote sawa..mbona Kuna wapole wakali waoga wajasiri wavivu etc ... Mbona wanatabia tofauti... If huyo Mungu wako ni fair mbona anawapa free pass? Mbwa anaua anabaka anapiga mbwa wenzake anaibia pia, Ila sio wote wanafanya hivi...it means Kuna mbwa wema na wabaya so by using ur logic na roho zao zinabidi ziende either mbinguni au motoni. Why Sasa haipo hivyo according to storybook yako u call Bible
 
Labda ungetoa somo la hiyo hali halisi kwa viumbe hai ni nini kinachotokea ikifika wakati hakipumui tena na mifumo yate ya uendeshaji mwili kusimama na process ya kuoza kuanza kuchukua nafasi.
Sijui... Ila from the knowledge science has on brain...akili ikizima na we umezima... Ushawahi kuwa kwenye Ile gas ya usingizi hospital.. unakuja kushtuka tu operation imeisha u know nothing in between.. ndo hivyo hizi nerves ndo Zina control mawazo fikra na uhai wako sio roho sijui nafsi...hivi vitu vimetungwa na watu wazamani waliojua magonjwa yote yanasababishwa na mapepo
 
Umeulizwa Ushahidi ulete Hujaleta.

Kwenye Uisilamu Malaika size yake vs Dunia, hii Dunia yetu ni kama Vumbi tu, ni wa kubwa mno, chukua Dunia na Universe nzima ambayo Tunaita Infinity size yake haifikii Distance kutoka Sikio hadi Bega la Malaika anayebeba kiti Cha Mwenyez Mungu.

Hata Jibril/Gabriel hakuwa akishuka Duniani Kwa Umbo lake sababu Hatoshi,

So unaongelea creation nyengine ambayo ni kama Robot, wameumbwa kufuata maagizo ya Mwenyez Mungu tu, hawana Akili ya kujiamulia wanachotaka, wanafata tu Rules za Mungu. Malaika hazini wala hafanyi Mapenzi hajaumbiwa kazi hio.

Sisi Binadamu, Majini na Viumbe wengine tumepewa Free will, unaamua mwenyewe ufuate unachotaka ndio Maana tumeumbiwa kuzini ama kufanya Mapenzi kwenye ndoa.
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" huyu mwanafalisafa na mwanamapinduzi ya kifikira hakukosea mnamuita Yesu!

Watu wanalishwa matango pori hata hawajigusi inasikitisha sana.
 
Kwani we ukila ng'ombe wanakuhubiria? Huwezi sema kula mazao yako ni kosa kwani ye anajua Hilo ..? Nafsi ni Nini? Niambie utashi ni Nini? Kama ndo hivyo kwa Nini Kuna mbwa tofauti, si wangekuwa wote sawa..mbona Kuna wapole wakali waoga wajasiri wavivu etc ... Mbona wanatabia tofauti... If huyo Mungu wako ni fair mbona anawapa free pass? Mbwa anaua anabaka anapiga mbwa wenzake anaibia pia, Ila sio wote wanafanya hivi...it means Kuna mbwa wema na wabaya so by using ur logic na roho zao zinabidi ziende either mbinguni au motoni. Why Sasa haipo hivyo according to storybook yako u call Bible
Kwa hiyo wewe pale home kwako mnafanana kwa kila kitu na mbwa wako.
Sina cha kukusaidia.
 
Sijui... Ila from the knowledge science has on brain...akili ikizima na we umezima... Ushawahi kuwa kwenye Ile gas ya usingizi hospital.. unakuja kushtuka tu operation imeisha u know nothing in between.. ndo hivyo hizi nerves ndo Zina control mawazo fikra na uhai wako sio roho sijui nafsi...hivi vitu vimetungwa na watu wazamani waliojua magonjwa yote yanasababishwa na mapepo
Akili ni nini?
Ukiufanyia upasuaji mwili wa kiumbe hai akili utaioona wapi?
 
Back
Top Bottom