Wataalamu wa Urusi wagundua kifaa kinachomuwezesha kipofu kuona



Kimbilio jingine la mtu mweusi ni kuona kila wakati yeye anaona kaonewa na kudhulumiwa, yeye hana wa kumuonea na kumdhulumu!!!??
Haya baada ya huyo mnaijeria ni nani mwingine muafrika aliyejitokeza??
 
Nishakuambia watu weusi tulikua hatuna fursa katika miaka ya karibuni. Ila utawaona muda sio mrefu
 
Yap unawaza sahihi kabisa. Hawa jamaa wanachafua uzi na mambo ya uchawi sijui ungo nk.
 
Nishakuambia watu weusi tulikua hatuna fursa katika miaka ya karibuni. Ila utawaona muda sio mrefu


Muda sio mrefu, miaka 2, 3, 4, 5??, miaka mingapi ijayo???-- wakati wenzetu wanakimbia sisi bado tunatembea, wakati wenzetu walipokuwa wanatembea sisi tulikuwa tumesimama, wakati walipokuwa wamesimama sisi tulikuwa fofofo, sasa ni lini utamfikia mzungu??
 
Serikali hawajawahi kukataa kusaidia wanasayansi...umeonana na viongozi huko serikalini kuwapa proposal yako?
 
Hujajibu swali lote. Hii tofauti ya genes ilianza lini? Maana miaka 3000 iliopita wazungu waliishu tu mapangoni.
Je hizo genes zilikuwa zimelala?
 
Tofauti ya wazungu na sisi ni kwamba wazungu wanafanya utafit sisi hatufanyi utafiti, hakuna cha genes !
Wachina wamestuka nao wanawekeza sana kwenye utafiti, matokeo wameanza kuyaona.
Taifa lolote linalowekeza kwenye utafiti lina excel hakuna cha akili.
Kuna equation ilimchkua newton miaka 14 kuisolve, angekuwa na genes za tofauti ndio angetumia muda wote huo?
Suala kubwa ni kwamba waafrika hatupo serious tu si genes wala nini.
 
Unalijua gape la china na ualaya mwaka 80.
Ndani ya miaka 30 wame overtake ulaya.
Wachina wamepata bahati ya viongozi wenye maono sisi tunapata viongozi wanaolinda nyadhfa zao bila kuonyesha maajabu ya kutawala.
Viongozi wetu huwa ni watu wa kutuhadaa kwa maneno eti tumepiga hatua, huku kila sekta inajikongoja, hakuna sekta hapa TZ yakupigiwa mfano, haipo uchovu! uchovu! uchovu!
Tazama Irani ni nchi ndogo inayopiga hatua kwa kasi huku ikitengwa na kushambiliwa na mabeberu lakini Irani inapambana na inaogopwa na wababe wa dunia. Irani wameweza kuunda ndege zao,submarine,meli za kivita,silaha kali za kivita nk. Haijawachukua hata miaka 30 kufikia hayo maendeleo.
Utashi tu mkuu. Tukipata wtu wakutengeneza dira vizuri na kuisimamia huku watu wakijitoa mhanga tutafika levo za hao wenzetu, kwa sasa tupo kawaida sana hata botswana tu wmetuzidi kwa mipango.
 
Hujajibu swali lote. Hii tofauti ya genes ilianza lini? Maana miaka 3000 iliopita wazungu waliishu tu mapangoni.
Je hizo genes zilikuwa zimelala?


Miaka 3000 iliyopita wao walipokuwa wakiishi mapangoni sisi tulikuwa tunaishi katika maghorofa??!--- au kipindi hicho tulikuwa tumewazidi nini??
 
Miaka 3000 iliyopita wao walipokuwa wakiishi mapangoni sisi tulikuwa tunaishi katika maghorofa??!--- au kipindi hicho tulikuwa tumewazidi nini??
Nataka unioneshe ubora wa hizi genes miaka hio na kama umeshindwa basi hakuna tofauti yoyote ya genes bali ni hali ya mazingira na utashi.
Nikuunge mkono kwa kusema wenzetu wadadisi sisi hatujaamua kufanya udadisi.
 
Miaka 3000 iliyopita wao walipokuwa wakiishi mapangoni sisi tulikuwa tunaishi katika maghorofa??!--- au kipindi hicho tulikuwa tumewazidi nini??
Nataka unioneshe ubora wa hizo genes miaka hio na kama umeshindwa basi hakuna tofauti yoyote ya genes bali ni hali ya mazingira na utashi.
Nikuunge mkono kwa kusema wenzetu wadadisi sisi hatujaamua kufanya udadisi.
 
Hivi Ile mashine ya kujifukiza bado inafanya kazi ,wanasayansi wa Tanzania mnachejesha hatari
ile itawekwekwa kama kumbukumbu ya uvumbuzi uliowahi kufwanya na wasomi wa tz chini ya mkemia
 
Nataka unioneshe ubora wa hizi genes miaka hio na kama umeshindwa basi hakuna tofauti yoyote ya genes bali ni hali ya mazingira na utashi.
Nikuunge mkono kwa kusema wenzetu wadadisi sisi hatujaamua kufanya udadisi.


Ndicho hicho ninachosema kwamba udadisi ni pamoja na kujiuliza; why, what and how, kujiuliza kwa namna hiyo ndiyo ni sehemu ya "TRAITS", traits have to do with genetics, hebu chukua mfano hai kutoka kwa Wajapani, Wajapani are the MOST hardworking people so far no other people in the world surpass them, sasa tabia (trait) hiyo ya hardworking kwa wajapani imerithiwa vizazi na vizazi kwahiyo kitu hicho kimo ndani ya "gene" zao, twende kwa Waisraeli; hawa many of them are smarter in academic excellence than other people--- they are created so or they are privileged by God so to say that means their smartness, brilliance or brainy in many fields are fixed in their genes and it has been transferred from one generation to another, genes are hereditary units which carries hereditary materials (chromosomes, DNA) , na hata mtu anapotaka kujua his/her ancestry background huwa anapimwa DNA.

Ni hivi; licha ya kwamba wengi wetu sisi watu weusi tumekosa utashi (ambao mainly ni genetical makeup) kama ule wa wazungu lakini hii isiwe ni desperate kwamba tusifanye au tusijitahidi kufanya mambo wanayofanya wao, ila wao tunaweza kusema; they are gifted in that case.

Wao hivi sasa wanakimbia sisi tunatembea nyuma yao, watakapopaa sisi tutakuwa tunakimbia nyuma yao, We are always at their backs in the science and technology.
 
Km ni kweli basi itakuwa vizuri, maana Baba yangu mzazi ni Kipofu kwa hiyo itamsaidia sana.Japokuwa hbr ipo juu juu Sana haielezi kinagaubaga.
 

Source?
 
Km ni kweli basi itakuwa vizuri, maana Baba yangu mzazi ni Kipofu kwa hiyo itamsaidia sana.Japokuwa hbr ipo juu juu Sana haielezi kinagaubaga.
Sio rahisi hii tec kuwasaidia watu masikini maana baada ya kukamilika itagharim million kama 200 hivi. Na watu wenye umri wa miaka chini ya miaka 25 au zaidi ya miaka 60 hawatafanyiwa hii operation. Pia baada ya miaka kumi utavadilishiwa hicho kifaa. Hapo atumie teknolojia saidizi za simu au computer nk zitamsaidia. .mimi pia sioni kama huyo baba yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…