Watalii kutoka South Africa bahili Sana!

Watalii kutoka South Africa bahili Sana!

Ha ha haaaaa haaa. Mie naishi hapa stone Town. Huwa nawasikia wadau kuwa watalii kutoka Urusi ni shida. Hawapandi taxi, huko hotels shamba wanachkua rooms lkn wanakula kwa mama ntilie, mambo ya chakula cha elfu arobaini kwao Big no. Na yale maji ya chupa wanouziwa elfu tano hawataki kabisa utapeli huo. Wanarudi rooms kulala washashiba chakula cha mama ntilie. Na maji yao wanarudi nayo kabisa. Katuni elfu tano washapata maji ya siku nzima ambayo hotel wangeuziwa chupa moja tu kwa bei hio.

Naskia rooms wakiashea kama wapo family.

Kuna clip moja ilisambaa wamepanda gari.

kama Tata ivi nafkiri waliomba lift [emoji1787]

Yaani kipindi kile cha corona wataliano walivokimbia kurudi makwao hao warusi ndio walijazana lkn jamaa wa tourism sectors wengi walikuwa wanawalalamikia
hahahahahahaha Nimecheka sana ujue nimekumbuka warusi Fulani mwaka mpya wa 2019 nilikutana nao pale seacliff hotel wajamaa walikuja group kama kumi hivi Sasa wakapiga Hesabu weeee wakaona mmmmh haiwezekani Kila mmoja anywe mzinga wa Vodka itawakata Sasa wakaagaiza makreti ya local bia yaani
kilimanjaro na safari basi walikata kreti Tano Kwa siku sababu zile zipo kwenye all inclusive guest ni kama Bure tu basi wakikata kreti Tano wakiona imekolea mwisho wanaagiza chupa Moja ya vodka kushushia Ili walete stimu zaidi
Baada ya siku mbili hotel bia zikaanza kua adimu meneja mhindi alimaindi kichiziiii nilichekaaa nikasema warusi ni nyokooo Halafu yana vurugu Yale majamaa usipime yakilewa yanaanza imba nyimbo za solidarity Kwa taifa lao
Kwa Nguvu kichizi Hadi kero!

Warusi kupanda chai maharage kuzunguka unguja hawaoni kazi,au kula kipindi ngoko to ngoko from Bububu to mkokotoni!
😂😂😂😂😂😂
 
hahahahahahaha Nimecheka sana ujue nimekumbuka warusi Fulani mwaka mpya wa 2019 nilikutana nao pale seacliff hotel wajamaa walikuja group kama kumi hivi Sasa wakapiga Hesabu weeee wakaona mmmmh haiwezekani Kila mmoja anywe mzinga wa Vodka itawakata Sasa wakaagaiza makreti ya local bia yaani
kilimanjaro na safari basi walikata kreti Tano Kwa siku sababu zile zipo kwenye all inclusive guest ni kama Bure tu basi wakikata kreti Tano wakiona imekolea mwisho wanaagiza chupa Moja ya vodka kushushia Ili walete stimu zaidi
Baada ya siku mbili hotel bia zikaanza kua adimu meneja mhindi alimaindi kichiziiii nilichekaaa nikasema warusi ni nyokooo Halafu yana vurugu Yale majamaa usipime yakilewa yanaanza imba nyimbo za solidarity Kwa taifa lao
Kwa Nguvu kichizi Hadi kero!

Warusi kupanda chai maharage kuzunguka unguja hawaoni kazi,au kula kipindi ngoko to ngoko from Bububu to mkokotoni!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732]
 
Nimekua katika industry hii ya Utalii. Yapata miaka 9 sasa hapa Unguja (Nungwi). Aisee hakuna watu bahili Kama vibibi toka South Africa wakija hamna tip Wala nn? Ukijidai kuvitongozah ndio balaa zaidi. Bora mabibi wa-kitaliano, wapo social na ukimpa show Kali anakuachia Dola za maana.
NB: Karibuni wamachinga tusake noti kwenye utalii

View attachment 2043099

View attachment 2081919
Watz, ni ngono, rushwa, ujanja ujanja (ulaghai) na wizi. Kufanya kazi ni sifuri.
 
Kuna mtalii toka South?
Tulikua na bosi mmoja mzungu wa south kampuni yake maporini huko,baada ya kazi akiwalipisha hunters na watalii anachaji na tip anatia ndani.
Unakuta wale wazungu wanatoa tip ingine tupewe yule fala anadai ntawapa.
Anazima tena,Siku nilimpigia mahesabu nikadai zote mpk alitoa na kazi ikaisha
 
Back
Top Bottom