kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Mnaojadili huu Uzi ni uzuzu kama Yale yadom
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwamba watu wanatumia ile sitting plan kuhadaa umma. Hivyo jambo linapotolewa ufumbuzi hadaa zinakoma. Nimeona Mange na Kigogo wakishangilia hiyo sitting plan na hao wana wafuasi wengi huko mitandaoni. Nchi hii tumefikia hatua ya kushangilia jambo kama lile, ni aibu sana.Ulilolihoji hapa lina manufaa gani kwa Maendeleo ya Watanzania na Ustawi wake Kiujumla?
Habri yako zuzuMnaojadili huu Uzi ni uzuzu kama Yale yadom
Ushapona UTI mzee??Tanzania tuko vizuri mkuu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ushapona UTI mzee??
Unazungumzia kukaa pembeni?!!,Uhuru Kenyata alikaribishwa Ikulu white house,akapiga mvinyo na Raisi wa Dunia,hii kukaa karibu na Raisi,May be amewekwa kama secretary,Anayejua maana ya hii arrangement ya COP26 iliyomuweka Rais Samia Suluhu Hassan pembeni ya Rais Joe Biden kiprocol inamaanisha nini?
View attachment 1995473
Ni alphabetical order tu. S is next to R in the English alphabet. R for Republic, S for States.Anayejua maana ya hii arrangement ya COP26 iliyomuweka Rais Samia Suluhu Hassan pembeni ya Rais Joe Biden kiprocol inamaanisha nini?
View attachment 1995473
Kweli mapenzi ya BINTI KIZIWI HAYA SIJUI KAMA MIIMILI HAIJAONGEA KWA AJILI YA SPECIFICATION ZA MIILI YA WATU LAANA NUSKSIAnayejua maana ya hii arrangement ya COP26 iliyomuweka Rais Samia Suluhu Hassan pembeni ya Rais Joe Biden kiprocol inamaanisha nini?
View attachment 1995473
Inamaana ya Manija ya Nchi.Anayejua maana ya hii arrangement ya COP26 iliyomuweka Rais Samia Suluhu Hassan pembeni ya Rais Joe Biden kiprocol inamaanisha nini?
View attachment 1995473
Alphabetical- United States of America and United Republic of TanzaniaTanzania tuko vizuri mkuu
UK followed by URT then USA.Bongo iko katikati ya big gunsAlphabetical order, United States of America and United Republic of Tanzania
Wala sio swala protocolAnayejua maana ya hii arrangement ya COP26 iliyomuweka Rais Samia Suluhu Hassan pembeni ya Rais Joe Biden kiprocol inamaanisha nini?
View attachment 1995473
Majina ya nchi kwenye Umoja wa mataifa (UN) yanafuata mpangilio wa herufi toka A hadi Z.Anayejua maana ya hii arrangement ya COP26 iliyomuweka Rais Samia Suluhu Hassan pembeni ya Rais Joe Biden kiprocol inamaanisha nini?
View attachment 1995473
Anayejua maana ya hii arrangement ya COP26 iliyomuweka Rais Samia Suluhu Hassan pembeni ya Rais Joe Biden kiprocol inamaanisha nini?
View attachment 1995473
Vipi kuhusu UKMajina ya nchi kwenye Umoja wa mataifa (UN) yanafuata mpangilio wa herufi toka A hadi Z.
Tamzania inatambulika kama United Republic of Tanzania inafiatiwa na United States of America
Sio kweliWala sio swala protocol
Viongozi wamepangwa kulingana na alphabetocali za nchi zao
URT(UNITED REPUBLIC OF Tanzania)
USA UNITED STATE OF AMERICA)
Ukweli ni upo mkuuSio kweli
Mbona hata wewe umejadiliMnaojadili huu Uzi ni uzuzu kama Yale yadom