mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
For sureHakuna shida, lakini sources of income za Zanzibar ni chache ukilinganisha na Tanzania bara.
50/50 umeitoa wapi? Watanganyika hawawezi kuajiriwa Zanzibar sekta yeyote serikalini.Ubia ni 50/50,yaani hapo bado mmewaonea sana, mara nne? No hii haikubaliki, muungano ni inchi kwa inchi so mgao ni nusu kwa nusu
Siku mkiiachia Zanzibar na mambo yao ndio siku mtamaliza mzizi wa fitina,
Ila kwa sasa endeleeni kuumia tu, si mliyataka wenyewe?
Wanaogopa mpaka jina, wabara waoga sanaNaam
Mkuu hoja yako niya kitoto sana...huu ubaguzi unaoshadadia nakushauri uachane naoHeshima sana wanajamvi.
TRA wametangaza ajira mpya 1,574.
Hili ni jamba zuri sana vijana wetu watapata ajira za uhakika zenye mishahara mizuri na nafasi kubwa ya kutengeneza kipata cha ziada kupitia urefu wa kamba zao.
Kitu wasichakijua WATANGANYIKA katika ajira hizo WAZANZIBAR wametengewa nafasi 331 huku WATANGANYIKA MACHOGO wakitengewa 1243 tu.
Idadi ya watu TANGANYIKA ni zaidi ya 64 Million idadi ya watu ZANZIBAR ni 836,000.
Hizi hesabu nimejaribu kuzipiga,kugawanya,kuzidisha nimetoka kapa.
Huu upuuzi uliletwa na Mchengerwa katika bunge hili linalomaliza muda wake WABUNGE wetu hawakuhoji,hawakudadisi,hawakuuliza waligonga meza kama kawaida yao.
Wakati LISSU akishangaa idadi ya wabunge wa ZANZIBAR kuchanguliwa na wastani wa watu 11,000 tu wakati wabunge wa TANGANYIKA wanachaguliwa na idadi ya watu 300,000 na kuendelea angejiuliza na kudadi inakuwaje WAZANZIBAR wanatengewa nafasi 331 katika taasisi moja tu.Siku BOT wakitangaza ajira utaratibu ni huo huo.
Lissu badala ya kutazama nafasi za kisiasa pekee yake angetazama pia suala zima la ajira katika hii JMT.
Huyo kamishna anaitwa nani?Halafu anaambia watu wafanye utafiti kumbe yeye mwenyewe hafanyii utafiti, porojo tu
Wamejaa bwashee, sema ni vile hujui tu, mimi mwenyewe mbara ila nipo huku serikalini, tena sehemu nyeti kabisa50/50 umeitoa wapi? Watanganyika hawezi kuajiriwa Zanzibar sekta yeyote serikalini.
Wabara mna visa, mnaogopa mpaka majina?Huyo kamishna anaitwa nani?
Waogopa Nini sasa,watulieWanaogopa mpaka jina, wabara waoga sana
Labda uwe umeingia kimagendo au kwa connections, zaidi ya hapo unapiga porojo tu.Wamejaa bwashee, sema ni vile hujui tu, mimi mwenyewe mbara ila nipo huku serikalini, tena sehemu nyeti kabisa
Kwahiyo ZRA ya kazi gani???Ubia ni 50/50,yaani hapo bado mmewaonea sana, mara nne? No hii haikubaliki, muungano ni inchi kwa inchi so mgao ni nusu kwa nusu
Siku mkiiachia Zanzibar na mambo yao ndio siku mtamaliza mzizi wa fitina,
Ila kwa sasa endeleeni kuumia tu, si mliyataka wenyewe?
TRA ni mali ya JMT sasa watu kutoka Zanzibar kupata ajira kuna shda gani. Acheni kueneza chuki zisizo na sababu wala maana.Ungeonyesha huo utoto kwanza.
Uzi ufungwe 😃Commissioner General wa TRA ni MZANZIBAR.
Commissioner General wa ZRA ni MZANZIBAR.